M24 Headquarters-Kigali
JF-Expert Member
- Jul 9, 2012
- 8,199
- 8,186
- Thread starter
- #21
Tupo pamoja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa ndo uje usemee humu?Hata mabasi ukipanda first class unahudumiwa kwa heshima.
Jichanganye upande yehevo yire za kigoma uone matusi na ukizingua konda anakupa makofi.
Dah 😂😂😂Itakua hata ndege ikiwa inaanguka,ukiwa hiyo class mnapewa mabawa mnaruka
Hili neno na liheshimiwe na watu woteTutafute pesa
Wanaopanda hzo business class wala hawaji hapa watu wanapanda maisha yao yote ya uwajibikaji tena wana UN au diplomatic passport sijawah kuwaona wakianzisha threads hadi wanastafu nahisi ww ulipewa nafasi kampuni ya Mr magurue kwenda Kenya imekua case study kuna raha kujichanganya usiombe ww watu kuanzia check in pale nyerere una mwenge wa UN kandahar unaelekea utawaona wale wSimamiz wanakwambia usikae laini hii njo huku unawambia niachen8 niongee na watz wenzangu hapo upo simply ety ww unafraid kuwa business alwaysSawa mkuu
Pesa ni hitaji moja kubwa na muhimu sana kwenye maisha/mwili wa binadamuIlitokea zali tiketi yangu ilikuwa ni kama vile haitambuliki. Mfumo wao ulikuwa na matatizo wakanikatia tiketi kwenye trip ambayo kumbe ilishakuwa revoked na ikatakiwa kuondolewa kwenye system. Nafika airport system haisomi maana safari ya hiyo tiketi haipo. Halafu ni lisafari lirefu kutoka LAX mpaka Heathrow. Twende huku mara kule hakuna suluhisho maana ilikuwa ni full flight economy kumejaa. Vu bin vu mpaka kwa meneja simu zinapigwa makao makuu Chicago (United Airlines)
Mara naambiwa kuna siti moja imepatikana business class twende. Sema nilikuwa nimetia pamba safi nilipofika huko sikuonekana out of place sana japo ni kweli kuku mgeni hakosi kamba mguuni. Kiti tu kilivyo na entertainment system nikaona leo nimepanda level mpaka nikawa najiuliza huko first class huko kukoje?
Wahudumu wapole, vinywaji na vyakula bwerere, kiti kikubwa halafu kinasukumika kwa nyuma unalala kwa raha, yaani mpaka chooni kuko tofauti. Ni kati ya safari nilizosafiri kwa raha kabisa. Nikawa najisemea kuna haja kubwa ya kutafuta pesa kwa bidii aisee. Ila pesa nazo sasa mh! It has been more than 7 years na pesa ndo kwanza zinazidi kupiga chenga. Pesa hovyo sana aisee!😁
Kweli kabisa aise maana bila pesa hata mbususu za pisi kali utakuwa unaziona eksi doti komu tu na ponihabu. Tutafuteni pesa kwa bidii aisee.Pesa ni hitaji moja kubwa na muhimu sana kwenye maisha/mwili wa binadamu
Kitimoto ipo kwenye hiyo business class?Shughuli zangu za kutafuta kipato zinanilazimisha kusafir mara nyingi kwenda nje kwa (ndege) za mashirika mbalimbali hususani Emirates, Qatar na KLM.
Sasa kutokana na Miles nilizo nazo mara kadhaa nimekua nikifanya upgrade kukaa Business Class aisee treatment yake si ya kitoto kuanzia CHECK IN, EXCLUSIVE LUXURY LOUNGE na inflight menu na huduma super.
Tutafute pesa.
NB: Samahani kwa wote watakaohisi nimewakwaza kwa bandiko hili. Ila ndio uhalisia
Hahahaha!! Shimba ya Buyenze bhana😅liyagamba litemi lyamagaka Lyang'walūgiko
Ng'wagūkū nkoyi.
Masikini wakiotea huwashwa .......hawakubali jambo lipite bila kuhadithiaShughuli zangu za kutafuta kipato zinanilazimisha kusafir mara nyingi kwenda nje kwa (ndege) za mashirika mbalimbali hususani Emirates, Qatar na KLM.
Sasa kutokana na Miles nilizo nazo mara kadhaa nimekua nikifanya upgrade kukaa Business Class aisee treatment yake si ya kitoto kuanzia CHECK IN, EXCLUSIVE LUXURY LOUNGE na inflight menu na huduma super.
Tutafute pesa.
NB: Samahani kwa wote watakaohisi nimewakwaza kwa bandiko hili. Ila ndio uhalisia
Hadithia na weweMasikini wakiotea huwashwa .......hawakubali jambo lipite bila kuhadithia