Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,021
- 79,710
Wabongo ikitokea scandal kafanya mchagga huwa mnakomalia sana. Ila miafrika ndio mlivyoTulia weweee mkristo uchwara
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wabongo ikitokea scandal kafanya mchagga huwa mnakomalia sana. Ila miafrika ndio mlivyoTulia weweee mkristo uchwara
Hata mie alinichanganyaHuyo sio Ulomi nafkir ni masawe, Lakini haibadilishi uzi wako ni mchaga pia
Nimeomba MODS wanibadilishie heading, naona wamella bado.Ulomi alivuma sana ,huyu ni Masawe
We mchaga?Wabongo ikitokea scandal kafanya mchagga huwa mnakomalia sana. Ila miafrika ndio mlivyo
Kwahiyo huyo mtu mmoja ndio anawakilisha wachaga wote mkuu?
Kila jamii hua ina watu wazuri na watu wabaya,hakuna jamii ambayo ina watu wazuri wote au wabaya wote,tabia ya mtu ni issue ya individual na sio jamii nzima.
Wakinga ni balaa!Samaki mmoja akiongiza, tenga zima linawekwa pembeni. Wachaga wa zamani hawakuwa watafuta mali za kishirikina, ingawa haina maana uchagani hakuna ushirikina.
Ila sasa hivi wameunganisha nguvu na wapare, wasambaa, wakinga, wasukuma, wangoni, wafipa etc...burudani tupu
Wakinga ni balaa!
Itakua ulimrogaNalisemea hili from experience. Kuna jirani yangu simtaji jina, mwanamke mchaga, alikuwa mshirikina ile mbaya.
Tuligombana sana issues simple za mpaka, hataki maridhiano na vitisho vingi.
Sikumuogopa hata kidogo na nikampeleka Mahakamani ambako alishindwa, lakini akaendelea na vitimbwi.
Kwa imani yangu huwa hanitishi mtu, mwishoni huyo mama akapata majanga ya ajabu, akapofuka.
Miaka michache baadaye akafariki kiajabu.
Mchaga huyo.
Siamini katika hizo sarakasi.Itakua ulimroga