Busta Rhymes: Diamond ni Michael Jackson wa Africa

Busta Rhymes: Diamond ni Michael Jackson wa Africa

Kwa sasa huyo busta huko marekani ni sawa na dudu baya huku bongo
Unamaanisha busta ni chawa wa kule? Acha hizo.
Sioni kabisa watu kama davido na wizkid kufanya kolabo na busta!
 
Michael Jackson huyu au wa wapi ?

Busta kabuma, kazeeshwa na madawa. Nahisi hajielewi kabisa.
Busta Rhymes king of tongue twist in the world anaujua muziki wa dunia nje ndani. Kaona uwezo na maajabu ya Wacko Jacko wa Africa aka Diamond Platnumz.
Wewe endelea kuumia kuna siku Diamond atakupa stroke mdomo uende upande.
 
Busta Rhymes king of tongue twist in the world anaujua muziki wa dunia nje ndani. Kaona uwezo na maajabu ya Wacko Jacko wa Africa aka Diamond Platnumz.
Wewe endelea kuumia kuna siku Diamond atakupa stroke mdomo uende upande.
Huyo mwenye mdomo kama kilo tatu za kitimoto🤣
 
Busta Rhymes king of tongue twist in the world anaujua muziki wa dunia nje ndani. Kaona uwezo na maajabu ya Wacko Jacko wa Africa aka Diamond Platnumz.
Wewe endelea kuumia kuna siku Diamond atakupa stroke mdomo uende upande.
Msumari nchi nane😃
 
Huyo Busta kamkosea sana MJ; kutumia jina lake kwenye mfano wa ajabu kiasi hiki.

Kama wazungu wameshindwa kumpata MJ mpya hadi sasa iweje aje kupatikana Tandale! Busta niliwahi kumshauri aache kutumia bangi yenye unyevunyevu hakusikia, oneni sasa matokeo.
Sasa ulitaka atajwe Nani we kiazi ?
 
Rapa namba moja duniani kwenye kucheza na ulimi "tongue twist" aitwae Busta Rhymes ameiambia dunia kupitia ukurasa wake wa Instagram kwamba Michael Jackson wa Africa ni Diamond Platnumz.

Busta amefikia kumuita Diamond ndio Michael Jackson wa Africa baada ya kuona uwezo wake mkubwa kiasi cha kuisimamisha Africa.

Walikuwa wote studio pamoja na international producer wa Diamond aitwae Swizz Beats.
Anastahili...!!!
 
Huyo Busta kamkosea sana MJ; kutumia jina lake kwenye mfano wa ajabu kiasi hiki.

Kama wazungu wameshindwa kumpata MJ mpya hadi sasa iweje aje kupatikana Tandale! Busta niliwahi kumshauri aache kutumia bangi yenye unyevunyevu hakusikia, oneni sasa matokeo.
😂
 
Busta kavuta mkwanja mrefu sana kusema tu hayo maneno, Sadala kaona wivu sana B Boy kupokelewa na mastaa wa USA, usikute hata Busta alikua hamjui Domo
Assumptions, eti "usikute hata Basta alikua hamjui Domo".
Wivu ni gonjwa sugu.
 
Page ipi ya Insta ameandika hayo? Post ya lini? Explore account ya Busta hutoona huu uongo.

Then ukisema Busta ni No. 1 kwenye tongue twist sio sawa kuna kina Bone thugs n' harmony unawaacha wapi?
Ok, najua post utakuwa umiona.
Ila turekebishe hapa "msanii namba moja" iwe moja kati ya msanii bora wa style ya tongue twist.
 
Si ndo hii jaman 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom