TANZIA Butiama, mtoto wa dada yake Mwalimu Nyerere afariki Dunia

TANZIA Butiama, mtoto wa dada yake Mwalimu Nyerere afariki Dunia

Ndio, hakuzalisha Ridhiwani na Abduli kwa saab hakuwa mpiga dili.

Imagine Poppy Hatton anasema alisoma Kurasini Primary. Huyu ni the first born, miaka ya 50 na, babaao kapanga chumba na sebule Magomeni. Sasa sijui kina walikuwa wanapiga teke kwenda shule Kurasini au vipi.
Mwalimu JK angeona haya yanafanyika sasa basi tu🥲.
Hao ndio wazee wetu, mpaka leo poppy hatton anadeka kwa mama anakula wali maharage bila tabu.
Hataki makuu,marehemu huyo wamesoma wote ana miaka 70 ina maana Andrew yuko 68-70 yuko msasani kwa Mama.
Butiama walimkimbiza alisema mwenyewe hapa mwaka jana.
Alipopanda kuwa Mfalme wa Tanganyika, Julius hakusahau alikotoka.
 
Kwa mkoa wa Musoma makabila mengi Kati Yao 180 yaliyopo Mkoani hapo wanatumia Matrilineal so RICHARD NYERERE ni sawa kachukulia jina la ujombani
 
You can be better than this. Nchi yetu sijui ni kwa sababu tunazaliwa na kukulia kwenye umaskini ndiyo maana kila mtu anakuwa na roho mbaya. Ugonjwa wa akili ni disability kama nyingine zilivyo, hivyo tusionyeshe kebehi au lughu isiyo na staha wakati wa kuongelea. Hakuna mtu anayepeleka application ya kuzaliwa na ugonjwa wa akili. Kwa society tuliyonayo sasa hivi, naona polisi kama Mafwele wakizidi kuongezeka...
Asante sana mkuu, ni binadamu hawa.
Kuumwa kawaida tu hatuna haja ya kulaumiana kupeana kejeli.
Anayefanya hivyo hajaingia pale muhimbili siku hizi sijui mnaita mloganzila.
Sisi tuliopita huko😥🤲.
 
Watoto wa Nyerere wamesoma wote na Kama alivyosema hapo juu huyo 1st born wa Baba wa Taifa zamani baadhi ya watu hawakuipa umuhimu Elimu.
Ukoo wa Nyerere kuna kitu nahisi hakipo Sawa,shida au upumbavu ni kwamba walibweteka sana kwa kuamini kuwa Ndugu/Baba yao ni Mkuu wa Nchi tena mwenye kuheshimika kuliko yoyote hapa Tanzania basi wataishi kwa raha na fanaka miaka yao yote bila kujiongeza kufanya kazi,kufanya savings au kujituma kimasomo

Makongoro,Madaraka na kina Ester et al………..wamepelekwa shule mpaka nje lakin wanaishia kuharibu wanarudi nyumbani kunywa pombe,bangi,gongo na ugoro kwa wingi

Majuto ni Mjukuu,msipojiongeza msomeshe watoto/wajukuu wenu hali itakuwa kama sisi tu watoto wa wakulima

Hivi kwanini hamjifunzi kwa Wahuni kama Ridhiwani,Hussein Mwinyi au huyu pedeshee Abdul mutoto ya Mama!??
 
Tatizo ukizaliwa katika familia ya uhakika wa milo 3 ,watoto wengi ujisahau na kuja kushtuka wakati kunakucha na madhara uwa ni baadae sana
 
You can be better than this. Nchi yetu sijui ni kwa sababu tunazaliwa na kukulia kwenye umaskini ndiyo maana kila mtu anakuwa na roho mbaya. Ugonjwa wa akili ni disability kama nyingine zilivyo, hivyo tusionyeshe kebehi au lughu isiyo na staha wakati wa kuongelea. Hakuna mtu anayepeleka application ya kuzaliwa na ugonjwa

Mtu anaeanzisha mjadala wa ndugu yake kukosa elimu hawezi kusemwa yeye ndio ana ugonjwa wa akili.

Poppy Haton alipasije mitihani ya differential equations ya Engineering Department University of D'Salaam mpaka akapewa degree ?

Na ni huyu aliyekuwa navy pilot wa JWTZ. Kama sio huyu basi Nyerere historians wengine mtanisahihisha. Sasa mbona hakuangusha hizo ndege ?

AU waliompa Poppy Haton ma degree na ma ndege ya kuendesha na wao ni machizi ??????

Sio kila mtu mwenye eccentricities and idiosyncracies zake ni chizi.
 
Pamoja na umahiri wa Ndugu yao (Mwl J.Nyerere) kuhamasisha wengine kusoma ila upande wao hawakuona deal

Imagine hadi huku Rondo-Lindi wamwera akina Membe walisoma hadi Elimu ya juu lakini kwenye Ukoo wa Mwl hawakupenda kupiga Shule

Hatumsimangi Marehemu,lakini tunaonesha tatizo lilipo kwenye hiyo familia

Apumzike kwa amani, Marehemu
Nahisi waolijawa na uoga wa kucompit na Mwl kielimu au hawakuona umuhimu wa elimu waliona washajipata kupitia jina la Mwl au waliona washasomewa na mwl so elimu hawakuona thamani ya elimu so wakaridhika na ile kuwa kwenye ukoo wa mwl au walitaraj favour kutoka kwa mwl lakini haikuwa hivyo ...hii ndio maana halisi ya mtegemea cha nduguye
 
Nahisi waolijawa na uoga wa kucompit na Mwl kielimu au hawakuona umuhimu wa elimu waliona washajipata kupitia jina la Mwl au waliona washasomewa na mwl so elimu hawakuona thamani ya elimu so wakaridhika na ile kuwa kwenye ukoo wa mwl au walitaraj favour kutoka kwa mwl lakini haikuwa hivyo ...hii ndio maana halisi ya mtegemea cha nduguye
Wangekuwa Wana Shule, wengi wangeingizwa kwenye system
 
Back
Top Bottom