huu sasa wazimu; kweli alikuwa anafikiria CCM wangefanya nini? wao ndio wameanzisha mchakato huu, wao ndio wametunga sheria ya kuusimamia na wao ndio wanufaika wakubwa wa matokeo ya mchakato huu. Kwanini wasiingilie kati?
huu sasa wazimu; kweli alikuwa anafikiria CCM wangefanya nini? wao ndio wameanzisha mchakato huu, wao ndio wametunga sheria ya kuusimamia na wao ndio wanufaika wakubwa wa matokeo ya mchakato huu. Kwanini wasiingilie kati?