Bw.Tundu Lissu siyo Intelligent!

Wewe kiraka wa Ukawa a.k.a mchumia tumbo unaongea povu tu hapa, unalisifia lijitu lisilojua kitu lenye kubwabwaja tu upuuzi na mtu wa mavurugu na kupinga pinga bila hata kuona mbele, TUNDU LISU NI SAWA NA ZERO, ye kila kiongeachwo linapinga eti kisa yeye ni chama pinzani, kuwa chama pinzani haimaanishi kwamba ndo kila jambo hata kama ni jema mtu ulipinge huo ni ushamba.
 

Sorry sana mkuu. Wewe nawe ni among intelligents? Kama wewe ni intelligent naomba ujipime kwa maandiko yako hapo kwenye red. Siku njema.
 
Sorry sana mkuu. Wewe nawe ni among intelligents? Kama wewe ni intelligent naomba ujipime kwa maandiko yako hapo kwenye red. Siku njema.

Duuu nyie vipi?
na mmetokea wapi hata hamueleweki?
Wewe H20 Umeendelea kukoleza hayo
maneno ya mchangiaji mwenzako hauoni
kama na wewe ni tatizo? Busara ni muhimu
zaidi kuliko kuendelea kubishana na kubold maneno
ambayo wewe mwenyewe umeyaona hayafai, ungetoa
mchongo wako kwenye hoja husika ukaenda zako!
 
Angekuwa sio intelligent msingeleta saini za hati za Muungano.......as ingekuwa intelligent msingi kuwa mna poteza muda wa kuhangaika naye kama ambavyo sihangaiki na Lyatonga kwani sio intelligent ,,,,,,, ficha upumbavu wako......

Hivi unajuwa unaweza kihangaishwa na hata kichaa
 

Kwani mwenyekiti Wa nynyiem mzima??
 
Kuikataa ccm ni njia mojawapo ya kwenda mbinguni

Mkuu hiyo mbingu Ya wapi?
Acha kuleta siasa kwenye masuala ya kiroho
inaelekea wewe ni kilaza, KUSHIKA AMRI ZA MUNGU
ndo njia pekee ya kukufikisha mbinguni hizo siasa
na vyama vyenu vilivyojaa wezi wa Ruzuku
,wapenda posho na wahujumu
uchumi weka mbali kabisa na Mungu!
 

Mkuu sidanganyiki nilikuwa nataka kumwonesha tu level ya intelligence yake na jinsi gani aliyoyaandika hayana maana kwa mtu mzima kama yeye. Ila aniwie radhi kwa kubold lengo langu ni kupima tu level yake.
 
Mkuu sidanganyiki nilikuwa nataka kumwonesha tu level ya intelligence yake na jinsi gani aliyoyaandika hayana maana kwa mtu mzima kama yeye. Ila aniwie radhi kwa kubold lengo langu ni kupima tu level yake.
Mwehu wewe kamwoneshe shemeji yako alomuoa dada yako, kwani tuko katika maonyesho hapa, weka hoja acha shobo kenge weee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…