Butiku: Ningejua CCM itaingilia mchakato wa Katiba nisingeshiriki

huu sasa wazimu; kweli alikuwa anafikiria CCM wangefanya nini? wao ndio wameanzisha mchakato huu, wao ndio wametunga sheria ya kuusimamia na wao ndio wanufaika wakubwa wa matokeo ya mchakato huu. Kwanini wasiingilie kati?
 
huu sasa wazimu; kweli alikuwa anafikiria CCM wangefanya nini? wao ndio wameanzisha mchakato huu, wao ndio wametunga sheria ya kuusimamia na wao ndio wanufaika wakubwa wa matokeo ya mchakato huu. Kwanini wasiingilie kati?

Mzee MMM tatizo kubwa nililoligundua kwa watanzania wenzangu wengi akiwemo mzee Butiku ni UNAFIQ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…