Bus zuri la kwenda moshi

Bus zuri la kwenda moshi

USB ipo kwa LIM .

sijawahi bahatisha magari yenye sehemu za kuchomeka chaja moja kwa moja zaid ya coast line ya tabora. Mengi ni usb

Ili mradi ni charge simu yangu tu maana inatiririka charge si kitoto nikiwasha data
 
Mbona umekazia sana swala la chager meku?kama unataka kusafiri kwa raha zako hizo na nyinginezo tafuta gari inaitwa extra luxuries hutajutia 35,000 yako mkuu
 
Mbona umekazia sana swala la chager meku?kama unataka kusafiri kwa raha zako hizo na nyinginezo tafuta gari inaitwa extra luxuries hutajutia 35,000 yako mkuu

Yes nimekazania kiukweli kwa kuwa nitakuwa na uhuru wa kuitumia simu yangu bila kuwazia kuisha kwa charge
 
Habari wana Jf.polen kwa ujenzi wa taifa hili ambalo inasemekana wananchi wake hawana furaha kwa kwa zaidi ya 90%.ila mimi ninafuraha sana tu kwa kuwa ni mzima wa afya siumwi.

Ngoja niende kwenye mada moja kwa moja.wapendwa naomba mnijuze basi zuri ambalo linacharge system naweza charge cm nikiwa nimekaa kwa seat yangu.asanten

Daby (jirani)

Husna

Shunie

Jovitha

Mondray

Karibuniii
Dar Lux ya Nairobi, ina charging system kwenye seat, Full AC, Free W-Fi.
Nauli 32,000 mpaka Arusha.
 
Habari wana Jf.polen kwa ujenzi wa taifa hili ambalo inasemekana wananchi wake hawana furaha kwa kwa zaidi ya 90%.ila mimi ninafuraha sana tu kwa kuwa ni mzima wa afya siumwi.

Ngoja niende kwenye mada moja kwa moja.wapendwa naomba mnijuze basi zuri ambalo linacharge system naweza charge cm nikiwa nimekaa kwa seat yangu.asanten

Daby (jirani)

Husna

Shunie

Jovitha

Mondray

Karibuniii


Umesahau Ungo express: Hili nusu saa tu toka Dar mpaka Moshi na dakika moja tu kwenda Upareni kwa kina mshana jr toka Moshi mjni.
1mchawi2.jpg
 
Wewe mchokozi aise.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Jr ni mtani wako nini??eheee nauli yake bei gani??


mshana jr ni mtani wangu wa humu JF na ninampenda sana. Ungo Express uwa unalipia kwa viganja tu vya binadamu na maelewano ila yabidi kuwa na roho ngumu.
 
Back
Top Bottom