Unaikumbuka ile Madenge alishindwa kusoma darasani sababu ya kimini cha mwalimu
Ha ha haa mbona mimi hujaniita dada? Unampendelea tuu everlenk hamna shidaa..
Mkuu humwonagi nifah? Huyo ni mtoto wa wenger walioshindi kombe la sahani na mechi yao ya EPL iliyopita dhid ya chelbus walifungwa na timu ya refa fc aka mike dean...
Jana pia wamefungwa..
Ha ha ha ngoja nikajifiche kwanza
Wakuu kunayule jamaa katikati ya game akatupia mzinga wa nyuki game ikaisha hapohapo, Bob mikwara mzee wa mikwara, Sokomoko mzee wa tungi kuna yule jamaa alikua mwizi sana nimesahau asee zamani raha sana!
Wewe mtoto acha kukariri kama Kasuku mwisho wake unatia Shombo kila Jukwaa tu!!
Kwani makosa ya Marefa katika Soka yameanzia kwa Mike dean tuu? Au kwa Chelsea tuu?! Acha kuishi kwa kukariri!! Kuna Nchi zimeshiriki World cup kwa goli la assist ya mkono "Hennry" France vs Ireland, Maradona kafunga gali la mkono!! Inaonekana Soka umeanza kufuatilia juzi juzi tu!!
Wewe mtoto acha kukariri kama Kasuku mwisho wake unatia Shombo kila Jukwaa tu!!
Kwani makosa ya Marefa katika Soka yameanzia kwa Mike dean tuu? Au kwa Chelsea tuu?! Acha kuishi kwa kukariri!! Kuna Nchi zimeshiriki World cup kwa goli la assist ya mkono "Hennry" France vs Ireland, Maradona kafunga gali la mkono!! Inaonekana Soka umeanza kufuatilia juzi juzi tu!!
Nyoooooo....
Usiwe unaparamia yasio kuhusu ? Aliye quotiwa haja panic unapanic wew ni mshenga wake au?
Vitu vingine uachege.... watu na utani wetu na hatujaanzia hapo...
So fyataa mkia maana na wanaojua watakushangaa kuingilia yasiyo kuhusu...
Mxeeeeeeeeew
Tena jiheshimu isije ikawa wew ni kubwa jinga...
Eti mtoto...? Ha ha ha usiingilie yasiyo kuhusu...harusi haikuhusu unashona sare ya nini? Nyokolist
profesa ndumilakuwili....
kuna mtu anakumbuka first eleven....ya timu hizi...
mimi namkumbuka Madenge tu mzee meko wa bush stars
na mtangazaji sukununu...
Nyoooooo....
Usiwe unaparamia yasio kuhusu ? Aliye quotiwa haja panic unapanic wew ni mshenga wake au?
Vitu vingine uachege.... watu na utani wetu na hatujaanzia hapo...
So fyataa mkia maana na wanaojua watakushangaa kuingilia yasiyo kuhusu...
Mxeeeeeeeeew nifah mama njoo mwone huyuu
Tena jiheshimu isije ikawa wew ni kubwa jinga...
Eti mtoto...? Ha ha ha usiingilie yasiyo kuhusu...harusi haikuhusu unashona sare ya nini? Nyokolist
punguza munkara cutie , atakuwa hajui mpira .,