Busta Rhymes: Diamond ni Michael Jackson wa Africa

Busta Rhymes: Diamond ni Michael Jackson wa Africa

Rapa namba moja duniani kwenye kucheza na ulimi "tongue twist" aitwae Busta Rhymes ameiambia dunia kupitia ukurasa wake wa Instagram kwamba Michael Jackson wa Africa ni Diamond Platnumz.

Busta amefikia kumuita Diamond ndio Michael Jackson wa Africa baada ya kuona uwezo wake mkubwa kiasi cha kuisimamisha Africa.

Walikuwa wote studio pamoja na international producer wa Diamond aitwae Swizz Beats.
Na tuzo ya BET imeenda kwa Diamond, si ndiyo? Usipende kutilia maanani kila ulisikialo toka kwa wasanii.....kule kunaitwa kupamba mtu ili akupitie mbali asikuombe selfie. Kwa akili yako, unafikiri Busta cares for Diamond?
 
Jamaa anawatambulisha wamarekani wenzie kwa staha lakini waafrika kwa kuanza na Mitusi nao wanaona fahari! Hatar sana!
 
Na tuzo ya BET imeenda kwa Diamond, si ndiyo? Usipende kutilia maanani kila ulisikialo toka kwa wasanii.....kule kunaitwa kupamba mtu ili akupitie mbali asikuombe selfie. Kwa akili yako, unafikiri Busta cares for Diamond?
Kama imekuingia na maumivu chomoa ujambe
 
Kama imekuingia na maumivu chomoa ujambe
Ona sasa ulivyo na hasira wewe chawa wa Domo, mtamalizwa na yeye kwa tamaa zenu za kijinga. Tafuteni vyenu, hamuoni haibu kukaa na kumsifia mwanamme mwenzenu ili awaweke mjini?
 
Rapa namba moja duniani kwenye kucheza na ulimi "tongue twist" aitwae Busta Rhymes ameiambia dunia kupitia ukurasa wake wa Instagram kwamba Michael Jackson wa Africa ni Diamond Platnumz.

Busta amefikia kumuita Diamond ndio Michael Jackson wa Africa baada ya kuona uwezo wake mkubwa kiasi cha kuisimamisha Africa.

Walikuwa wote studio pamoja na international producer wa Diamond aitwae Swizz Beats.
Michael Jackson!!![emoji12][emoji12]
 
Back
Top Bottom