EvNich
Senior Member
- Mar 29, 2014
- 135
- 37
Ikiwa Tundu Lissu haoni na Chadema nzima hawaoni? Hawana mshauri ambaye anawaongoza? Hawatambui Yatakayowaharibia sura? Maana nilimtambua mwaka moja uliopita alipotamka jambo lililokuwa kero masikioni kuhusu Zanzibar. Nilidhani aliponyokwa na maneno yale na kwamba angeomba radhi lakini wapi! Utasema ana TAPE kichwani iliyorekodiwa inachezeshwa. Bila hiyo huwezi kusikia sauti yake. Ajue anajimaliza kabisa na wenzake pia.
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums