Bush stars na Born Town first eleven.....

Unaikumbuka ile Madenge alishindwa kusoma darasani sababu ya kimini cha mwalimu

Nilikua namkubali sana madenge aiseeee..... hasa pale alipokua akitumia akili zake za kuzaliwa, ilhali baba na jamii ilio mzunguka ikim tafsiri kwamba adabu yake ni ndogo teh..tehh....
 
Wakuu kunayule jamaa katikati ya game akatupia mzinga wa nyuki game ikaisha hapohapo, Bob mikwara mzee wa mikwara, Sokomoko mzee wa tungi kuna yule jamaa alikua mwizi sana nimesahau asee zamani raha sana!
 

Wewe mtoto acha kukariri kama Kasuku mwisho wake unatia Shombo kila Jukwaa tu!!

Kwani makosa ya Marefa katika Soka yameanzia kwa Mike dean tuu? Au kwa Chelsea tuu?! Acha kuishi kwa kukariri!! Kuna Nchi zimeshiriki World cup kwa goli la assist ya mkono "Hennry" France vs Ireland, Maradona kafunga gali la mkono!! Inaonekana Soka umeanza kufuatilia juzi juzi tu!!
 
Last edited by a moderator:
Wakuu kunayule jamaa katikati ya game akatupia mzinga wa nyuki game ikaisha hapohapo, Bob mikwara mzee wa mikwara, Sokomoko mzee wa tungi kuna yule jamaa alikua mwizi sana nimesahau asee zamani raha sana!

profesa ndumilakuwili....
 

Nyoooooo....
Usiwe unaparamia yasio kuhusu ? Aliye quotiwa haja panic unapanic wew ni mshenga wake au?
Vitu vingine uachege.... watu na utani wetu na hatujaanzia hapo...
So fyataa mkia maana na wanaojua watakushangaa kuingilia yasiyo kuhusu...
Mxeeeeeeeeew nifah mama njoo mwone huyuu
 
Last edited by a moderator:

Tena jiheshimu isije ikawa wew ni kubwa jinga...
Eti mtoto...? Ha ha ha usiingilie yasiyo kuhusu...harusi haikuhusu unashona sare ya nini? Nyokolist
 

punguza munkara cutie , atakuwa hajui mpira .,
 
Sani ya mwisho kuisoma hyo vijana wangu wengi mlikuwa hamjazaliwa bfo na hiyo ndo nakala pekee ya mwisho niliyokuwa nayo ktk hm liblaly
 

Attachments

  • 1443621739363.jpg
    22.6 KB · Views: 482
Mapung'o almaarufu kama Golden Boy toka Bush Star, huyu jamaa alikuwa anajulia ule mpira utatamani hata umpe mkeo/dadako/jirani yako akamchezee. Mpira ule ulimfikisha mpaka Ulaya.
 
kuna mtu anakumbuka first eleven....ya timu hizi...
mimi namkumbuka Madenge tu mzee meko wa bush stars
na mtangazaji sukununu...



Dhuuu mie nilikuwa navunjika mbavu pale inapotokea mtu kachezewa rafu yaani lile vumbi linavyokua dhuu yaani ni kwato na vi nyota nyota dhaaa kaka you made may day baada ya stress za TRA filling
 
Wapo wakina lodilofa, pimbi, njemba mchumali, kiokote, watoto mapacha, komredi kipepe mzee wa nyika,mapung'o, chepe...mkuu kwakweli umenikumbusha mbali sana,dah!
 
Wale jamaa waliokuwa wanachora zile katuni walikua mahiri sana kwa simulizi kwakweli sasa hivi hata sijui wako wapi...kuna katuni maarufu pia kwnye jarida la Bongo nadhan sijui anaitwa Maprosso alikua na hela nyingi sana. ....hata simulizi ya kifo cha 2Pac Shakur jamaa walielezea kwa michoro as if ni movie kabisa...Yaani nilikua nafuatilia sana yale majarida kiasi kwanza ukililosa kwa wiki hilo unajisikia vibaya sana.
 
Natamani hizi katuni zetu zakibongo zingegeuzwa animations za kwenyw tv
 

Heheeee!! Naona dawa imekuingia kisawa sawa! Sasa tulia hivyo hivyo ili umalize Dozi labda utapunguza kuongea Utumbo
 
Last edited by a moderator:
Tena jiheshimu isije ikawa wew ni kubwa jinga...
Eti mtoto...? Ha ha ha usiingilie yasiyo kuhusu...harusi haikuhusu unashona sare ya nini? Nyokolist


Usiseme yasiyonihusu hiyo kauli yako ya Chelsea eti imesaidiwa na Refa unaitembeza kila jukwaa!! Kifupi huna jipya!! Halafu usipende kutumia lugha chafu,kama na mimi nitaamua ku deal na wewe kwa lugha chafu sijui kama hutokimbia humu!! Twende kwa kuheshimiana tu,acha ku panic unapoambiwa ukweli,wanasema ukweli unauma,

Najua umeumia,
Pole sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…