Bw.Tundu Lissu siyo Intelligent!

Bw.Tundu Lissu siyo Intelligent!

Kuwa intelligent si kipimo cha kukaa kimya hata kama waliokutangulia walikosea. Mwl J.K Nyerere alisema yeye hakuwa malaika na hata serikali yake kuna upuuzi ilifanya so lazima uongozi wake uwe criticized pia. Lissu ni intelligent kwani anajua anachokifanya. Kwa mfano hapo juzi alijua kabisa kuwa watatolewa bungeni na alifanya positive provocative strategy for a political gain kwa kuangalia udhaifu wa bunge lililo na CCM wengi kupitisha miswada ya dharura.
Wewe kiraka wa Ukawa a.k.a mchumia tumbo unaongea povu tu hapa, unalisifia lijitu lisilojua kitu lenye kubwabwaja tu upuuzi na mtu wa mavurugu na kupinga pinga bila hata kuona mbele, TUNDU LISU NI SAWA NA ZERO, ye kila kiongeachwo linapinga eti kisa yeye ni chama pinzani, kuwa chama pinzani haimaanishi kwamba ndo kila jambo hata kama ni jema mtu ulipinge huo ni ushamba.
 
Wewe kiraka wa Ukawa a.k.a mchumia tumbo unaongea povu tu hapa, unalisifia lijitu lisilojua kitu lenye kubwabwaja tu upuuzi na mtu wa mavurugu na kupinga pinga bila hata kuona mbele, TUNDU LISU NI SAWA NA ZERO, ye kila kiongeachwo linapinga eti kisa yeye ni chama pinzani, kuwa chama pinzani haimaanishi kwamba ndo kila jambo hata kama ni jema mtu ulipinge huo ni ushamba.

Sorry sana mkuu. Wewe nawe ni among intelligents? Kama wewe ni intelligent naomba ujipime kwa maandiko yako hapo kwenye red. Siku njema.
 
Sorry sana mkuu. Wewe nawe ni among intelligents? Kama wewe ni intelligent naomba ujipime kwa maandiko yako hapo kwenye red. Siku njema.

Duuu nyie vipi?
na mmetokea wapi hata hamueleweki?
Wewe H20 Umeendelea kukoleza hayo
maneno ya mchangiaji mwenzako hauoni
kama na wewe ni tatizo? Busara ni muhimu
zaidi kuliko kuendelea kubishana na kubold maneno
ambayo wewe mwenyewe umeyaona hayafai, ungetoa
mchongo wako kwenye hoja husika ukaenda zako!
 
Angekuwa sio intelligent msingeleta saini za hati za Muungano.......as ingekuwa intelligent msingi kuwa mna poteza muda wa kuhangaika naye kama ambavyo sihangaiki na Lyatonga kwani sio intelligent ,,,,,,, ficha upumbavu wako......

Hivi unajuwa unaweza kihangaishwa na hata kichaa
 
Bw.Tundu sio mtu intelligent kama watu wengi wanavyodhania, kwa maana mtu intelligent huwa ana uwezo wa kujua madhara ya kile anachokisema kabla hajakisema!

Mtu intelligent yoyote anapaswa kufahamu ktk Nchi kama TZ hauwezi kuanzisha Vita dhidi ya Mlm.Nyerere na ukashinda hata uwe nani, hata Raisi wa nchi leo hii akianzisha Vita dhidi ya Mlm.Nyerere hawezi kushinda mwishowe kuna mtu tu anaweza hata akajitoa mhanga kumlipua!

Ni sawa naleo hii Marekani mwanasiasa aanzishe Vita dhidi ya sijui Raisi Washington au Lincoln hawezi kushinda hata iweje hata kama huyo Mwanasiasa yuko sahihi kwa kiasi gani, vile vile kama ilivyo pia hakuna Mwanasiasa AK leo hii ambaye anaweza akaanzisha Vita dhidi ya Bw.Mandela na akashinda hata kama atakuwa sahihi kwa kiasi gani, na ndio maana utaona Wanasiasa wenye akili linapofika kwenye swala la hawa watu huwa wanakuwa waangalifu sana wawe ni Demokrats au Republikan hakuna anayethubutu kuwaongelea na kuwakashifu Lincoln hata kama walifanya makosa kiasi gani kwa maana wanafahamu kwamba hawa Watu nafasi yao imeshaandikwa kwenye Historia na huwezi kuifuta bila kukugharimu...

Bw.Tundu alipaswa aelewe kwamba hata kama Mlm.Nyerere amekosea kwa kiasi gani hakupaswa kumuongelea vile, alipaswa aelewe kwamba kuna watu wako tayari kufa kumtetea Mlm.Nyerere na hiyo ni Nchi nzima kuanzia jeshini mpaka Utingo wa daladala...

Kwani mwenyekiti Wa nynyiem mzima??
 
Kuikataa ccm ni njia mojawapo ya kwenda mbinguni

Mkuu hiyo mbingu Ya wapi?
Acha kuleta siasa kwenye masuala ya kiroho
inaelekea wewe ni kilaza, KUSHIKA AMRI ZA MUNGU
ndo njia pekee ya kukufikisha mbinguni hizo siasa
na vyama vyenu vilivyojaa wezi wa Ruzuku
,wapenda posho na wahujumu
uchumi weka mbali kabisa na Mungu!
 
Duuu nyie vipi?
na mmetokea wapi hata hamueleweki?
Wewe H20 Umeendelea kukoleza hayo
maneno ya mchangiaji mwenzako hauoni
kama na wewe ni tatizo? Busara ni muhimu
zaidi kuliko kuendelea kubishana na kubold maneno
ambayo wewe mwenyewe umeyaona hayafai, ungetoa
mchongo wako kwenye hoja husika ukaenda zako!

Mkuu sidanganyiki nilikuwa nataka kumwonesha tu level ya intelligence yake na jinsi gani aliyoyaandika hayana maana kwa mtu mzima kama yeye. Ila aniwie radhi kwa kubold lengo langu ni kupima tu level yake.
 
Mkuu sidanganyiki nilikuwa nataka kumwonesha tu level ya intelligence yake na jinsi gani aliyoyaandika hayana maana kwa mtu mzima kama yeye. Ila aniwie radhi kwa kubold lengo langu ni kupima tu level yake.
Mwehu wewe kamwoneshe shemeji yako alomuoa dada yako, kwani tuko katika maonyesho hapa, weka hoja acha shobo kenge weee
 
Back
Top Bottom