Joseph Butiku kiumri sasa anapaswa kumshukuru mungu kwani ameshaanza kumkopa mola siku zake hapa duniani,We heard about Mkapa since 2005 todate, what a song? Huyu jamaa anamuogopa JK kwa kujua nguvu za kidola alizonazo , kwa vile ya Mkapa alishayaongea na nilidhani amehitimisha kwa kushangilia na kutoa sababu za Mkapa kuikosa aki highlight-Ufisadi wa Mkapa kama kigezo kikubwa kilichomuangusha na pia Pemba 2001 siku ile pale Channel Ten Chisano alipopewa Mo Ibrahim Prize. Give us a break mtu mzima, sasa kila likijitokeza jambo basi ana simama na kuhoji uadilifu wa Top Leaders of CCM without mentioning,akibanwa atakwambia Mkapa!!!,aache uhuni huo maana sasa tunaanza kuona game hii imewafaa wengi wanaotaka tuwafananishe na Mwal.Nyerere au kujitafutia uhalali wa kusikilizwa ktk CCM na serikalini kama mwalimu.
Ninapenda kuthubutu kusema kuwa kama huyu mzee haogopi dola ya JK basi ametumwa na wenye Dola kuufanya mchezo huu.
Tumewaona wana habari sasa wanamuomba msamha mzee Mwinyi na kumhukumu Mkapa,sasa wameenda mbali zaidi maana Alhaj mwini sasa ni kioo chao cha uadilifu dhidi ya Mkapa,tumeyasikia maoni ya Alhaj Mwinyi siku za karibuni na jana pal;e M/nyamala,tumemsikia JK akilalama juu kukosekana kwa uadilifu kwa viongozi wa umma,jana amethubutu kuwa muwazi zaidi kwa kutuambia kuwa hata kama kiongozi atajenga mabarabara kibao kama si muadilifu wananchi watamchukia tu,so issue ni nini hapa waungwana?
Tuamini kuwa Butiku ni mtetezi wa wa wanyonge? Mtumwa wa Dola ktk kushambulia ? Msemaji wa kundi fulani ndani ya chama au?
Wana habari baada ya kumtakatifuza Mzee Mwinyi sasa naye ameanza kuwashukia watesi wake taratibu na vijembe na kwa mbali Muungwana akichombeza.
Pazuri sana hapo wakuu,tuombe mungu kuwa kauli za wakuu ziendane na matendo yao 1.Mwacheni mzee Mkapa apumzike 2. Usifanye biashara above 40 3.Sintashughulika na watangulizi wangu4. Hata kama umejenga mabarabara lukuki kama siyo muadilifu wananchi hawatakupenda,na tumeanza kuiona hali hii.
Binafsi sidhani hili sakata ni EL,Kara,Dial na Rostam ,huu ni mchakato wa kuondoana ktk kiwango cha utukufu mbele ya jamii yetu zaidi kuliko kuijenga nchi yetu.
Mungu ibariki Tanzania