Burundi kurudisha wanajeshi wake waliosalimika

Burundi kurudisha wanajeshi wake waliosalimika

Trump anaanza na Ayatolah kwenye kichwa cha Nyoka hawa Houthi wakisikia Ayatolah kanyongwa na wao wanaingia mitini kwasababbu silaha zitakuwa hawapati
Hata hivyo Wahouths wapo kimya kidogo cku hizi. Wanajitafakari itakavyokuwa siku na saa isiyojulikana, Trump atakapoamua kuliamsha dude.
 
Hata hivyo Wahouths wapo kimya kidogo cku hizi. Wanajitafakari itakavyokuwa siku na saa isiyojulikana, Trump atakapoamua kuliamsha dude.
Trump anaondoka na Ayatolah kwasababu mzizi wa fitina ni Ayatolah.
 
DRC iko vitani; Rwanda vitani, Uganda vitani, Burundi vitani! Maziwa makuu pamechafukwa sio siri tena. Nchi inatakiwa kuwa macho kweli kweli hamkani sio shwari.

Haya ngoja tuone jumiya yetu pendwa EAC itachukua hatua gani dhidi ya mtifuano huu. Otherwise, it is irrelevant.
Wanachama wa EAC wapo vitani...tena wengine wanagombana wao kwa wao
 
Back
Top Bottom