Business Class ina raha yake - tafuteni pesa

Business Class ina raha yake - tafuteni pesa

Una akili sana. Basi tu watu huwa wanakuchukulia poa!

Comment yako hii inaonekana ya kawaida lakini kwa sisi wafuasi wa tapo la Existentialism, ni comment nzito na iliyobeba maana ya ndani sana.

Wabeja (Asante!)
Haha Wabeja kulumba (sijui kama niko sahihi)

Watu wana wasiwasi na vingi kiasi kwamba wanashindwa kuishi vizuri.

Ngoja nirudi darasani kidogo nijifunze kuhusu Existentialism na matapo mengine…..
 
Shughuli zangu za kutafuta kipato zinanilazimisha kusafir mara nyingi kwenda nje kwa (ndege) za mashirika mbalimbali hususani Emirates, Qatar na KLM.

Sasa kutokana na Miles nilizo nazo mara kadhaa nimekua nikifanya upgrade kukaa Business Class aisee treatment yake si ya kitoto kuanzia CHECK IN, EXCLUSIVE LUXURY LOUNGE na inflight menu na huduma super.

Tutafute pesa.

NB: Samahani kwa wote watakaohisi nimewakwaza kwa bandiko hili. Ila ndio uhalisia
Niliwahi kupanda hiyo business class nilihara vibaya sana, walitupatia vimisosi vya ajabu ajabu sijui tuchura tule?. Mi napandaga economy halafu napendaga kasiti ka mwisho kuchukua namba ya air hostess maana ndege ikisimama kituoni huwa wanajificha.
 
Shughuli zangu za kutafuta kipato zinanilazimisha kusafir mara nyingi kwenda nje kwa (ndege) za mashirika mbalimbali hususani Emirates, Qatar na KLM.

Sasa kutokana na Miles nilizo nazo mara kadhaa nimekua nikifanya upgrade kukaa Business Class aisee treatment yake si ya kitoto kuanzia CHECK IN, EXCLUSIVE LUXURY LOUNGE na inflight menu na huduma super.

Tutafute pesa.

NB: Samahani kwa wote watakaohisi nimewakwaza kwa bandiko hili. Ila ndio uhalisia
Sasa unatukwaza na nini! Wewe sema unajishtukia tu, au umeamua kuturusha! Kwa mfano mimi na jamaa zangu wengi tu humu hatujawahi kupanda hizo ndege zenu! Halafu ndiyo mtukwaze kwa sababu mnasafiri kwenye hizo business class zenu!

From what i know, siku zote dunia haiko fair! Thats all! Na ndiyo maana unaweza kumkuta Mtumishi wa umma ndani ya hii nchi anakopa milioni 5 benki kwa ajili ya kukarabati kibanda chake anachoishi, na kutakiwa kulipa na riba kubwa kwa miaka 5-9!! Halafu wakati huo huo unasikia Rais wa nchi ananua kila goli la timu za Yanga na simba kwa thamani ya pesa hiyo hiyo!
 
Haha Wabeja kulumba (sijui kama niko sahihi)

Watu wana wasiwasi na vingi kiasi kwamba wanashindwa kuishi vizuri.

Ngoja nirudi darasani kidogo nijifunze kuhusu Existentialism na matapo mengine…..
Umepatia kabisa. Kwani wewe ni bageshi? 😳

Watu wana wasiwasi eti watakuwa na mazishi ya aina gani, utafikiri hiyo ina maana yo yote kwao. Uzikwe na watu wanane kimya kimya kama Matola - yule omba omba mashuhuri; au uzikwe na dunia nzima kama Mandela wewe uliye ndani ya jeneza wala haikusaidii cho chote 🙏🏿

➡️➡️➡️ Karibu tujifunze Existentialism pamoja bageshi🙏🏿
 
Shughuli zangu za kutafuta kipato zinanilazimisha kusafir mara nyingi kwenda nje kwa (ndege) za mashirika mbalimbali hususani Emirates, Qatar na KLM.

Sasa kutokana na Miles nilizo nazo mara kadhaa nimekua nikifanya upgrade kukaa Business Class aisee treatment yake si ya kitoto kuanzia CHECK IN, EXCLUSIVE LUXURY LOUNGE na inflight menu na huduma super.

Tutafute pesa.

NB: Samahani kwa wote watakaohisi nimewakwaza kwa bandiko hili. Ila ndio uhalisia
Acha kabisa business class emirates balaaa....wana supu yao ya mabogo aisee ni tamuu hiyo.

Ila aikushauri upande business ndege za waafrica utajutia hela yako. Hawajui maama ya business class hawa ngozi nyeusi hovyo kabisa.

Ila kwa taadhari tuu, kukaa business class na first class kunaongeza uwezekano wa kufa kwenye ajali ya ndege
 
Sasa unatukwaza na nini! Wewe sema unajishtukia tu, au umeamua kuturusha! Kwa mfano mimi na jamaa zangu wengi tu humu hatujawahi kupanda hizo ndege zenu! Halafu ndiyo mtukwaze kwa sababu mnasafiri kwenye hizo business class zenu!

From what i know, siku zote dunia haiko fair! Thats all! Na ndiyo maana unaweza kumkuta Mtumishi wa umma ndani ya hii nchi anakopa milioni 5 benki kwa ajili ya kukarabati kibanda chake anachoishi, na kutakiwa kulipa na riba kubwa kwa miaka 5-9!! Halafu wakati huo huo unasikia Rais wa nchi ananua kila goli la timu za Yanga na simba kwa thamani ya pesa hiyo hiyo!
Tena sasa tutashauri timu yoyote ile itakayo fanikiwa kumpiga mtuu mkono apewe million 50 kama bonus ya mama.
Kama leo yanga wangepata mil50 zao
 
Acha kabisa business class emirates balaaa....wana supu yao ya mabogo aisee ni tamuu hiyo.

Ila aikushauri upande business ndege za waafrica utajutia hela yako. Hawajui maama ya business class hawa ngozi nyeusi hovyo kabisa.

Ila kwa taadhari tuu, kukaa business class na first class kunaongeza uwezekano wa kufa kwenye ajali ya ndege
Emirates A380 business class niliopanda kwenda BALI (Indonesia) kutokea Dubai tulikaa upper deck (nyuma). Usikariri
 
Shughuli zangu za kutafuta kipato zinanilazimisha kusafir mara nyingi kwenda nje kwa (ndege) za mashirika mbalimbali hususani Emirates, Qatar na KLM.

Sasa kutokana na Miles nilizo nazo mara kadhaa nimekua nikifanya upgrade kukaa Business Class aisee treatment yake si ya kitoto kuanzia CHECK IN, EXCLUSIVE LUXURY LOUNGE na inflight menu na huduma super.

Tutafute pesa.

NB: Samahani kwa wote watakaohisi nimewakwaza kwa bandiko hili. Ila ndio uhalisia
Hahaha buddy.
Kila mtu anatafuta pesa labda hata kwa bidii kuliko wewe haha.

Lakini matokeo yake kila mtu anashinda mechi zake.

Wengine wakiweza kuoa mke wa pili na watatu, kwao ni mafanikio makubwa.
Hao watakwambia tafuta pesa kuoa wake 4 raha sana.

Hahaha
 
Hahaha buddy.
Kila mtu anatafuta pesa labda hata kwa bidii kuliko wewe haha.

Lakini matokei yake kila mtu anashinda mechi zake.

Wengine wakiweza kuoa mke wa pili na watatu, kwso ni mafsnikio makubwa.
Hao watakwambia tafuta pesa kuoa wake 4 raha sana.

Hahaha
Ndio matumizi ya hela hayo...kula mbususu
 
Umepatia kabisa. Kwani wewe ni bageshi? 😳

Watu wana wasiwasi eti watakuwa na mazishi ya aina gani, utafikiri hiyo ina maana yo yote kwao. Uzikwe na watu wanane kimya kimya kama Matola - yule omba omba mashuhuri; au uzikwe na dunia nzima kama Mandela wewe uliye ndani ya jeneza wala haikusaidii cho chote 🙏🏿

➡️➡️➡️ Karibu tujifunze Existentialism pamoja bageshi🙏🏿
Asante sana Babu.

Bageshi ni Evelyn Salt mimi ni wifi yake. 😊
 
Shughuli zangu za kutafuta kipato zinanilazimisha kusafir mara nyingi kwenda nje kwa (ndege) za mashirika mbalimbali hususani Emirates, Qatar na KLM.

Sasa kutokana na Miles nilizo nazo mara kadhaa nimekua nikifanya upgrade kukaa Business Class aisee treatment yake si ya kitoto kuanzia CHECK IN, EXCLUSIVE LUXURY LOUNGE na inflight menu na huduma super.

Tutafute pesa.

NB: Samahani kwa wote watakaohisi nimewakwaza kwa bandiko hili. Ila ndio uhalisia
Je umesha zifumania ndugu au mchoto kutoka kwa walalahoi?
 
Shughuli zangu za kutafuta kipato zinanilazimisha kusafir mara nyingi kwenda nje kwa (ndege) za mashirika mbalimbali hususani Emirates, Qatar na KLM.

Sasa kutokana na Miles nilizo nazo mara kadhaa nimekua nikifanya upgrade kukaa Business Class aisee treatment yake si ya kitoto kuanzia CHECK IN, EXCLUSIVE LUXURY LOUNGE na inflight menu na huduma super.

Tutafute pesa.

NB: Samahani kwa wote watakaohisi nimewakwaza kwa bandiko hili. Ila ndio uhalisia
Unatufanya tujisikie vibaya sisi tunaotafuta ajira
 
Back
Top Bottom