Busta Rhymes: Diamond ni Michael Jackson wa Africa

Busta Rhymes: Diamond ni Michael Jackson wa Africa

sinza pazuri

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2014
Posts
3,344
Reaction score
9,066
Rapa namba moja duniani kwenye kucheza na ulimi "tongue twist" aitwae Busta Rhymes ameiambia dunia kupitia ukurasa wake wa Instagram kwamba Michael Jackson wa Africa ni Diamond Platnumz.

Busta amefikia kumuita Diamond ndio Michael Jackson wa Africa baada ya kuona uwezo wake mkubwa kiasi cha kuisimamisha Africa.

Walikuwa wote studio pamoja na international producer wa Diamond aitwae Swizz Beats.
 
Rapa namba moja duniani kwenye kucheza na ulimi "tongue twist" aitwae Busta Rhymes ameiambia dunia kupitia ukurasa wake wa Instagram kwamba Michael Jackson wa Africa ni Diamond Platnumz.

Busta amefikia kumuita Diamond ndio Michael Jackson wa Africa baada ya kuona uwezo wake mkubwa kiasi cha kuisimamisha Africa.

Walikuwa wote studio pamoja na international producer wa Diamond aitwae Swizz Beats.
Leta vidio
 
Yani Busta Rhyme kasema huyu ni Michael Ole Jackson Diamond Sabaya ?
1625042333954.png
 
Rapa namba moja duniani kwenye kucheza na ulimi "tongue twist" aitwae Busta Rhymes ameiambia dunia kupitia ukurasa wake wa Instagram kwamba Michael Jackson wa Africa ni Diamond Platnumz.

Busta amefikia kumuita Diamond ndio Michael Jackson wa Africa baada ya kuona uwezo wake mkubwa kiasi cha kuisimamisha Africa.

Walikuwa wote studio pamoja na international producer wa Diamond aitwae Swizz Beats.
Page ipi ya Insta ameandika hayo? Post ya lini? Explore account ya Busta hutoona huu uongo.

Then ukisema Busta ni No. 1 kwenye tongue twist sio sawa kuna kina Bone thugs n' harmony unawaacha wapi?
 
Back
Top Bottom