Slowly
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 10,589
- 35,268
We ndo popomaJapo umepost ujinga,nmependa username yako,sinza stand up[emoji95][emoji95][emoji95]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We ndo popomaJapo umepost ujinga,nmependa username yako,sinza stand up[emoji95][emoji95][emoji95]
Babu tale kila kilichokua kinaongelewa humo alikua haelewi ni kujichekesha chekesha tu
Kwani huoni wanavyo bishana hapa....!!??🤣😂Kwani waafrika wenyewe wanasemaje?
Leta vidio
Muulize Busta RhymesAnatoboa kwenda chini sio....
Anzisha petition ya kupinga kama kina kigogo.Huyo Busta kamkosea sana MJ; kutumia jina lake kwenye mfano wa ajabu kiasi hiki.
Kama wazungu wameshindwa kumpata MJ mpya hadi sasa iweje aje kupatikana Tandale! Busta niliwahi kumshauri aache kutumia bangi yenye unyevunyevu hakusikia, oneni sasa matokeo.
busta alikua hajalipuka na madawa yake au ilikua badoRapa namba moja duniani kwenye kucheza na ulimi "tongue twist" aitwae Busta Rhymes ameiambia dunia kupitia ukurasa wake wa Instagram kwamba Michael Jackson wa Africa ni Diamond Platnumz.
Busta amefikia kumuita Diamond ndio Michael Jackson wa Africa baada ya kuona uwezo wake mkubwa kiasi cha kuisimamisha Africa.
Walikuwa wote studio pamoja na international producer wa Diamond aitwae Swizz Beats.
Si uwa mnasema Chibu hana hela?Busta kavuta mkwanja mrefu sana kusema tu hayo maneno, Sadala kaona wivu sana B Boy kupokelewa na mastaa wa USA, usikute hata Busta alikua hamjui Domo
Hamjui twista huyu.Wa kwanza ni Twista.
Ludacris, busta na wengine wanafuatia
Ata mimi ndio najiuliza.. 😂Africa ilisimamishwa lini?
Nimetema chai yote chini! Duh! 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂Huyo Busta kamkosea sana MJ; kutumia jina lake kwenye mfano wa ajabu kiasi hiki.
Kama wazungu wameshindwa kumpata MJ mpya hadi sasa iweje aje kupatikana Tandale! Busta niliwahi kumshauri aache kutumia bangi yenye unyevunyevu hakusikia, oneni sasa matokeo.
Sio screenshot, maana screenshot mnazichezea sanaRapa namba moja duniani kwenye kucheza na ulimi "tongue twist" aitwae Busta Rhymes ameiambia dunia kupitia ukurasa wake wa Instagram kwamba Michael Jackson wa Africa ni Diamond Platnumz.
Busta amefikia kumuita Diamond ndio Michael Jackson wa Africa baada ya kuona uwezo wake mkubwa kiasi cha kuisimamisha Africa.
Walikuwa wote studio pamoja na international producer wa Diamond aitwae Swizz Beats.
Wapi nimebishana na Busta Rhymes?,mimi nimeuliza ni lini Afrika ilisimamishwa au tuambie wewe uliyeongea nae ni wapi na lini?Unabishana na Busta Rhymes?
Huyo Busta Rhymes katoa maoni yake yeye kama yeye,haimaanishi kwakua yeye kasema hivyo basi kila mtu akubaliane nae,hayo ni mawazo yake na maoni yake tu,Unabishana na Busta Rhymes?