Bwana harusi Ulomi kukutwa kwa sangoma- wachaga mmeniangusha sana.

Bwana harusi Ulomi kukutwa kwa sangoma- wachaga mmeniangusha sana.

Jidu La Mabambasi

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2014
Posts
16,419
Reaction score
26,594
20241218_080728.jpg
Nasikia tetesi nyingi tu kuwa ndugu zangu wachaga sasa wanaingia kwenye anga za ushirikina kwa spidi ya 5g.
Sasa leo, bwana Massawe kijana mtanashati na anaye onekana mstaarabu kumbe ni tapeli na anaamini ushirikina.
Asante sana polisi yenye mkono mrefu kwa kufichua hili.

Wachaga kiasili wanaaminika kuwa watu wacha Mungu, na kuna viongozi wengi wa kanisa kama Maaskofu Shoo
wa KKKT na Ruwaichi Roman Catholic.

Jamii imeanza kuoza kwa mambo ya kishirikina.

MODS NAOMBA MNIBADILISHIE JINA KWENYE HEADING, NI MASSAWE SIYO ULOMI
 
View attachment 3179303Nasikia tetesi nyingi tu kuwa ndugu zangu wachaga sasa wanaingia kwenye anga za ushirikina kwa spidi ya 5g.
Sasa leo, bwana Ulomi kijana mtanashati na anaye onekana mstaarabu kumbe ni tapeli na anaamini ushirikina.
Asante sana polisi yenye mkono mrefu kwa kufichua hili.

Wachaga kiasili wanaaminika kuwa watu wacha Mungu, na kuna viongozi wengi wa kanisa kama Maaskofu Shoo
wa KKKT na Ruwaichi Roman Catholic.

Jamii imeanza kuoza kwa mambo ya kishirikina.
Huyo sio Ulomi nafkir ni masawe, Lakini haibadilishi uzi wako ni mchaga pia
 
View attachment 3179303Nasikia tetesi nyingi tu kuwa ndugu zangu wachaga sasa wanaingia kwenye anga za ushirikina kwa spidi ya 5g.
Sasa leo, bwana Ulomi kijana mtanashati na anaye onekana mstaarabu kumbe ni tapeli na anaamini ushirikina.
Asante sana polisi yenye mkono mrefu kwa kufichua hili.

Wachaga kiasili wanaaminika kuwa watu wacha Mungu, na kuna viongozi wengi wa kanisa kama Maaskofu Shoo
wa KKKT na Ruwaichi Roman Catholic.

Jamii imeanza kuoza kwa mambo ya kishirikina.
Katika sifa za wachagga hapa jf hamna hiyo sifa ya ucha Mungu naona mkuu unawapa sifa isio kua ya kwao.
 
Kwahiyo huyo mtu mmoja ndio anawakilisha wachaga wote mkuu?

Kila jamii hua ina watu wazuri na watu wabaya,hakuna jamii ambayo ina watu wazuri wote au wabaya wote,tabia ni issue ya individual na sio jamii nzima.
Nalisemea hili from experience. Kuna jirani yangu simtaji jina, mwanamke mchaga, alikuwa mshirikina ile mbaya.
Tuligombana sana issues simple za mpaka, hataki maridhiano na vitisho vingi.
Sikumuogopa hata kidogo na nikampeleka Mahakamani ambako alishindwa, lakini akaendelea na vitimbwi.
Kwa imani yangu huwa hanitishi mtu, mwishoni huyo mama akapata majanga ya ajabu, akapofuka.
Miaka michache baadaye akafariki kiajabu.
Mchaga huyo.
 
View attachment 3179303Nasikia tetesi nyingi tu kuwa ndugu zangu wachaga sasa wanaingia kwenye anga za ushirikina kwa spidi ya 5g.
Sasa leo, bwana Ulomi kijana mtanashati na anaye onekana mstaarabu kumbe ni tapeli na anaamini ushirikina.
Asante sana polisi yenye mkono mrefu kwa kufichua hili.

Wachaga kiasili wanaaminika kuwa watu wacha Mungu, na kuna viongozi wengi wa kanisa kama Maaskofu Shoo
wa KKKT na Ruwaichi Roman Catholic.

Jamii imeanza kuoza kwa mambo ya kishirikina.
Ungeficha ujinga wako .
 
View attachment 3179303Nasikia tetesi nyingi tu kuwa ndugu zangu wachaga sasa wanaingia kwenye anga za ushirikina kwa spidi ya 5g.
Sasa leo, bwana Ulomi kijana mtanashati na anaye onekana mstaarabu kumbe ni tapeli na anaamini ushirikina.
Asante sana polisi yenye mkono mrefu kwa kufichua hili.

Wachaga kiasili wanaaminika kuwa watu wacha Mungu, na kuna viongozi wengi wa kanisa kama Maaskofu Shoo
wa KKKT na Ruwaichi Roman Catholic.

Jamii imeanza kuoza kwa mambo ya kishirikina.
Una bifu binafsi na wachaga?
 
View attachment 3179303Nasikia tetesi nyingi tu kuwa ndugu zangu wachaga sasa wanaingia kwenye anga za ushirikina kwa spidi ya 5g.
Sasa leo, bwana Ulomi kijana mtanashati na anaye onekana mstaarabu kumbe ni tapeli na anaamini ushirikina.
Asante sana polisi yenye mkono mrefu kwa kufichua hili.

Wachaga kiasili wanaaminika kuwa watu wacha Mungu, na kuna viongozi wengi wa kanisa kama Maaskofu Shoo
wa KKKT na Ruwaichi Roman Catholic.

Jamii imeanza kuoza kwa mambo ya kishirikina.
Huyo siyo ulomi
Inabidi huu uzi ufutwe tu

Ova
 
View attachment 3179303Nasikia tetesi nyingi tu kuwa ndugu zangu wachaga sasa wanaingia kwenye anga za ushirikina kwa spidi ya 5g.
Sasa leo, bwana Ulomi kijana mtanashati na anaye onekana mstaarabu kumbe ni tapeli na anaamini ushirikina.
Asante sana polisi yenye mkono mrefu kwa kufichua hili.

Wachaga kiasili wanaaminika kuwa watu wacha Mungu, na kuna viongozi wengi wa kanisa kama Maaskofu Shoo
wa KKKT na Ruwaichi Roman Catholic.

Jamii imeanza kuoza kwa mambo ya kishirikina.
Fanya urekebishe basi taarifa yako. Ulomi tayari ametangulizwa kwa kifo cha ajali yenye utata. Huyu unayemuongelea hapa ni somebody Massawe! Na siyo Ulomi, ambaye kwa sasa ni marehemu.
 
View attachment 3179303Nasikia tetesi nyingi tu kuwa ndugu zangu wachaga sasa wanaingia kwenye anga za ushirikina kwa spidi ya 5g.
Sasa leo, bwana Ulomi kijana mtanashati na anaye onekana mstaarabu kumbe ni tapeli na anaamini ushirikina.
Asante sana polisi yenye mkono mrefu kwa kufichua hili.

Wachaga kiasili wanaaminika kuwa watu wacha Mungu, na kuna viongozi wengi wa kanisa kama Maaskofu Shoo
wa KKKT na Ruwaichi Roman Catholic.

Jamii imeanza kuoza kwa mambo ya kishirikina.
Jamaa yangu hebu uwe makini,
1. Ulomi ni yule aliyekuwa ametoweka tarehe 11 Dec, na baadae Mwili ukakutwa Mwananyamala Hosp RIP Ulomi.
2. Massawe ndiye Bwana harusi aliyedaiwa kupotea lkn alikuwa Kwa fundi kule Zanzibar,
tupunguze kukurupuka kupunguza taharuki, isionekane wananchi tumezoea kuzusha mambo kama anavyosema Kamnada Mulilo!!
 
View attachment 3179303Nasikia tetesi nyingi tu kuwa ndugu zangu wachaga sasa wanaingia kwenye anga za ushirikina kwa spidi ya 5g.
Sasa leo, bwana Ulomi kijana mtanashati na anaye onekana mstaarabu kumbe ni tapeli na anaamini ushirikina.
Asante sana polisi yenye mkono mrefu kwa kufichua hili.

Wachaga kiasili wanaaminika kuwa watu wacha Mungu, na kuna viongozi wengi wa kanisa kama Maaskofu Shoo
wa KKKT na Ruwaichi Roman Catholic.

Jamii imeanza kuoza kwa mambo ya kishirikina.
Mnachezewa sana akili zenu....hutu ni tapeli mjanja wa mujini....amekula hizo pesa hakupeleka harusi wala wapi kaongezea mtaji wake....kajificha lodge muda ukafika kaita washikaji zake.....polisi wamemkamata kumpeleka huko .....kesi zote za madai....mtaji wale uko salama...msifuate mkumbo wa media....yuko njema huyo dogo
 
View attachment 3179303Nasikia tetesi nyingi tu kuwa ndugu zangu wachaga sasa wanaingia kwenye anga za ushirikina kwa spidi ya 5g.
Sasa leo, bwana Ulomi kijana mtanashati na anaye onekana mstaarabu kumbe ni tapeli na anaamini ushirikina.
Asante sana polisi yenye mkono mrefu kwa kufichua hili.

Wachaga kiasili wanaaminika kuwa watu wacha Mungu, na kuna viongozi wengi wa kanisa kama Maaskofu Shoo
wa KKKT na Ruwaichi Roman Catholic.

Jamii imeanza kuoza kwa mambo ya kishirikina.
Siku hizi hata wachagga wamekuwa malofa tu
 
Back
Top Bottom