Bwana harusi afariki

Bwana harusi afariki

Huyu kaka kipindi anakufa Ilikua miezi minne tu tangu wafanye harusi yao.
Inasemekana alikua ghafla usingizini wanasema moyo ulisimama ghafla..sijui ndo heart attack.ila alikua hata haumwi.mzima was afya.
Wengi wanaompost ni ndugu jamaa na marafiki,zaidi ni wale watu waliohusika katika harusi yake mfano huyo mc,mama imani open kitchen upande wa chakula nk.

Nlishawahi shuhudia hivhivi mdada kaolewa baada ya miezi mitatu kafa,kuna mwingine katolewa mahari wiki hiyohiyo ghafla mamake kafia usingizini.
Maharusi wengi sana baada ya mda mfupi wanakufa.
Duuh kweli tunatembea na kifo
Kweli nimeogopa

Sent from my Infinix X624 using JamiiForums mobile app
 
Pole yao.
Mungu awatie nguvu.


Nimekumbuka ule msiba wa kijana Kajuna..mkewe alikuwa hodari anaimba na mapambio kanisani siku ya ibada ya mumewe aiseee..kuna watu ni majasiri[emoji119]
Yule engineer wa railway eeeeeh....Aisee the wife was strong naona amekua motivational speaker siku hizi Nora ila ujasiri wake aiseee hata wamama wa kwenye ndoa za miaka na miaka huwa hawana. Kwa namna alivyokua aidha ana imani thabiti sana kiasi cha kuimba kuongoza mapambio au akili ilimruka hadi akawa hana uchungu. All in all ni mapito makubwa sana wamepitia,ujane katika umri mdogo.
 
I
Yule engineer wa railway eeeeeh....Aisee the wife was strong naona amekua motivational speaker siku hizi Nora ila ujasiri wake aiseee hata wamama wa kwenye ndoa za miaka na miaka huwa hawana. Kwa namna alivyokua aidha ana imani thabiti sana kiasi cha kuimba kuongoza mapambio au akili ilimruka hadi akawa hana uchungu. All in all ni mapito makubwa sana wamepitia,ujane katika umri mdogo.
Huyohuyo

Inasikitisha sana binti mdogo namna ile anakuwa mjane..

Aisee nadhani akili ilimruka yule dada🙌
 
RIP Max
Pole sana Natasha na familia.
Njia ni yetu sote
 
was he killed

ni TZ mtu anakufa tu na watu wanaona kawaida kawaida
 
Back
Top Bottom