Business Class ina raha yake - tafuteni pesa

Sawa mkuu
Wanaopanda hzo business class wala hawaji hapa watu wanapanda maisha yao yote ya uwajibikaji tena wana UN au diplomatic passport sijawah kuwaona wakianzisha threads hadi wanastafu nahisi ww ulipewa nafasi kampuni ya Mr magurue kwenda Kenya imekua case study kuna raha kujichanganya usiombe ww watu kuanzia check in pale nyerere una mwenge wa UN kandahar unaelekea utawaona wale wSimamiz wanakwambia usikae laini hii njo huku unawambia niachen8 niongee na watz wenzangu hapo upo simply ety ww unafraid kuwa business always
 
Pesa ni hitaji moja kubwa na muhimu sana kwenye maisha/mwili wa binadamu
 
Kitimoto ipo kwenye hiyo business class?
 
Hahahaha!! Shimba ya Buyenze bhana😅

Huku kwema/salama kabisa kaka

Eng'wasi bhageshi
Ng'wagūkū nkoyi.

Nalīgūlombela ng'waka mpya gobuza ūbebe na bitogwa bako nkoyi. Ūngw'wakūguzile (2025) ītagūtole nzunone. Amanyo adakanyiyagwa bahebu. Tolaga! 😁🏃🏿‍♂️🏃🏿‍♂️
 
Kweli tutafute pesa ila. Hatuwezi kuepuka viwango na madaraja ya masikini na tajiri, classes are there for every level.
Kuna tajiri mmoja alikuwa anahojiwa kwa nini anatumia private jet kwenye safari zake zote , akajibu kwenye ndege za kawaida anachukia kupanga foleni na kukalishwa lounges and check ins kwamba anaona anakuwa treated like cattle.
Yaan hata hiyo bussiness class anayosifia mdau hapa kuna mtu anaiona ni useless
 
Masikini wakiotea huwashwa .......hawakubali jambo lipite bila kuhadithia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…