Reginald L. Ishala
JF-Expert Member
- Jun 18, 2011
- 3,810
- 6,789
Afrika nayo ina miguu kumbe!?!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaeza fanya na hao afu cha ajabu kolabo ya Mario na mavoko ndio ikawa hot smash hahahahahaaaa msanii katika nyimbo zako 10, 8 ni kolabo ulizoimba mwenyewe 2 tu hahahahaaaa no uwoga kila wimbo hadi usindikizwe why can't u stands for ur own?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huyo mwenye mdomo kama kilo tatu za kitimoto[emoji1787]
Na tuzo ya BET imeenda kwa Diamond, si ndiyo? Usipende kutilia maanani kila ulisikialo toka kwa wasanii.....kule kunaitwa kupamba mtu ili akupitie mbali asikuombe selfie. Kwa akili yako, unafikiri Busta cares for Diamond?Rapa namba moja duniani kwenye kucheza na ulimi "tongue twist" aitwae Busta Rhymes ameiambia dunia kupitia ukurasa wake wa Instagram kwamba Michael Jackson wa Africa ni Diamond Platnumz.
Busta amefikia kumuita Diamond ndio Michael Jackson wa Africa baada ya kuona uwezo wake mkubwa kiasi cha kuisimamisha Africa.
Walikuwa wote studio pamoja na international producer wa Diamond aitwae Swizz Beats.
Kama imekuingia na maumivu chomoa ujambeNa tuzo ya BET imeenda kwa Diamond, si ndiyo? Usipende kutilia maanani kila ulisikialo toka kwa wasanii.....kule kunaitwa kupamba mtu ili akupitie mbali asikuombe selfie. Kwa akili yako, unafikiri Busta cares for Diamond?
Ona sasa ulivyo na hasira wewe chawa wa Domo, mtamalizwa na yeye kwa tamaa zenu za kijinga. Tafuteni vyenu, hamuoni haibu kukaa na kumsifia mwanamme mwenzenu ili awaweke mjini?Kama imekuingia na maumivu chomoa ujambe
Michael Jackson!!![emoji12][emoji12]Rapa namba moja duniani kwenye kucheza na ulimi "tongue twist" aitwae Busta Rhymes ameiambia dunia kupitia ukurasa wake wa Instagram kwamba Michael Jackson wa Africa ni Diamond Platnumz.
Busta amefikia kumuita Diamond ndio Michael Jackson wa Africa baada ya kuona uwezo wake mkubwa kiasi cha kuisimamisha Africa.
Walikuwa wote studio pamoja na international producer wa Diamond aitwae Swizz Beats.