Busta Rhymes: Diamond ni Michael Jackson wa Africa

Busta Rhymes: Diamond ni Michael Jackson wa Africa

Busta kavuta mkwanja mrefu sana kusema tu hayo maneno, Sadala kaona wivu sana B Boy kupokelewa na mastaa wa USA, usikute hata Busta alikua hamjui Domo
 
Huyo Busta kamkosea sana MJ; kutumia jina lake kwenye mfano wa ajabu kiasi hiki.

Kama wazungu wameshindwa kumpata MJ mpya hadi sasa iweje aje kupatikana Tandale! Busta niliwahi kumshauri aache kutumia bangi yenye unyevunyevu hakusikia, oneni sasa matokeo.
 
Huyo Busta kamkosea sana MJ; kutumia jina lake kwenye mfano wa ajabu kiasi hiki.

Kama wazungu wameshindwa kumpata MJ mpya hadi sasa iweje aje kupatikana Tandale! Busta niliwahi kumshauri aache kutumia bangi yenye unyevunyevu hakusikia, oneni sasa matokeo.
Anzisha petition ya kupinga kama kina kigogo.
 
Rapa namba moja duniani kwenye kucheza na ulimi "tongue twist" aitwae Busta Rhymes ameiambia dunia kupitia ukurasa wake wa Instagram kwamba Michael Jackson wa Africa ni Diamond Platnumz.

Busta amefikia kumuita Diamond ndio Michael Jackson wa Africa baada ya kuona uwezo wake mkubwa kiasi cha kuisimamisha Africa.

Walikuwa wote studio pamoja na international producer wa Diamond aitwae Swizz Beats.
busta alikua hajalipuka na madawa yake au ilikua bado
 
Busta kavuta mkwanja mrefu sana kusema tu hayo maneno, Sadala kaona wivu sana B Boy kupokelewa na mastaa wa USA, usikute hata Busta alikua hamjui Domo
Si uwa mnasema Chibu hana hela?
 
Huyo Busta kamkosea sana MJ; kutumia jina lake kwenye mfano wa ajabu kiasi hiki.

Kama wazungu wameshindwa kumpata MJ mpya hadi sasa iweje aje kupatikana Tandale! Busta niliwahi kumshauri aache kutumia bangi yenye unyevunyevu hakusikia, oneni sasa matokeo.
Nimetema chai yote chini! Duh! 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂
 
Weka hiyo link,
Rapa namba moja duniani kwenye kucheza na ulimi "tongue twist" aitwae Busta Rhymes ameiambia dunia kupitia ukurasa wake wa Instagram kwamba Michael Jackson wa Africa ni Diamond Platnumz.

Busta amefikia kumuita Diamond ndio Michael Jackson wa Africa baada ya kuona uwezo wake mkubwa kiasi cha kuisimamisha Africa.

Walikuwa wote studio pamoja na international producer wa Diamond aitwae Swizz Beats.
Sio screenshot, maana screenshot mnazichezea sana
 
Its a Party Remix. Busta Rhymes feat. Diamond Platnumz...
hahahaaa

Ila uongo mbaya Simba anajitahidi kupepeza bendera.
 
Unabishana na Busta Rhymes?
Huyo Busta Rhymes katoa maoni yake yeye kama yeye,haimaanishi kwakua yeye kasema hivyo basi kila mtu akubaliane nae,hayo ni mawazo yake na maoni yake tu,

So,Busta ana maanisha Diamond ni bora kuliko hata Burnaboy? 🤣🤣
 
Back
Top Bottom