Eli Cohen
JF-Expert Member
- Jun 19, 2023
- 4,460
- 13,715
Yani tangia 2011/12 bayern ndio wanabeba tu kombe hadi leo huku hawa dortmund kazi yao ni kuuza vipaji kwa gharama mno bila ya kuinvest vizuri katika team yao.
Kwa hio wao sasa wamekuwa soko la kutengeneza wachezaji kuhusu ubingwa na historia hilo kwao hawalijui tena.
Walipaswa kuwa european powerhouse ila wamekuwa wasindikizaji tu wa bayern.
Ebu angalia watu waliowauza hapa na bei zao zilitosha wa invest katika kikosi ili wawe powerhouse na sio sehemu ya kupitia.
Kwa hio wao sasa wamekuwa soko la kutengeneza wachezaji kuhusu ubingwa na historia hilo kwao hawalijui tena.
Walipaswa kuwa european powerhouse ila wamekuwa wasindikizaji tu wa bayern.
Ebu angalia watu waliowauza hapa na bei zao zilitosha wa invest katika kikosi ili wawe powerhouse na sio sehemu ya kupitia.