Elisha Sarikiel
JF-Expert Member
- Aug 29, 2020
- 905
- 1,540
Picha juu ilikuwa ni upotoshaji wa makusudi ambao ulikanushwa !Anastahili kutokuheshimiwa. Hakuna uovu mkubwa kuliko kuingia madarakani kwa hila na wizi wa kura
View attachment 1684814
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Picha juu ilikuwa ni upotoshaji wa makusudi ambao ulikanushwa !Anastahili kutokuheshimiwa. Hakuna uovu mkubwa kuliko kuingia madarakani kwa hila na wizi wa kura
View attachment 1684814
Asimamishe miradi aagize chanjo, hapo tungeamini anajali wananchiSasa akifa huyo jiwe we we na familia yako mnaoshinda hapo ufipani mtafaidika na nini?? Kuchakutwa mnaliombea taifa juuu ya mabayaa. Kumbukeni suala lakorona mpaka sasa hakuna mbinu sahihi ambayo kunataifa ulimwenguni kote wamefanikisha juu ya mapambano dhidi ya korona, kama si huruma ya Mungu kutunusuru.
Ndo halitakufa, ilafamilia yenu mtaisha mkiliacha linadunda. Kwenye kikundi chenu democrasia iko wapii apo
Hili suala la corona si ndio lilisababisha chama cha Mbowe kikavurugika?
Bado hajakoma tu?
Picha juu ilikuwa ni upotoshaji wa makusudi ambao ulikanushwa !
Mmeshapigwa ban kuingia UkPole saaana. Umevifuga vinyamukera ukidhani ni dili hayo madude? Ona Sasa unavyotesekaa
Wasemewe na kiwanda cha matusi kama wewee?? Haaaa haaaa
Muulize mbowe
Yaani hawa Makenge ya kijani yanachoweza ni kujipendekeza tu, bure kabisa.Nenda wewe ukashauri, ukigaragara na kupiga magoti!
Watu wanakufa!
Tunataka uanze wewe au unaonaje mkuuMpaka afe Jiwe ndiyo akili ziwarejee.
Kwahiyo kiliimarika?Nimecheka kwa nguvu, eti chama kikavurugika.
Kwahiyo kiliimarika?
Muulize mana yako maana ya uhayawaniMbowe kadata,mbaya zaidi ruzuku anadaka kimya kimya japo imepungua ,ukisikia uhayawani ndio huo