Pre GE2025 Butiku: Acheni kumchangia Rais Samia fomu ya kugombea Uras, kuendelea kufanya hivyo ni kuunga mkono rushwa

Pre GE2025 Butiku: Acheni kumchangia Rais Samia fomu ya kugombea Uras, kuendelea kufanya hivyo ni kuunga mkono rushwa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Nyendo

JF-Expert Member
Joined
Jun 4, 2017
Posts
1,336
Reaction score
4,731

Mwenyekiti wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere Foundation, Joseph Butiku amewaonya wanasiasa na wanachama wa CCM kuacha mara moja kampeni za kumchangia Rais Dkt. Samia Suluhu fomu ya kuwania nafasi hiyo tena kwa mwaka 2025-2030, akisema kuendelea kufanya hivyo ni kuunga mkono rushwa.

Butiku ameyasema hayo katika Kongamano la Miaka Mitatu ya Taasisi ya Kizalendo ya Tanzania Patriotic Organisation (TPO) lililofanyika katika Ukumbi wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere, Posta jijini Dar es Salaam.

Katika ufunguzi wa Kongamano hilo Taasisi ya Tanzania Patriotic Organisation nayo haikusita kukemea ubadhirifu na rushwa huku ikiwataka Watanzania kuwa wamoja na wazalendo wanaposimamia mali za umma

Pia soma:
 

Mwenyekiti wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere Foundation, Joseph Butiku amewaonya wanasiasa na wanachama wa CCM kuacha mara moja kampeni za kumchangia Rais Dkt. Samia Suluhu fomu ya kuwania nafasi hiyo tena kwa mwaka 2025-2030, akisema kuendelea kufanya hivyo ni kuunga mkono rushwa.

Butiku ameyasema hayo katika Kongamano la Miaka Mitatu ya Taasisi ya Kizalendo ya Tanzania Patriotic Organisation (TPO) lililofanyika katika Ukumbi wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere, Posta jijini Dar es Salaam.

Katika ufunguzi wa Kongamano hilo Taasisi ya Tanzania Patriotic Organisation nayo haikusita kukemea ubadhirifu na rushwa huku ikiwataka Watanzania kuwa wamoja na wazalendo wanaposimamia mali za umma
Dr Samia ana hofu sana ya kushinda Urais 2025.
 

Mwenyekiti wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere Foundation, Joseph Butiku amewaonya wanasiasa na wanachama wa CCM kuacha mara moja kampeni za kumchangia Rais Dkt. Samia Suluhu fomu ya kuwania nafasi hiyo tena kwa mwaka 2025-2030, akisema kuendelea kufanya hivyo ni kuunga mkono rushwa.

Butiku ameyasema hayo katika Kongamano la Miaka Mitatu ya Taasisi ya Kizalendo ya Tanzania Patriotic Organisation (TPO) lililofanyika katika Ukumbi wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere, Posta jijini Dar es Salaam.

Katika ufunguzi wa Kongamano hilo Taasisi ya Tanzania Patriotic Organisation nayo haikusita kukemea ubadhirifu na rushwa huku ikiwataka Watanzania kuwa wamoja na wazalendo wanaposimamia mali za umma
Hawa ndiiyo watu pekee anbao akili yao haijachakachuliwa na chawa
 
Mwenyekiti wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere Foundation, Joseph Butiku amewaonya wanasiasa na wanachama wa CCM kuacha mara moja kampeni za kumchangia Rais Dkt. Samia Suluhu fomu ya kuwania nafasi hiyo tena kwa mwaka 2025-2030, akisema kuendelea kufanya hivyo ni kuunga mkono rushwa.
Hata uyo mwenyewe anatechangiwa alitakiwa kupuwa na mshipa wa aibu akemee hicho kitendo
 
Hicho alichosema kwenye hotuba yake na mengine mengi kama hayo ndio mchongo wake uliotukuka kwa nchi hii, na abarikiwe sana.
Hiyo taasisi ya Mwalimu Nyerere ameiua, imekuwa kama kikkao cha ukoo wa wazanaki tu. Yaani inazidiwa na vitaasisi vilivyoanzishwa na watoto wadogo wa juzi.

Amekuwa kiongozi wa taasisi asiye na kikomo cha muda wa uongozi, wafadhili wameikimbia taasisi kwa sababu ya ufisadi mkubwa.
 
Back
Top Bottom