TANZIA Butiama, mtoto wa dada yake Mwalimu Nyerere afariki Dunia

TANZIA Butiama, mtoto wa dada yake Mwalimu Nyerere afariki Dunia

Poppy Hatonn

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2021
Posts
3,095
Reaction score
4,632
Hii imetokea Desemba 24 kijijini Butiama ambapo Richard (Nyerere) Masanza mtoto wa dada yake Mwalimu Nyerere amefariki Dunia baada ya kuugua kwa muda mfupi.

Richard amesoma shule ya msingi hapa Dar es Salaam, Kurasini.

Alas,that is the only education he had.

Ni binamu yangu,mtoto wa shangazi Nyakigi. Tulikuwa tunasoma shule ya msingi Kurasini.

Ile shule yetu ya zamani sasa hivi ndio Makao Makuu ya Kanisa Katoliki Tanzania.

Kwa hiyo watu huko kijijini Butiama wamekuwa na Christmas ya kuomboleza somewhat kwa ajili ya hiki kifo.

But he was not young,70+ years old.

RIP Richard.
 
Hawa walizaliwa wavulana watatu.
Well, education ni tatizo.
In the past we could not look into the future and understand that education is everything, and that a person should be educated at all costs.
Lakini elimu yenyewe haina mwisho. Mtu anaweza kuwa mzee, bado akaanza shule ya msingi.

Kwani ule mpango wa Baba wa Taifa - kuhusu UPE na NGUMBARU - familia yake mwenyewe haikuufanyia utekelezaji makhususi?
 
Hii imetokea Desemba 24 kijijini Butiama ambapo Richard (Nyerere) Masanza mtoto wa dada yake Mwalimu Nyerere amefariki Dunia baada ya kuugua kwa muda mfupi.
Richard amesoma shule ya msingi hapa Daressalaam, Kurasini.
Alas,that is the only education he had.
Ni binamu yangu,mtoto wa shangazi Nyakigi. Tulikuwa tunasoma shule ya msingi Kurasini.
Ile shule yetu ya zamani sasa hivi ndio Makao Makuu ya Kanisa Katoliki Tanzania.
Kwa hiyo watu huko kijijini Butiama wamekuwa na Christmas ya kuomboleza somewhat kwa ajili ya hiki kifo.
But he was not young,70+ years old.
RIP Richard.
Richard ni nduguye na Antony? Nani mkubwa kati yao
 
Pamoja na umahiri wa Ndugu yao (Mwl J.Nyerere) kuhamasisha wengine kusoma ila upande wao hawakuona deal

Imagine hadi huku Rondo-Lindi wamwera akina Membe walisoma hadi Elimu ya juu lakini kwenye Ukoo wa Mwl hawakupenda kupiga Shule

Hatumsimangi Marehemu,lakini tunaonesha tatizo lilipo kwenye hiyo familia

Apumzike kwa amani, Marehemu
 
Hii imetokea Desemba 24 kijijini Butiama ambapo Richard (Nyerere) Masanza mtoto wa dada yake Mwalimu Nyerere amefariki Dunia baada ya kuugua kwa muda mfupi.

Richard amesoma shule ya msingi hapa Dar es Salaam, Kurasini.

Alas,that is the only education he had.

Ni binamu yangu,mtoto wa shangazi Nyakigi. Tulikuwa tunasoma shule ya msingi Kurasini.

Ile shule yetu ya zamani sasa hivi ndio Makao Makuu ya Kanisa Katoliki Tanzania.

Kwa hiyo watu huko kijijini Butiama wamekuwa na Christmas ya kuomboleza somewhat kwa ajili ya hiki kifo.

But he was not young,70+ years old.

RIP Richard.
RIP
 
Ukoo wa Nyerere kuna kitu nahisi hakipo Sawa,shida au upumbavu ni kwamba walibweteka sana kwa kuamini kuwa Ndugu/Baba yao ni Mkuu wa Nchi tena mwenye kuheshimika kuliko yoyote hapa Tanzania basi wataishi kwa raha na fanaka miaka yao yote bila kujiongeza kufanya kazi,kufanya savings au kujituma kimasomo

Makongoro,Madaraka na kina Ester et al………..wamepelekwa shule mpaka nje lakin wanaishia kuharibu wanarudi nyumbani kunywa pombe,bangi,gongo na ugoro kwa wingi

Majuto ni Mjukuu,msipojiongeza msomeshe watoto/wajukuu wenu hali itakuwa kama sisi tu watoto wa wakulima

Hivi kwanini hamjifunzi kwa Wahuni kama Ridhiwani,Hussein Mwinyi au huyu pedeshee Abdul mutoto ya Mama!??
 
Ukoo wa Nyerere kuna kitu nahisi hakipo Sawa,shida au upumbavu ni kwamba walibweteka sana kwa kuamini kuwa Ndugu/Baba yao ni Mkuu wa Nchi tena mwenye kuheshimika kuliko yoyote hapa Tanzania basi wataishi kwa raha na fanaka miaka yao yote bila kujiongeza kufanya kazi,kufanya savings au kujituma kimasomo

Makongoro,Madaraka na kina Ester et al………..wamepelekwa shule mpaka nje lakin wanaishia kuharibu wanarudi nyumbani kunywa pombe,bangi,gongo na ugoro kwa wingi

Majuto ni Mjukuu,msipojiongeza msomeshe watoto/wajukuu wenu hali itakuwa kama sisi tu watoto wa wakulima

Hivi kwanini hamjifunzi kwa Wahuni kama Ridhiwani,Hussein Mwinyi au huyu pedeshee Abdul mutoto ya Mama!??
Ila RICHARD sio mtoto wa Nyerere,
 
Back
Top Bottom