Bwana Freeman Mbowe, tumia lugha ya staha unapoishauri Serikali ya Rais Magufuli dhidi ya COVID19

Bwana Freeman Mbowe, tumia lugha ya staha unapoishauri Serikali ya Rais Magufuli dhidi ya COVID19

Nenda wewe ukashauri, ukigaragara na kupiga magoti!

Watu wanakufa!
Mbona wewe hujafa au wewe ni mbwa?
Huko uingereza wanatupiga ban ya kwenda huko wakati nao wanapigwa ban ya kwenda umoja wa ulaya,
Sasa wao na sisi tuna tofauti gani?
Ten afadhali na sisi tunadunda tu bila ya taabu kama wao, maana kifedha wanatuzidi sasa wanashindwaje kujitibu na kuizuia?
Chanjo wamepata lakini bado wanaogopa corona kwa hiyo hiyo chanjo yao ni ya uongo?
 
Mbona wewe hujafa au wewe ni mbwa?
Huko uingereza wanatupiga ban ya kwenda huko wakati nao wanapigwa ban ya kwenda umoja wa ulaya,
Sasa wao na sisi tuna tofauti gani?
Ten afadhali na sisi tunadunda tu bila ya taabu kama wao, maana kifedha wanatuzidi sasa wanashindwaje kujitibu na kuizuia?
Chanjo wamepata lakini bado wanaogopa corona kwa hiyo hiyo chanjo yao ni ya uongo?
Mkuu umekula wanzuki?
Mbona unabwabwaja kama huna akili nzuri?
 
Kuua sio lazima kutumia bunduki au sumu. Hata kuacha watu kufa kwa maradhi ambukizi bila kuwapa tahadhari nako ni mauaji. Hayana tofauti na mauaji ya Kimbari.. Mbowe yuko sahihi na lugha aliyo tumia kwa maana viongozi wana fanya mauaji kwa kukusudia
Afya ya kwako unangoja upewe tahadhari na nani? Banda la jirani kuna kideri huimarishi banda lako unangoja mtu aje akwambie imarisha? Kuna matangazo ya tahadhari kwenye TV, Radioni, mabango barabarani, vituo ya basi hutaki kufuata ushauri unangoja umuone magufuri aje nyumbani kwenu akwambie kuna korona!!! Mbowe akitaka ushindi dhidi ya Magufuli ashinde mitandaoni akihimiza watu wajilinde na korona kwani nae si kiongozi pia? Au nae anangoja aambiwe na Magufuli?
 
Tiba ya corona ni kumuomba Mungu na kuchukua tahadhari, hayo yote Mh. Rais alishakwisha kutushauri tuyafanye, sasa hawa wapinzani wanataka lockdown eti ndio dawa ya corona, sijui wanatutakia nini sisi raia wa kawaida. Hivi wanaposema hatua hazijachukuliwa huwa wanamaanishaga nini? Yaani wao wanaona lockdown ndio njia sahihi ili sisi makabwela tufe kwa njaa halafu wao wapate kick ya kisiasa.
 
Mungu hadhihakiwi subiria tu tutasikia mshindo mkuu soon
 
Mbowe amekuwa akitumia lugha ya staha mara elfu elfu lakini walengwa wameweka viwambo vya mbao masikioni mwao.

Sasa kaona atumie lugha tofauti (na wananchi tunamuunga mkono kwa 100%) labda itazipasua hizo mbao za masikio!
Wale wale wananchi walioshindwa kumpa hata UBUNGE!

Sema mmepoteana hadi mnataka kutumia CORONA kuwakutanisha tena?

Wewe na mbowe lenu moja.

WATANZANIA tulikwisha wapa adhabu yenu tangia
OCTOBA 28.
 
Mkuu umekula wanzuki?
Mbona unabwabwaja kama huna akili nzuri?
Ni bora wanzuki kuliko bangi, maana mnapenda corona iwepo lakini ninyi hamtaki kuvaa barakoa na kukaa distance wenyewe mpaka mlazimishwe,
Huyo mbowe anabwabwaja huku usiku utamkuta kajichanganya kwenye baa na wengine anapiga faru jonh bila tahadhali
 
Mbowe amekuwa akitumia lugha ya staha mara elfu elfu lakini walengwa wameweka viwambo vya mbao masikioni mwao.

Sasa kaona atumie lugha tofauti (na wananchi tunamuunga mkono kwa 100%) labda itazipasua hizo mbao za masikio!

Aliondoka bungeni akajidai kuna Corona, usiku akaibukia kwenye pombe?
Tusipende kumtukuza mtu kwa kuwa tu yuko chama chetu. Yaani kila siku Mbowe yuko sahihi? Hata akivunjika mguu akasema nimekabwa, yuko sahihi, baadaye hatuhoji ukabaji huo ni wa nini? Ifikie hatua tujiulize ubora wa hawa tunaowaona ni viongozi. Ni watafutaji tu na siyo watu bora ktk jamii.
 
Ni bora wanzuki kuliko bangi, maana mnapenda corona iwepo lakini ninyi hamtaki kuvaa barakoa na kukaa distance wenyewe mpaka mlazimishwe,
Huyo mbowe anabwabwaja huku usiku utamkuta kajichanganya kwenye baa na wengine anapiga faru jonh bila tahadhali
Lete picha!
 
kabla ya kuandika hili ungesali kwanza kumuomba Mungu akupe hekima,akili na busara.
badala yake umeandika kumkosa hata yule anaetaka kupaza sauti kuokoa umma wa Tz dhidi ya 'tatizo hili'
Tatizo lako umejifunika shuka la upumbavu, ni bora ukalivua hilo shuka ili uone hali halisi iliyo ili uweze kupaza sauti.
 
Mnajua ujinga na uduni wa kufikiri wa vijana wengi wa ccm ndio unaigharimu nchi yetu.
Wana macho lkn hawaoni!
Wana masikio lkn hawasikii!
Only in ccm
 
Mbowe anaugua ugonjwa unaoitwa post elections mental disorder
Dawa yake ni kupumzika sana,au kulima strawberry atapona haraka sana
 
Aliondoka bungeni akajidai kuna Corona, usiku akaibukia kwenye pombe?
Tusipende kumtukuza mtu kwa kuwa tu yuko chama chetu. Yaani kila siku Mbowe yuko sahihi? Hata akivunjika mguu akasema nimekabwa, yuko sahihi, baadaye hatuhoji ukabaji huo ni wa nini? Ifikie hatua tujiulize ubora wa hawa tunaowaona ni viongozi. Ni watafutaji tu na siyo watu bora ktk jamii.
Naona sindano ya Mbowe imewakolea. Safi sana!
 
Mbowe anaugua ugonjwa unaoitwa post elections mental disorder
Dawa yake ni kupumzika sana,au kulima strawberry atapona haraka sana

Magufuli anaongea kwa uhakika ana uhakika wa kupata matibabu fasta na bora wewe sasa mtauza hadi viwanja vya babu yako kuokoa maisha yako na utalundikwa chumba kimoja na wagonjwa wenzio mkiangaliana mnakata roho kwa zamu yule atakuwa peke yake na chumba chake na madaktari lundo si uliona trump hakuvaa barakoa aliugua na akapona chap au raisi wa brazil aliepinga corona kama ipo aliugua akatibiwa chap lakin raia wa brazili wanateketea tu
 
Back
Top Bottom