Bwana Freeman Mbowe, tumia lugha ya staha unapoishauri Serikali ya Rais Magufuli dhidi ya COVID19

Bwana Freeman Mbowe, tumia lugha ya staha unapoishauri Serikali ya Rais Magufuli dhidi ya COVID19

Sasa akifa huyo jiwe we we na familia yako mnaoshinda hapo ufipani mtafaidika na nini?? Kuchakutwa mnaliombea taifa juuu ya mabayaa. Kumbukeni suala lakorona mpaka sasa hakuna mbinu sahihi ambayo kunataifa ulimwenguni kote wamefanikisha juu ya mapambano dhidi ya korona, kama si huruma ya Mungu kutunusuru.
Tutafurahi pepo mmoja mtesa watu akiondoka. Japo mapepo mengine bado yatabaki kama wewe
 
Tatizo unatafuta kuteuliwa, ... umefungwa akili, huwezi kuwa na independent thinking!
 
Usiseme kuwa mataifa jirani ndiyo yenye tatizo la Covid 19. Ukweli ni kuwa tatizo hili lipo nchini mwetu. Na kadiri siku zinavyoenda inaonekana linazidi kuongezeka.

Tunajua ni tatizo la Dunia. Tunajua si Rais, Serikali au mtu yeyote amelisababisha hili. Bali tunachomlaumu sana Rais ni kukataa kuwa hili tatizo lipo. Wapo watanzania wengi wanaoamini kuwa Rais akitamka jambo au Serikali, basi ndio ukweli wenyewe. Hawa hawawezi kuchukua hatua yoyote. Na wakifa kwa sababu hawakuchukua tahadhari kwa vile waliamini maneno ya Rais kuwa hakuna tatizo la corona nchini, Rais ana hatia na anakuwa amebeba dhambi kubwa kutokana na kupotea kwa maisha ya watu hao.

Kama sisi sote, tukakubali kuwa kuna hili tatizo, na Rais akatuongoza katika mapambano kwa kutoa elimu ya kutosha kwa umma, hata kama wapo watakaopoteza maisha, hakuna wa kubeba lawama.

Naungana na msimamo wa Rais wa kutowafungia watu ndani ya majumba yao. Lakini siungani naye katika kutowapima watu, kutoshirikiana na Dunia kwenye jitihada za kupambana na Covid 19, na katika kilutokiri kuwa tuna hili tatizo.

Ninavyoandika hivi, rariki yangu wa karibu yupo kwenye msiba wa ndugu wawili waliofariki kwa kupishana kwa siku moja, wote walipatwa na tatizo la kupumua, na wote kama siku 10 hivi walikuwa kwenye Sherehe.

Tumesikia huko Zimbabwe, mawaziri wawili waneondoka, na hivyo kufanya idadi ya mawaziri waliofariki kufikia 4. Na wengine wapo taabani hospitalini.

Tulikubali tatizo, tupime watu wetu ili kujua kiwango cha ukubwa wa tatizo, tutoe elimu ya kutosha kwa watu wote, na tuweke miongozo ya namna ya kufanya kazi zetu ili kupunguza maambukizi, tuimarishe hospitali zetu za wilaya, mikoa na rufaa ili kuweza kuwasaidia watakaokuwa wamekumbwa na ugonjwa huu hatari. Ni aheri baadhi ya miradi isimame ili fedha itumike kununulia vifaa vya kusaidia kuokoa maisha ya Watanzania.

Mungu amjalie hekima Mh. Rais ya kutambua kuwa hakuna kilicho mbadala wa maisha. Hatuwezi kuupata umaarufu wa kisiasa kwa kuyakana matatizo ambayo ni dhahiri.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukishaona mtu unatuakana ovyo ovyo barabarani, sidalili ya ukichaa tayalii?? Halafu eti mtu kama we we eti unatafuta ajira, nani ataajiri kiwanda cha matusi kwenye organization yake??
Nawasemea wasio na sauti chini ya dictator tuliyenaye. Mi sihitaji ajira
 
Tabia ya kulalamika tu bila kuchukua hatua yeyote au kutoa mapendekezo ya kutatua tatizo ni tatizo kubwa letu sisi kama watanzania ni sio tatizo la Mbowe peke yake. Mfano mzuri ni haya matatizo ya ukosefu wa vitu kama mafuta ya kula au sukari bidhaa ambazo wala hazihitaji teknolojia kubwa kuzizalisha na zinalimwa hapa nchini, lakini hakuna kikundi cha watu au kijamii ambacho kimejitokeza kuhamasisha uzalishaji wa bidhaa hizo ili kuondokana na aibu hii kama taifa inasubiliwa serikali na wawekezaji! Wawekezaji wanakuja kuchuma kupata faida!
 
Wewe Mutungi hebu taja hatua moja ya makusudi iliyoçhukuliwa na Serikali.
Tuanzie hapo....hivi unafikiri watu wapumbavu sio.
Kwa taarifa yako wenye akili wameshachukua hatua....
 
Huyu ni kiongozi asiyejua anataka nini.na kwa kuwa na mihemko amesababisha CHADEMA kufaa baada ya kuweka maigizo kwamba wanakimbia Corona. Stupid people want lock down .even WHO imeshasema tujifunze kuishi na Corona .sasa sijui Mbowe anataka nini cha ziada kinachozidi ushauri wa WHO
 
Back
Top Bottom