binti kiziwi
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 11,201
- 28,642
Haha Wabeja kulumba (sijui kama niko sahihi)Una akili sana. Basi tu watu huwa wanakuchukulia poa!
Comment yako hii inaonekana ya kawaida lakini kwa sisi wafuasi wa tapo la Existentialism, ni comment nzito na iliyobeba maana ya ndani sana.
Wabeja (Asante!)
Niliwahi kupanda hiyo business class nilihara vibaya sana, walitupatia vimisosi vya ajabu ajabu sijui tuchura tule?. Mi napandaga economy halafu napendaga kasiti ka mwisho kuchukua namba ya air hostess maana ndege ikisimama kituoni huwa wanajificha.Shughuli zangu za kutafuta kipato zinanilazimisha kusafir mara nyingi kwenda nje kwa (ndege) za mashirika mbalimbali hususani Emirates, Qatar na KLM.
Sasa kutokana na Miles nilizo nazo mara kadhaa nimekua nikifanya upgrade kukaa Business Class aisee treatment yake si ya kitoto kuanzia CHECK IN, EXCLUSIVE LUXURY LOUNGE na inflight menu na huduma super.
Tutafute pesa.
NB: Samahani kwa wote watakaohisi nimewakwaza kwa bandiko hili. Ila ndio uhalisia
Sasa unatukwaza na nini! Wewe sema unajishtukia tu, au umeamua kuturusha! Kwa mfano mimi na jamaa zangu wengi tu humu hatujawahi kupanda hizo ndege zenu! Halafu ndiyo mtukwaze kwa sababu mnasafiri kwenye hizo business class zenu!Shughuli zangu za kutafuta kipato zinanilazimisha kusafir mara nyingi kwenda nje kwa (ndege) za mashirika mbalimbali hususani Emirates, Qatar na KLM.
Sasa kutokana na Miles nilizo nazo mara kadhaa nimekua nikifanya upgrade kukaa Business Class aisee treatment yake si ya kitoto kuanzia CHECK IN, EXCLUSIVE LUXURY LOUNGE na inflight menu na huduma super.
Tutafute pesa.
NB: Samahani kwa wote watakaohisi nimewakwaza kwa bandiko hili. Ila ndio uhalisia
Umepatia kabisa. Kwani wewe ni bageshi? π³Haha Wabeja kulumba (sijui kama niko sahihi)
Watu wana wasiwasi na vingi kiasi kwamba wanashindwa kuishi vizuri.
Ngoja nirudi darasani kidogo nijifunze kuhusu Existentialism na matapo mengineβ¦..
Acha kabisa business class emirates balaaa....wana supu yao ya mabogo aisee ni tamuu hiyo.Shughuli zangu za kutafuta kipato zinanilazimisha kusafir mara nyingi kwenda nje kwa (ndege) za mashirika mbalimbali hususani Emirates, Qatar na KLM.
Sasa kutokana na Miles nilizo nazo mara kadhaa nimekua nikifanya upgrade kukaa Business Class aisee treatment yake si ya kitoto kuanzia CHECK IN, EXCLUSIVE LUXURY LOUNGE na inflight menu na huduma super.
Tutafute pesa.
NB: Samahani kwa wote watakaohisi nimewakwaza kwa bandiko hili. Ila ndio uhalisia
Tena sasa tutashauri timu yoyote ile itakayo fanikiwa kumpiga mtuu mkono apewe million 50 kama bonus ya mama.Sasa unatukwaza na nini! Wewe sema unajishtukia tu, au umeamua kuturusha! Kwa mfano mimi na jamaa zangu wengi tu humu hatujawahi kupanda hizo ndege zenu! Halafu ndiyo mtukwaze kwa sababu mnasafiri kwenye hizo business class zenu!
From what i know, siku zote dunia haiko fair! Thats all! Na ndiyo maana unaweza kumkuta Mtumishi wa umma ndani ya hii nchi anakopa milioni 5 benki kwa ajili ya kukarabati kibanda chake anachoishi, na kutakiwa kulipa na riba kubwa kwa miaka 5-9!! Halafu wakati huo huo unasikia Rais wa nchi ananua kila goli la timu za Yanga na simba kwa thamani ya pesa hiyo hiyo!
Emirates A380 business class niliopanda kwenda BALI (Indonesia) kutokea Dubai tulikaa upper deck (nyuma). UsikaririAcha kabisa business class emirates balaaa....wana supu yao ya mabogo aisee ni tamuu hiyo.
Ila aikushauri upande business ndege za waafrica utajutia hela yako. Hawajui maama ya business class hawa ngozi nyeusi hovyo kabisa.
Ila kwa taadhari tuu, kukaa business class na first class kunaongeza uwezekano wa kufa kwenye ajali ya ndege
Alo hiyo hatarj mzeya ulienjoy. So ukawa hewa alafu ukawa juu tena. Sii mchezo una jimwaya mwaya na warembo wa fly emirates.Emirates A380 business class niliopanda kwenda BALI (Indonesia) kutokea Dubai tulikaa upper deck (nyuma). Usikariri
Pesa ndo mpangoAlo hiyo hatarj mzeya ulienjoy. So ukawa hewa alafu ukawa juu tena. Sii mchezo una jimwaya mwaya na warembo wa fly emirates.
Kweli tusake hela...mie nataka kupiga
Dar dubai joburg
Hahaha buddy.Shughuli zangu za kutafuta kipato zinanilazimisha kusafir mara nyingi kwenda nje kwa (ndege) za mashirika mbalimbali hususani Emirates, Qatar na KLM.
Sasa kutokana na Miles nilizo nazo mara kadhaa nimekua nikifanya upgrade kukaa Business Class aisee treatment yake si ya kitoto kuanzia CHECK IN, EXCLUSIVE LUXURY LOUNGE na inflight menu na huduma super.
Tutafute pesa.
NB: Samahani kwa wote watakaohisi nimewakwaza kwa bandiko hili. Ila ndio uhalisia
Ndio matumizi ya hela hayo...kula mbususuHahaha buddy.
Kila mtu anatafuta pesa labda hata kwa bidii kuliko wewe haha.
Lakini matokei yake kila mtu anashinda mechi zake.
Wengine wakiweza kuoa mke wa pili na watatu, kwso ni mafsnikio makubwa.
Hao watakwambia tafuta pesa kuoa wake 4 raha sana.
Hahaha
Oga, this is Vawulence now..Should be am coming oooh
Asante sana Babu.Umepatia kabisa. Kwani wewe ni bageshi? π³
Watu wana wasiwasi eti watakuwa na mazishi ya aina gani, utafikiri hiyo ina maana yo yote kwao. Uzikwe na watu wanane kimya kimya kama Matola - yule omba omba mashuhuri; au uzikwe na dunia nzima kama Mandela wewe uliye ndani ya jeneza wala haikusaidii cho chote ππΏ
β‘οΈβ‘οΈβ‘οΈ Karibu tujifunze Existentialism pamoja bageshiππΏ
Mkuu acha hizo basiπDuh maisha haya! Wengine hata business class ya SGR hatuiwezi itakuwa ya ndege!
Je umesha zifumania ndugu au mchoto kutoka kwa walalahoi?Shughuli zangu za kutafuta kipato zinanilazimisha kusafir mara nyingi kwenda nje kwa (ndege) za mashirika mbalimbali hususani Emirates, Qatar na KLM.
Sasa kutokana na Miles nilizo nazo mara kadhaa nimekua nikifanya upgrade kukaa Business Class aisee treatment yake si ya kitoto kuanzia CHECK IN, EXCLUSIVE LUXURY LOUNGE na inflight menu na huduma super.
Tutafute pesa.
NB: Samahani kwa wote watakaohisi nimewakwaza kwa bandiko hili. Ila ndio uhalisia
,πππππHata mabasi ukipanda first class unahudumiwa kwa heshima.
Jichanganye upande yehevo yire za kigoma uone matusi na ukizingua konda anakupa makofi.
Unatufanya tujisikie vibaya sisi tunaotafuta ajiraShughuli zangu za kutafuta kipato zinanilazimisha kusafir mara nyingi kwenda nje kwa (ndege) za mashirika mbalimbali hususani Emirates, Qatar na KLM.
Sasa kutokana na Miles nilizo nazo mara kadhaa nimekua nikifanya upgrade kukaa Business Class aisee treatment yake si ya kitoto kuanzia CHECK IN, EXCLUSIVE LUXURY LOUNGE na inflight menu na huduma super.
Tutafute pesa.
NB: Samahani kwa wote watakaohisi nimewakwaza kwa bandiko hili. Ila ndio uhalisia
Wengine wakiweza kuoa mke wa pili na watatu, kwso ni mafsnikio makubwa.
Hao watakwambia tafuta pesa kuoa wake 4 raha sana.
Hahaha