Bustani zote kuwekwa Wi-Fi ili vijana wetu watumie kwenye shughuli zao za kielimu na ajira pia

Bustani zote kuwekwa Wi-Fi ili vijana wetu watumie kwenye shughuli zao za kielimu na ajira pia

Ungelijua vile hao wasanii wenu wanahangaika na hicho kingereza wala usingelithubutu kuandika ujinga hapa
Ninyi wasanii wenu wanajua sana English lakini hata wasanii wa Burundi ni maarufu kuwazidi
 
Ninyi wasanii wenu wanajua sana English lakini hata wasanii wa Burundi ni maarufu kuwazidi
EA hakuna nchi ambayo wasanii wanalipwa vizuri ndani ya nchi km kenya..
Kwenu mtu maarufu lkn mfuko mwepesi
 
Hakuna msanii wa kenya mwenye hata robo ya ukwasi wa dai, wasanii wenu wote dai anaweza kuwalipa kila mwisho wa mwezi jumla ya shows zao zote kwa miaka 10
Eti yule domo wenu ndio mkwasi[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Acha ujinga aisee, networth yake bei ya kiwanja westlands huo ndio ukwasi jamani
 
Back
Top Bottom