jmushi1
Platinum Member
- Nov 2, 2007
- 26,329
- 25,263
Haki.tupu,
Hapo umesema. Salim kwa lugha tu na kufafanua issues kweli tulikuwa na foreign minister. Hata JKN alikuwa akiwatoa vijampo akina Henry Kissinger. Acha bwana. Kuna standard ambayo mbali na Mkapa (ukiweka kando ufisadi) Tanzania ilikuwa imeiweka katika mambo ya foreign relations.
Hapo kwenye Mkapa sikubaliani!
Na pia sikubaliani na watu kuwa viongozi wetu simply kwasababu ya lugha!
Tunataka MISIMAMO ISIYOYUMBA!
Hiyo inatutosha especially if misimamo hiyo ni kwa maslahi ya Mnyonge na masikini!