Buy it for Life: Tujuzane brand ama model za bidhaa zinazodumu kwa muda mrefu ili tuepukane na usumbufu wa kununua upya

Mmmmmmh apa sasa mnatupanga kunakitu kisichoisha jmn
 

[emoji16] pole sana

Vp kuhusu bidhaa nyingine kando na simu zenyewe uchambuzi vp?
 
Kitanda cha mninga kinahitaji kusafishwa kila baada ya miaka kadhaa, kinapigwa vanish na kurudi kwenye ubora wake kama zamani.
Kuhusu dhambi anakipeleka Kwa Mwamposa tu hapo Kawe.
 
Sendo-maasai made
Mkanda-maasai made
Medicine - maasai made

Hawa jamaa hawanaga fake product 😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…