Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 48,055
- 116,512
Kwani sisi tushawahi kuomba unga kwenu?Mtabakia hivyo hivyo mwenzenu anazidi kutoboa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani sisi tushawahi kuomba unga kwenu?Mtabakia hivyo hivyo mwenzenu anazidi kutoboa.
atakua anaumwa jino, kwani hakujipanga kisaikolijia?kuna yule Kigoma Independent tangu juzi amegoma kula analia na kusaga meno eti kisa Masai wa madale kakosa tuzo.
Unamaanisha busta ni chawa wa kule? Acha hizo.Kwa sasa huyo busta huko marekani ni sawa na dudu baya huku bongo
Ndio.Swiz beat ni producer wa diamond?
Mimi nitamtoboa bi mkubwa wako.Na ww atakutoboa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Busta Rhymes king of tongue twist in the world anaujua muziki wa dunia nje ndani. Kaona uwezo na maajabu ya Wacko Jacko wa Africa aka Diamond Platnumz.Michael Jackson huyu au wa wapi ?
Busta kabuma, kazeeshwa na madawa. Nahisi hajielewi kabisa.
Huyo mwenye mdomo kama kilo tatu za kitimoto🤣Busta Rhymes king of tongue twist in the world anaujua muziki wa dunia nje ndani. Kaona uwezo na maajabu ya Wacko Jacko wa Africa aka Diamond Platnumz.
Wewe endelea kuumia kuna siku Diamond atakupa stroke mdomo uende upande.
[emoji3],Aisee napiga Alta Wine hapa,ngoja nimuiteSwali zuri..mkuu unakunywa nini hapo? Muite muhudum
Msumari nchi nane😃Busta Rhymes king of tongue twist in the world anaujua muziki wa dunia nje ndani. Kaona uwezo na maajabu ya Wacko Jacko wa Africa aka Diamond Platnumz.
Wewe endelea kuumia kuna siku Diamond atakupa stroke mdomo uende upande.
Sasa ulitaka atajwe Nani we kiazi ?Huyo Busta kamkosea sana MJ; kutumia jina lake kwenye mfano wa ajabu kiasi hiki.
Kama wazungu wameshindwa kumpata MJ mpya hadi sasa iweje aje kupatikana Tandale! Busta niliwahi kumshauri aache kutumia bangi yenye unyevunyevu hakusikia, oneni sasa matokeo.
Wamefanya nyimbo ganiNdio.
Anastahili...!!!Rapa namba moja duniani kwenye kucheza na ulimi "tongue twist" aitwae Busta Rhymes ameiambia dunia kupitia ukurasa wake wa Instagram kwamba Michael Jackson wa Africa ni Diamond Platnumz.
Busta amefikia kumuita Diamond ndio Michael Jackson wa Africa baada ya kuona uwezo wake mkubwa kiasi cha kuisimamisha Africa.
Walikuwa wote studio pamoja na international producer wa Diamond aitwae Swizz Beats.
Duh..[emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji2958][emoji41][emoji41]Yani Busta Rhyme kasema huyu ni Michael Ole Jackson Diamond Sabaya ?
View attachment 1835349
😂Huyo Busta kamkosea sana MJ; kutumia jina lake kwenye mfano wa ajabu kiasi hiki.
Kama wazungu wameshindwa kumpata MJ mpya hadi sasa iweje aje kupatikana Tandale! Busta niliwahi kumshauri aache kutumia bangi yenye unyevunyevu hakusikia, oneni sasa matokeo.
Assumptions, eti "usikute hata Basta alikua hamjui Domo".Busta kavuta mkwanja mrefu sana kusema tu hayo maneno, Sadala kaona wivu sana B Boy kupokelewa na mastaa wa USA, usikute hata Busta alikua hamjui Domo
Ok, najua post utakuwa umiona.Page ipi ya Insta ameandika hayo? Post ya lini? Explore account ya Busta hutoona huu uongo.
Then ukisema Busta ni No. 1 kwenye tongue twist sio sawa kuna kina Bone thugs n' harmony unawaacha wapi?