Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli mkuu, mchawi pesa.Ilitokea zali tiketi yangu ilikuwa ni kama vile haitambuliki. Mfumo wao ulikuwa na matatizo wakanikatia tiketi kwenye trip ambayo kumbe ilishakuwa revoked na ikatakiwa kuondolewa kwenye system. Nafika airport system haisomi maana safari ya hiyo tiketi haipo. Halafu ni lisafari lirefu kutoka LAX mpaka Heathrow. Twende huku mara kule hakuna suluhisho maana ilikuwa ni full flight economy kumejaa. Vu bin vu mpaka kwa meneja simu zinapigwa makao makuu Chicago (United Airlines)
Mara naambiwa kuna siti moja imepatikana business class twende. Sema nilikuwa nimetia pamba safi nilipofika huko sikuonekana out of place sana japo ni kweli kuku mgeni hakosi kamba mguuni. Kiti tu kilivyo na entertainment system nikaona leo nimepanda level mpaka nikawa najiuliza huko first class huko kukoje?
Wahudumu wapole, vinywaji na vyakula bwerere, kiti kikubwa halafu kinasukumika kwa nyuma unalala kwa raha, yaani mpaka chooni kuko tofauti. Ni kati ya safari nilizosafiri kwa raha kabisa. Nikawa najisemea kuna haja kubwa ya kutafuta pesa kwa bidii aisee. Ila pesa nazo sasa mh! It has been more than 7 years na pesa ndo kwanza zinazidi kupiga chenga. Pesa hovyo sana aisee!š
Mimi shauku yangu kubwa ilikuwa kupanda A380 kabla hazijasitaafishwa maana makampuni mengi yanalalamika gharama za uendeshaji ni mkubwa.Shughuli zangu za kutafuta kipato zinanilazimisha kusafir mara nyingi kwenda nje kwa (ndege) za mashirika mbalimbali hususani Emirates, Qatar na KLM.
Sasa kutokana na Miles nilizo nazo mara kadhaa nimekua nikifanya upgrade kukaa Business Class aisee treatment yake si ya kitoto kuanzia CHECK IN, EXCLUSIVE LUXURY LOUNGE na inflight menu na huduma super.
Tutafute pesa.
NB: Samahani kwa wote watakaohisi nimewakwaza kwa bandiko hili. Ila ndio uhalisia
Okay nahš¹š¹Should be am coming oooh
Tutakuja kuzibananisha tu malkia. Siri ni kutokata tamaa ati! ššSeven years Mkuu heri yako.......watu tupo muongo na hatuioni
Mpe salam mwambie Trump anarudia round šMambo ya kawaida sana kwa matajiri wa JF , wenzako ni mwendo wa Private JetView attachment 3186491
Abanikī Bamujamii Foramu abingī omala gūbachima. Ūliyagamba lya magaka Lyang'walūgiko nkoyi!Hodakaga natole nhomu Jamiiforum nachagole ganike gagabuza
Hi imewahi kunitokea mimi binafsi tena hapa hapa bongo. Wakati wa JK, Mwakyembe akiwa waziri wa uchukuzi, alijaribu kulifufua shirika letu la ndege la ATC, nilikua na wenzangu tunatoka Dar kwenda Mwanza, I don't know nilikua ninafikiria nini, wakati tuna check IN nilisahau kuchukua boarding ticket, wahudumu wa ile ndege plus marubani walikua wazungu. Nilikua abiria wa mwisho, inasemekana yule mama wa Kizungu ambaye alikua anaongoza wale wahudumu aliagiza nisubiriwe na kama boarding ticket nimeikosa nipande cause ninayo ticket; so these things depends na aina ya watu wanao ongoza ndege hizo. Now days same ATC ina ndege nzuri lakini muda wa kuondoka haujulikani hata kama ume check IN.This is Qatar Airways..... Flight number QEw76D.....
It's a final call for our passenger Ibn Unuq pls check in, we are waiting you...
Nashukuru kwa taarifa na ushuhuda Kuna mtu alinambia uwongo.... Ila watu wakati mwingine hawaelewi mpk unasikia jina huko...Hi imewahi kunitokea mimi binafsi tena hapa hapa bongo. Wakati wa JK, Mwakyembe akiwa waziri wa uchukuzi, alijaribu kulifufua shirika letu la ndege la ATC, nilikua na wenzangu tunatoka Dar kwenda Mwanza, I don't nilikua ninafikiria nini, wakati tuna check IN nilisahau kuchukua boarding ticket, wahudumu wa ile ndege plus marubani walikua wazungu. Nilikua abiria wa mwisho, inasemekana yule mama wa Kizungu ambaye alikua anaongoza wale wahudumu aliagiza nisubiriwe na kama boarding ticket nineikosa nipande cause ninayo ticket; so these thing depends na aina ya watu qanao ongoza ndege hizo. Now days same ATC ina ndege nzuri lakini muda wa kuondoka haujulikani hata kama ume check IN.
Mtu anatiaje aibu msibani wakati hajui hata kama kuna msiba wake?Vipi nyumbani kwenu, umejenga au ndio wale siku ya msiba mnatia aibu šš
Mwakani iwe kheri kwako mkuuDuh maisha haya! Wengine hata business class ya SGR hatuiwezi itakuwa ya ndege!
Bebe nyanda!Duh maisha haya! Wengine hata business class ya SGR hatuiwezi itakuwa ya ndege!
Una akili sana. Basi tu watu huwa wanakuchukulia poa!Mtu anatiaje aibu msibani wakati hajui hata kama kuna msiba wake?
Huu ushauri ni mzuri, ukipata fedha zaidi unaweza fikia ile hatua mtu anakodi zile yacht, anakula maisha baharini huko utadhani ni sea goddess.Shughuli zangu za kutafuta kipato zinanilazimisha kusafir mara nyingi kwenda nje kwa (ndege) za mashirika mbalimbali hususani Emirates, Qatar na KLM.
Sasa kutokana na Miles nilizo nazo mara kadhaa nimekua nikifanya upgrade kukaa Business Class aisee treatment yake si ya kitoto kuanzia CHECK IN, EXCLUSIVE LUXURY LOUNGE na inflight menu na huduma super.
Tutafute pesa.
NB: Samahani kwa wote watakaohisi nimewakwaza kwa bandiko hili. Ila ndio uhalisia
Ulisema vizuri..huko Korea wamekufa wote bila kujali hayo madarajaItakua hata ndege ikiwa inaanguka,ukiwa hiyo class mnapewa mabawa mnaruka
Duuh mkuu aliyeomba li ten ni mimi namba niliweka ya lipa namba hapo bless š niokoe nishafanya matumizi.Nimetuma laki 5. Check salio