Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mshana Jr niliona ukiuliza hii mahaliView attachment 3179303Nasikia tetesi nyingi tu kuwa ndugu zangu wachaga sasa wanaingia kwenye anga za ushirikina kwa spidi ya 5g.
Sasa leo, bwana Massawe kijana mtanashati na anaye onekana mstaarabu kumbe ni tapeli na anaamini ushirikina.
Asante sana polisi yenye mkono mrefu kwa kufichua hili.
Wachaga kiasili wanaaminika kuwa watu wacha Mungu, na kuna viongozi wengi wa kanisa kama Maaskofu Shoo
wa KKKT na Ruwaichi Roman Catholic.
Jamii imeanza kuoza kwa mambo ya kishirikina.
Asante mkuu nimeomba MODS wabadilishe.Ulomi alivuma sana ,huyu ni Masawe
Upo sahihiKwahiyo huyo mtu mmoja ndio anawakilisha wachaga wote mkuu?
Kila jamii hua ina watu wazuri na watu wabaya,hakuna jamii ambayo ina watu wazuri wote au wabaya wote,tabia ya mtu ni issue ya individual na sio jamii nzima.
Hasa wanaotoka Kirua na Rombo.Huwajui wachaga wewe
Wanavyopenda uchawi ni balaa.
Kwel.Mtu wenye matunda mazuri unapopolewa mawe mengi.. Watani wangu wako njema kwenye sekta nyingi ndio maana wanasemwa sana..! Ishu ya ulozi kwenye biashara, mahusiano, kipato na umaarufu ni za kila kabila
Sema umeandika PUMBA kijana, 🤒🤒🤒🤒,View attachment 3179303Nasikia tetesi nyingi tu kuwa ndugu zangu wachaga sasa wanaingia kwenye anga za ushirikina kwa spidi ya 5g.
Sasa leo, bwana Massawe kijana mtanashati na anaye onekana mstaarabu kumbe ni tapeli na anaamini ushirikina.
Asante sana polisi yenye mkono mrefu kwa kufichua hili.
Wachaga kiasili wanaaminika kuwa watu wacha Mungu, na kuna viongozi wengi wa kanisa kama Maaskofu Shoo
wa KKKT na Ruwaichi Roman Catholic.
Jamii imeanza kuoza kwa mambo ya kishirikina.
Songoma hasaidii chochote unapodaiwa!Kuna Jamaa yangu Mmoja alipatia short ya cash kazini Sangoma akamdanganya hutofukuzwa kazi,kama vile alichochea kikawaka kwa spidi ya G6!Mungu Ndio yote katika yote,ila sio kwa madeni lazima ulipe.View attachment 3179303Nasikia tetesi nyingi tu kuwa ndugu zangu wachaga sasa wanaingia kwenye anga za ushirikina kwa spidi ya 5g.
Sasa leo, bwana Massawe kijana mtanashati na anaye onekana mstaarabu kumbe ni tapeli na anaamini ushirikina.
Asante sana polisi yenye mkono mrefu kwa kufichua hili.
Wachaga kiasili wanaaminika kuwa watu wacha Mungu, na kuna viongozi wengi wa kanisa kama Maaskofu Shoo
wa KKKT na Ruwaichi Roman Catholic.
Jamii imeanza kuoza kwa mambo ya kishirikina.
Mbona wanafanana sana? Huyu ni yule wa kuuza Coaster auHuyo sio Ulomi nafkir ni masawe, Lakini haibadilishi uzi wako ni mchaga pia
Ilo kabila ndio namba moja kwa uchawi,japo watani zangu ila ni wachawi wakubwaView attachment 3179303Nasikia tetesi nyingi tu kuwa ndugu zangu wachaga sasa wanaingia kwenye anga za ushirikina kwa spidi ya 5g.
Sasa leo, bwana Massawe kijana mtanashati na anaye onekana mstaarabu kumbe ni tapeli na anaamini ushirikina.
Asante sana polisi yenye mkono mrefu kwa kufichua hili.
Wachaga kiasili wanaaminika kuwa watu wacha Mungu, na kuna viongozi wengi wa kanisa kama Maaskofu Shoo
wa KKKT na Ruwaichi Roman Catholic.
Jamii imeanza kuoza kwa mambo ya kishirikina.
Mochwari_Ulomi,Kwa Sangoma _Massawe!Sasa huku ndiyo kutuchanganya, aliyekutwa mortuary mwananyamala siyo Ulomi? Huyu ambaye polisi wamesema alipata ajali ya pikipiki siye huyu?
Mbona wachagga na ndagu ni damu damu especially hao wa Rombo wanatumia sana dawa kutoka kwa majirani zao Wakamba.View attachment 3179303Nasikia tetesi nyingi tu kuwa ndugu zangu wachaga sasa wanaingia kwenye anga za ushirikina kwa spidi ya 5g.
Sasa leo, bwana Massawe kijana mtanashati na anaye onekana mstaarabu kumbe ni tapeli na anaamini ushirikina.
Asante sana polisi yenye mkono mrefu kwa kufichua hili.
Wachaga kiasili wanaaminika kuwa watu wacha Mungu, na kuna viongozi wengi wa kanisa kama Maaskofu Shoo
wa KKKT na Ruwaichi Roman Catholic.
Jamii imeanza kuoza kwa mambo ya kishirikina.
Mhm kwendaIlo kabila ndio namba moja kwa uchawi,japo watani zangu ila ni wachawi wakubwa
Kwanza hakuna kitu kinachoitwa uchawi mtaniNyie wachawi wakubwa
Yangekuwa ni mazuri unge generalize. That's self serving mind nature.Kwahiyo huyo mtu mmoja ndio anawakilisha wachaga wote mkuu?
Kila jamii hua ina watu wazuri na watu wabaya,hakuna jamii ambayo ina watu wazuri wote au wabaya wote,tabia ya mtu ni issue ya individual na sio jamii nzima.
Hii comment yako ilitakiwa impinge mleta mada,Yangekuwa ni mazuri unge generalize. That's self serving mind nature.
Mfano mchaga akafanya makubwa utasema kuwa tuko vizuri.
Pia ingetokea kwa wengine kabila unge generalize kuwa Hawa wako ivyo ivyo nawajua ndio tabia zao.
Mfano Hawa jamaa kwa mapanga ama kurogana ndio zao.
Yaani unge seek the least resistance path of your brain sema hapa una defend.
All.in all.umeeleweka
Kwa hiyo jirani yako na huyo jamaa ndio ana conclude wachaga wote?Nalisemea hili from experience. Kuna jirani yangu simtaji jina, mwanamke mchaga, alikuwa mshirikina ile mbaya.
Tuligombana sana issues simple za mpaka, hataki maridhiano na vitisho vingi.
Sikumuogopa hata kidogo na nikampeleka Mahakamani ambako alishindwa, lakini akaendelea na vitimbwi.
Kwa imani yangu huwa hanitishi mtu, mwishoni huyo mama akapata majanga ya ajabu, akapofuka.
Miaka michache baadaye akafariki kiajabu.
Mchaga huyo.