Bwana Freeman Mbowe, tumia lugha ya staha unapoishauri Serikali ya Rais Magufuli dhidi ya COVID19

Bwana Freeman Mbowe, tumia lugha ya staha unapoishauri Serikali ya Rais Magufuli dhidi ya COVID19

Mbona kama tunakimbilia CHATO !!!??? ... Kabisa ilikua hivyo hapo mwanzo inaonekana hivyo hata sasa ... na itakua hivyo hapo baadae

Amakweli watanzania wasasa sio wajinga tena ... kama na dhambi nizipate ila nafsi yangu inaomba waanze kupukutika huko juu ...

Watakapoanza kuputika wao ndio watachukua hatua zitakazo pelekea na sisi wachini tunusurike otherwise wataendelea kutuhadaa kwa faida zao za kisiasa hali yakuwa sisi wachini ndio tunaumia na familia zetu

Haya twendeni tuombe kwa pamoja ...

[emoji2969][emoji2969][emoji2969] ... Ewe Mungu Baba tunakuomba uanze kuwapukutisha mmoja baada ya mwingine kuanzia barazani chamwino mpaka pale sebuleni mjengoni ili hatua za makusudi zichukuliwe na sisi wachini tunusurike AMEN!!!
Aaaamen!!!!!!!
 
Back
Top Bottom