Kwa Tanzania uchanganye na kadhia ya kuwa chini ya CCM na sasa kuna janga lingine linaitwa AbdulThis is Africa.
Ni vita, magonjwa, ujinga, umaskini na unafiki.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa Tanzania uchanganye na kadhia ya kuwa chini ya CCM na sasa kuna janga lingine linaitwa AbdulThis is Africa.
Ni vita, magonjwa, ujinga, umaskini na unafiki.
Unaota nini hao wako kwenye damu kabisa siwezi kuwacha kuwapa supportDaah!.. umeacha kusapoti Magaidi ya Kihouthi?!
Hao hawafai hata kidogo tena wanatakiwa waondolewe kwenye mlango wa Bahari Nyekundu.Unaota nini hao wako kwenye damu kabisa siwezi kuwacha kuwapa support
Nani atawaondoa? Hakuna mwenye uwezo huo.Hao hawafai hata kidogo tena wanatakiwa waondolewe kwenye mlango wa Bahari Nyekundu.
Trump anaanza na Ayatolah kwenye kichwa cha Nyoka hawa Houthi wakisikia Ayatolah kanyongwa na wao wanaingia mitini kwasababbu silaha zitakuwa hawapatiNani atawaondoa? Hakuna mwenye uwezo huo.
Hao red tabara wametumwa na pkHapana. Itavamiwa na RED-TABARA. Ujue Bujumbura ilipo ni kama km 30 tu kutoka ilipo RED TABARA
Hata hivyo Wahouths wapo kimya kidogo cku hizi. Wanajitafakari itakavyokuwa siku na saa isiyojulikana, Trump atakapoamua kuliamsha dude.Trump anaanza na Ayatolah kwenye kichwa cha Nyoka hawa Houthi wakisikia Ayatolah kanyongwa na wao wanaingia mitini kwasababbu silaha zitakuwa hawapati
Trump anaondoka na Ayatolah kwasababu mzizi wa fitina ni Ayatolah.Hata hivyo Wahouths wapo kimya kidogo cku hizi. Wanajitafakari itakavyokuwa siku na saa isiyojulikana, Trump atakapoamua kuliamsha dude.
Sawa hukatazwi kuotaTrump anaanza na Ayatolah kwenye kichwa cha Nyoka hawa Houthi wakisikia Ayatolah kanyongwa na wao wanaingia mitini kwasababbu silaha zitakuwa hawapati
Tusiwaache hatutaki hata harufu ya huo mdundano waooSio kwamba tuache wanyukane???
Wanachama wa EAC wapo vitani...tena wengine wanagombana wao kwa waoDRC iko vitani; Rwanda vitani, Uganda vitani, Burundi vitani! Maziwa makuu pamechafukwa sio siri tena. Nchi inatakiwa kuwa macho kweli kweli hamkani sio shwari.
Haya ngoja tuone jumiya yetu pendwa EAC itachukua hatua gani dhidi ya mtifuano huu. Otherwise, it is irrelevant.