Pre GE2025 Butiku: Acheni kumchangia Rais Samia fomu ya kugombea Uras, kuendelea kufanya hivyo ni kuunga mkono rushwa

Pre GE2025 Butiku: Acheni kumchangia Rais Samia fomu ya kugombea Uras, kuendelea kufanya hivyo ni kuunga mkono rushwa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hiyo taasisi ya Mwalimu Nyerere ameiua, imekuwa kama kikkao cha ukoo wa wazanaki tu. Yaani inazidiwa na vitaasisi vilivyoanzishwa na watoto wadogo wa juzi.

Amekuwa kiongozi wa taasisi asiye na kikomo cha muda wa uongozi, wafadhili wameikimbia taasisi kwa sababu ya ufisadi mkubwa.
Anazidiwa na taasisi ya mama sema na mjukuu wako?
 
Hiyo taasisi ya Mwalimu Nyerere ameiua, imekuwa kama kikkao cha ukoo wa wazanaki tu. Yaani inazidiwa na vitaasisi vilivyoanzishwa na watoto wadogo wa juzi.

Amekuwa kiongozi wa taasisi asiye na kikomo cha muda wa uongozi, wafadhili wameikimbia taasisi kwa sababu ya ufisadi mkubwa.
Vipi katia mchanga kitumbua?

Kwani huwezi kuishi bila kujipendekeza?
 
Naona Mzee, kashindwa kuvumilia..ila Mama hizo hela za fomu mbona zimekuwa nyingi hivyo..hebu nipunguzie na mimi basi, zinistiri huku Iguguno
Wanaccm wote wanatoa rushwa wakati wa uchaguzi.wengine tuliwahi kujipenyeza kwenye kampeni za nyumba kwa usiku.sasa jiulize kampeni za usiku ni kampeni gani hizo?jibu ni za kushawishi wajumbe kwa rushwa.
 
Vitoto vya juzi utavijua tuu, kama hujui mchango wa mzee butiku katika taifa hili wewe kweli bado mtoto sana hujielewi
Hana mchango wowote, mchango pekee alio nao ni kuua vyama vya ushirika. Huyu Butiku enzi ya Nyanza Cooperative Union ina nguvu, alienda Mwanza Hotel, akawa anapata kinywaji, akamuona binti mkaali balaa, akamtongoza, binti akagoma, akasema Butiku atampa nini wakati yeye(binti) anatoka na Afisa wa Nyanza. Kwanza akauliza Butiku ndio nani nchi hii.

Butiku mbio kwa Nyerere, akaenda kumjaza ujinga kwamba kuna watu/taasisi zina nguvu kuliko Rais, na wanachi wanaziheshimu kuliko Rais. Nyerere kusikia hivyo, na alivyokuwa na hofu ya madaraka, kavunja vyama vyote vy ushirika, akaviweka chini ya serikali.

Yaliyobaki ni historia, ambayo huwezi kuacha kuioanisha na kilio cha wakulima na kilimo nchi hii.
 
Butiku kapindisha ulimi...".kuendelea kufanya hivyo ni kubinya demokrasia ndani ya chama."
 
Hana mchango wowote, mchango pekee alio nao ni kuua vyama vya ushirika. Huyu Butiku enzi ya Nyanza Cooperative Union ina nguvu, alienda Mwanza Hotel, akawa anapata kinywaji, akamuona binti mkaali balaa, akamtongoza, binti akagoma, akasema Butiku atampa nini wakati yeye(binti) anatoka na Afisa wa Nyanza. Kwanza akauliza Butiku ndio nani nchi hii.

Butiku mbio kwa Nyerere, akaenda kumjaza ujinga kwamba kuna watu/taasisi zina nguvu kuliko Rais, na wanachi wanaziheshimu kuliko Rais. Nyerere kusikia hivyo, na alivyokuwa na hofu ya madaraka, kavunja vyama vyote vy ushirika, akaviweka chini ya serikali.

Yaliyobaki ni historia, ambayo huwezi kuacha kuioanisha na kilio cha wakulima na kilimo nchi hii.
sijui hata nikutukane tusi gani we mpumbavu.
 

Mwenyekiti wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere Foundation, Joseph Butiku amewaonya wanasiasa na wanachama wa CCM kuacha mara moja kampeni za kumchangia Rais Dkt. Samia Suluhu fomu ya kuwania nafasi hiyo tena kwa mwaka 2025-2030, akisema kuendelea kufanya hivyo ni kuunga mkono rushwa.

Butiku ameyasema hayo katika Kongamano la Miaka Mitatu ya Taasisi ya Kizalendo ya Tanzania Patriotic Organisation (TPO) lililofanyika katika Ukumbi wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere, Posta jijini Dar es Salaam.

Katika ufunguzi wa Kongamano hilo Taasisi ya Tanzania Patriotic Organisation nayo haikusita kukemea ubadhirifu na rushwa huku ikiwataka Watanzania kuwa wamoja na wazalendo wanaposimamia mali za umma

Pia soma:

Hiyo pesa inayochangishwa ni sehemu ya kampeni ..... Pesa inawezekana ikawa inatoka kwa ABDUL na Mama yake halafu inarduishwa kwa jina la Mchango ....!! Kama kweli pesa ni ya kuchukulia form si waje hadharam=ni na kusema wameshapata ya kutosha. Kwa nini wanaendelea kupokea zaidi...!!?
 
Back
Top Bottom