SAMUNGE TZ
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 254
- 23
Mtu mzima dawa kanena ya moyoni.
Kujiuzulu sio sahihi abaki aendelee kuwaelimisha hao walavi wa madaraka ambao hawajijui kuwa wao ni karai la mchanga,nyumba ikishakamilika hata bustani halitakiwi hadi ujenzi mwingine.
Ushauri kwa tume hayo makabrasha ya CCM yazuiwe kuingia kwenye chumba cha wajumbe wa mabadilikom ya katiba nchi nzima.
Kujiuzulu sio sahihi abaki aendelee kuwaelimisha hao walavi wa madaraka ambao hawajijui kuwa wao ni karai la mchanga,nyumba ikishakamilika hata bustani halitakiwi hadi ujenzi mwingine.
Ushauri kwa tume hayo makabrasha ya CCM yazuiwe kuingia kwenye chumba cha wajumbe wa mabadilikom ya katiba nchi nzima.