Abul Aaliyah
JF-Expert Member
- Nov 8, 2016
- 7,718
- 5,899
Na hiyo saikoloji inatkiwa ifanyikie Mirembe. Sio pengine.. Yaani Mwalimu Nyerere hakukosea kuiweka jiyo hosipitali Dodoma.
Chadema ni imani nimekuelewa sanaChadema ni imani. Chama kipo kwenye mioyo ya watu. Chadema imevuka hatua zote za kuuwawa na wafilisti wenye mamlaka. Viongozi watafungwa, wanachama watafungwa na kupotezwa. Lakini chama kitasimama imara. Chadema imevuka vikwazo vyote vigumu. Chadema ni mabadilko na uhuru wa kweli
Ndugai mmoja ni sawa na headless chicken
Kweli chadema ina watu wajinga sana!
Yani Malisa nae kajiunga na kigogo kumuita Halima mzee?
Historia inaonesha kwamba pale chadema kila mtu huwa anasurubiwa kwa wakati wake kulingana na nyakati!
Zitto pamoja na kupigana hadi jasho la damu lakini lilipokuja suala la maslahi ya Mbowe alikiona cha moto
Slaa pamoja na kuvunjika hadi mikono akipigania chadema lakini lilipokuja suala la maslahi ya Mbowe alikiona cha moto.
Sasa hivi ni zamu ya Mdee!
Huyu Malisa ni kidagaa tu pale chadema, ningekuwa mimi ningejikalia kimya tu bila kumkejeli Halima.
Kwahiyo wanachema na chadema hawana tofauti na ccm na wanaccm?Sitetei udhalilishaji, lakini hebu tuambie Lowasa alipoondoka ccm kashfa zake toka kwa wanaccm na matusi ya nguoni yalikuwa ya kiwango gani? Ama unadhani tumesahau Mbunge msukuma alivyokuwa anasema Lowassa kajinyea mbele ya Magufuli huko Geita?
Kwa akili yako chadema hii iko hai?Chadema ni imani. Chama kipo kwenye mioyo ya watu. Chadema imevuka hatua zote za kuuwawa na wafilisti wenye mamlaka. Viongozi watafungwa, wanachama watafungwa na kupotezwa. Lakini chama kitasimama imara. Chadema imevuka vikwazo vyote vigumu. Chadema ni mabadilko na uhuru wa kweli
Ndugai mmoja ni sawa na headless chicken
Kiukweli siasa siijui ila ndugu yangu hapa Pascal Mayalla anaweza kuyajibu maswali yote uliyouliza labda tuu aamue kukaa kimya kwa sababu zakichamaKaandika Bibi Happy
MBOWE NI NANI?
Kwa hiyo Mbowe ni Kamati kuu ya CHADEMA? Au Mbowe aishurutishe kamati kuu?
Ngoja kwanza....
Kwamba Mdee alivunjika akiwa anazungumza na Mbowe? Au Bulaya ALIPIGWA na Mbowe hadi akazimia? Au Matiko alilazwa kisa alifumwa na Mbowe? Yaani MBOWE ni nani jamani hata hakamatiki akipiga hawa wanawake?
Kwamba Nusrat aliwekwa mahabusu na Mbowe sio? Kwamba Mbowe alimweka huko ili afie magereza? Wow! Kwamba Mbowe ANAMILIKI magereza, mahakama na wanasheria wote? Wow!
Sasa mkuu, mbona sijaelewa? Kwamba wabunge hawa wapewe nafasi kwa kuwa MBOWE amewanyanyasa? Kwamba ofisi ya BUNGE inawatambua kwa kuwa ndiyo ILIYOAMUA wapewe nafasi hizo?
Kama kweli wabunge hawa HAWAKUJITEUA na walitokana na uteuzi RASMI toka CHADEMA, je, haimaanishi kwamba CHADEMA ILIWAJALI? Kwa nini CHADEMA iwape nafasi halafu IWAFUKUZE uwanachama?
Je, kauli zako hizi zinathibitisha kuwa hawa wabunge HAWAKUTEULIWA na CHADEMA?
Nani aliyemtoa NUSRAT mahabusu? Kama ni CHADEMA ILIMTOA ILI AKAAPE, kwa nini huoni hili ni jambo jema? Kama CHADEMA walimtoa huko mahabusu, unataka kusema CHADEMA ndio wana nguvu ya kumtoa mahabusu yeyote wanayetaka? Hii inaleta picha gani kwa huu mhimili mkuu wa serikali?
Kwamba ALIYEMTOA Nusrat ili akaapishwe, alikuwa ANAMWEPUSHA na unyanyasaji ambao MBOWE aliufanya?
Basi, ni NANI huyo ALIYEMTOA AKAAPE ILI ASIFIE MAGEREZA kama alivyotaka Mbowe ?
Bado najiuliza, MBOWE NI NANI KATIKA NCHI HII? Spika anamlalamikia tu, hata hamfanyi kitu.
Aliyeelewa anieleweshe...
Its so confusing.
Atakataa tu kupokea barua yeyote kutoka Chadema. Anaweza kusema hatambui sahihi, mbona wamesaini kwa wino wa blu badala ya mweusi, kwa nini Mnyika hakumpelekea ofisini kwake, karatasi walizotumia hazikidhi kiwango n.k.Mimi hizo sababu zako zote natofautiana ila la msingi ni kwamba ndugai atajidhalilisha kama ataruhusu wabunge wasiokua na chama bungeni. Wanachohitajika kufanya chadema ni kulifahamisha bunge rasmi kuhusu kuwatimua chama hao wabunge wao. Tena chadema waweke wazi kwa wananchi kuhusu hatua hiyo kisha tuone kama ndugai hatawatimua kina halima bungeni. Isije kua janja na hila za mbowe na mnyima kuvunga na kufanya propagandakwa kumbe taarifa rasmi kwa ndugai hawajatoa wala hawatatoa.
Mi nadhani kwakua chama hakijawateua naona hakuna haja yakulijulisha bunge. wakilijulisha bunge inamaana uteuzi wao chama kilikuwa kinaujua. Kuwafukuza inatoshaMimi hizo sababu zako zote natofautiana ila la msingi ni kwamba ndugai atajidhalilisha kama ataruhusu wabunge wasiokua na chama bungeni. Wanachohitajika kufanya chadema ni kulifahamisha bunge rasmi kuhusu kuwatimua chama hao wabunge wao. Tena chadema waweke wazi kwa wananchi kuhusu hatua hiyo kisha tuone kama ndugai hatawatimua kina halima bungeni. Isije kua janja na hila za mbowe na mnyima kuvunga na kufanya propagandakwa kumbe taarifa rasmi kwa ndugai hawajatoa wala hawatatoa.
Wasomi wengine kama ndugai,bwana ni hasara tupuuuuuuu.Kaandika Bibi Happy
MBOWE NI NANI?
Kwa hiyo Mbowe ni Kamati kuu ya CHADEMA? Au Mbowe aishurutishe kamati kuu?
Ngoja kwanza....
Kwamba Mdee alivunjika akiwa anazungumza na Mbowe? Au Bulaya ALIPIGWA na Mbowe hadi akazimia? Au Matiko alilazwa kisa alifumwa na Mbowe? Yaani MBOWE ni nani jamani hata hakamatiki akipiga hawa wanawake?
Kwamba Nusrat aliwekwa mahabusu na Mbowe sio? Kwamba Mbowe alimweka huko ili afie magereza? Wow! Kwamba Mbowe ANAMILIKI magereza, mahakama na wanasheria wote? Wow!
Sasa mkuu, mbona sijaelewa? Kwamba wabunge hawa wapewe nafasi kwa kuwa MBOWE amewanyanyasa? Kwamba ofisi ya BUNGE inawatambua kwa kuwa ndiyo ILIYOAMUA wapewe nafasi hizo?
Kama kweli wabunge hawa HAWAKUJITEUA na walitokana na uteuzi RASMI toka CHADEMA, je, haimaanishi kwamba CHADEMA ILIWAJALI? Kwa nini CHADEMA iwape nafasi halafu IWAFUKUZE uwanachama?
Je, kauli zako hizi zinathibitisha kuwa hawa wabunge HAWAKUTEULIWA na CHADEMA?
Nani aliyemtoa NUSRAT mahabusu? Kama ni CHADEMA ILIMTOA ILI AKAAPE, kwa nini huoni hili ni jambo jema? Kama CHADEMA walimtoa huko mahabusu, unataka kusema CHADEMA ndio wana nguvu ya kumtoa mahabusu yeyote wanayetaka? Hii inaleta picha gani kwa huu mhimili mkuu wa serikali?
Kwamba ALIYEMTOA Nusrat ili akaapishwe, alikuwa ANAMWEPUSHA na unyanyasaji ambao MBOWE aliufanya?
Basi, ni NANI huyo ALIYEMTOA AKAAPE ILI ASIFIE MAGEREZA kama alivyotaka Mbowe ?
Bado najiuliza, MBOWE NI NANI KATIKA NCHI HII? Spika anamlalamikia tu, hata hamfanyi kitu.
Aliyeelewa anieleweshe...
Its so confusing.
Mwambie Mimi boss mtaa wa kijani kabisa basiii.Kabisa mkuu!
Malisa ni kidagaa tu pale chadema ila anajitia kimbelembele.
Relax mzee, hizo ni 'tambo' tu katika siasa.
Of course 'mzee mdee' kapoteza legacy yake kutokana na tamaa ya tumbo na mamlaka. ! Wao Chadema washamaliza kazi.
Kweli chadema ina watu wajinga sana!
Yani Malisa nae kajiunga na kigogo kumuita Halima mzee?
Historia inaonesha kwamba pale chadema kila mtu huwa anasurubiwa kwa wakati wake kulingana na nyakati!
Zitto pamoja na kupigana hadi jasho la damu lakini lilipokuja suala la maslahi ya Mbowe alikiona cha moto
Slaa pamoja na kuvunjika hadi mikono akipigania chadema lakini lilipokuja suala la maslahi ya Mbowe alikiona cha moto.
Sasa hivi ni zamu ya Mdee!
Huyu Malisa ni kidagaa tu pale chadema, ningekuwa mimi ningejikalia kimya tu bila kumkejeli Halima.
Pole sana mkuu! Na kwa sababu hiyo chadema sasa inakaribia ikulu, na sasa ina wabunge robo tatu nzima eti?Mkuu kwa CDM hata JPM angekuwa kule halafu akafanya fyongo zamani angeshasahaulika ndani ya chama kwani huku watu hawalembi wala kupiga selfie
Ndugai hana akiliBwana Ndugai anahitaji msaada wa haraka wa saikolojia.
Malisa GJ
Mosi; Huu uchungu anaouonesha Ndugai sio wa Mzee Halima na wenzake kupigwa, ni uchungu wa kupoteza yale matrilioni ya wafadhili. Ameshaona dalili zote kwamba hata akiwalinda akina Mzee Halima na wenzake waendelee kuwa wabunge, wafadhili wanaweza kugomea kutoa yale matrilioni.
Pili; Mzee Halima na wenzake hawakupigwa kwa ajili ya Mbowe. Walipigwa kwa sababu ya kutetea haki zao. Walipotolewa Segerea askari magereza waliwapiga kama vibaka kwa sababu tu walienda kupokelewa na wafuasi wao. Mashinji alipokelewa na msafara wa wafuasi wa CCM wakiongozwa na Chakubanga lakini hakupigwa. Double standards. Kama kweli Ndugai ana uchungu angewakemea wale askari waliofanya unyama ule sio Mbowe.
Tatu; Mzee Halima na wenzake hawajafukuzwa bila kusikilizwa. Walipewa haki ya kusikilizwa (audi alteram partem) lakini wakakataa kuitumia. Waliitwa kwa maandishi kwenye kamati kuu ili wasikilizwe wakagoma. Sasa Bwana Ndugai alitaka chama kifanyeje? Hata mahakamani mtuhumiwa akikataa kujitetea bila sababu za msingi, mahakama hulazimika kuamua kwa kusikikiza upande mmoja.
Nne; Maamuzi ya Chadema hayakufanywa na Mbowe. Yalifanywa na Kamati kuu ambayo ina wajumbe zaidi ya 40. Ni ujinga kuamini wajumbe wote hawakua na sauti isipokua Mbowe peke yake. Ndugai elewa kwamba Mbowe sio kamati kuu ya Chadema.
Tano; kumbe Ndugai anajua Mzee Halima na mwenzake walipigwa hadi wakazimia pamoja na kuvunjwa mikono na askari magereza? Unyama huu aliwahi kuulaani popote? Aliwahi kumuita Kamishna Mkuu wa Magereza kwenye kamati za bunge ajieleze kwanini Askari wake walifanya unyama ule tena kwa wabunge wanawake? Au aliona ni sawa tu kwa sababu walikua Chadema. Leo wamefurushwa ndio anasikia uchungu.
Huu utaratibu wa mtu kuonewa lakini unakaa kimya kwa sababu sio wa chama chako sio ubinadamu kabisa. Ningemuona Ndugai ana hoja kama angekemea tukio lilipotokea. Sasa Mzee Halima ameshapona na kusahau ndio Ndugai anasikia uchungu leo? Haina tofauti na mkeo kulia kwa uchungu na kukuomba msamaha kwa sababu ya vita vya majimaji eti babu yake alishirikiana na wakoloni kuwapiga wazawa. Wendawazimu.!
Kuna watu wenye mazali yao,unauokota kutoka kusikojulikana,bahati hiyo itanikuta na Mimi lini?Bwana Ndugai anahitaji msaada wa haraka wa saikolojia.
Malisa GJ
Mosi; Huu uchungu anaouonesha Ndugai sio wa Mzee Halima na wenzake kupigwa, ni uchungu wa kupoteza yale matrilioni ya wafadhili. Ameshaona dalili zote kwamba hata akiwalinda akina Mzee Halima na wenzake waendelee kuwa wabunge, wafadhili wanaweza kugomea kutoa yale matrilioni.
Pili; Mzee Halima na wenzake hawakupigwa kwa ajili ya Mbowe. Walipigwa kwa sababu ya kutetea haki zao. Walipotolewa Segerea askari magereza waliwapiga kama vibaka kwa sababu tu walienda kupokelewa na wafuasi wao. Mashinji alipokelewa na msafara wa wafuasi wa CCM wakiongozwa na Chakubanga lakini hakupigwa. Double standards. Kama kweli Ndugai ana uchungu angewakemea wale askari waliofanya unyama ule sio Mbowe.
Tatu; Mzee Halima na wenzake hawajafukuzwa bila kusikilizwa. Walipewa haki ya kusikilizwa (audi alteram partem) lakini wakakataa kuitumia. Waliitwa kwa maandishi kwenye kamati kuu ili wasikilizwe wakagoma. Sasa Bwana Ndugai alitaka chama kifanyeje? Hata mahakamani mtuhumiwa akikataa kujitetea bila sababu za msingi, mahakama hulazimika kuamua kwa kusikikiza upande mmoja.
Nne; Maamuzi ya Chadema hayakufanywa na Mbowe. Yalifanywa na Kamati kuu ambayo ina wajumbe zaidi ya 40. Ni ujinga kuamini wajumbe wote hawakua na sauti isipokua Mbowe peke yake. Ndugai elewa kwamba Mbowe sio kamati kuu ya Chadema.
Tano; kumbe Ndugai anajua Mzee Halima na mwenzake walipigwa hadi wakazimia pamoja na kuvunjwa mikono na askari magereza? Unyama huu aliwahi kuulaani popote? Aliwahi kumuita Kamishna Mkuu wa Magereza kwenye kamati za bunge ajieleze kwanini Askari wake walifanya unyama ule tena kwa wabunge wanawake? Au aliona ni sawa tu kwa sababu walikua Chadema. Leo wamefurushwa ndio anasikia uchungu.
Huu utaratibu wa mtu kuonewa lakini unakaa kimya kwa sababu sio wa chama chako sio ubinadamu kabisa. Ningemuona Ndugai ana hoja kama angekemea tukio lilipotokea. Sasa Mzee Halima ameshapona na kusahau ndio Ndugai anasikia uchungu leo? Haina tofauti na mkeo kulia kwa uchungu na kukuomba msamaha kwa sababu ya vita vya majimaji eti babu yake alishirikiana na wakoloni kuwapiga wazawa. Wendawazimu.!
Malisa GJ msitusumbue. Ikiwezekana fukuzanane wote mgawane vyombo vya pale Ufipa. Mambo yenu yametuchosha. Unashabikia wenzako kufukuzwa ipo siku wengine watashangilia kufukuzwa kwako. Tunza hii komenti. Utaifanyia rejea.Bwana Ndugai anahitaji msaada wa haraka wa saikolojia.
Malisa GJ
Mosi; Huu uchungu anaouonesha Ndugai sio wa Mzee Halima na wenzake kupigwa, ni uchungu wa kupoteza yale matrilioni ya wafadhili. Ameshaona dalili zote kwamba hata akiwalinda akina Mzee Halima na wenzake waendelee kuwa wabunge, wafadhili wanaweza kugomea kutoa yale matrilioni.
Pili; Mzee Halima na wenzake hawakupigwa kwa ajili ya Mbowe. Walipigwa kwa sababu ya kutetea haki zao. Walipotolewa Segerea askari magereza waliwapiga kama vibaka kwa sababu tu walienda kupokelewa na wafuasi wao. Mashinji alipokelewa na msafara wa wafuasi wa CCM wakiongozwa na Chakubanga lakini hakupigwa. Double standards. Kama kweli Ndugai ana uchungu angewakemea wale askari waliofanya unyama ule sio Mbowe.
Tatu; Mzee Halima na wenzake hawajafukuzwa bila kusikilizwa. Walipewa haki ya kusikilizwa (audi alteram partem) lakini wakakataa kuitumia. Waliitwa kwa maandishi kwenye kamati kuu ili wasikilizwe wakagoma. Sasa Bwana Ndugai alitaka chama kifanyeje? Hata mahakamani mtuhumiwa akikataa kujitetea bila sababu za msingi, mahakama hulazimika kuamua kwa kusikikiza upande mmoja.
Nne; Maamuzi ya Chadema hayakufanywa na Mbowe. Yalifanywa na Kamati kuu ambayo ina wajumbe zaidi ya 40. Ni ujinga kuamini wajumbe wote hawakua na sauti isipokua Mbowe peke yake. Ndugai elewa kwamba Mbowe sio kamati kuu ya Chadema.
Tano; kumbe Ndugai anajua Mzee Halima na mwenzake walipigwa hadi wakazimia pamoja na kuvunjwa mikono na askari magereza? Unyama huu aliwahi kuulaani popote? Aliwahi kumuita Kamishna Mkuu wa Magereza kwenye kamati za bunge ajieleze kwanini Askari wake walifanya unyama ule tena kwa wabunge wanawake? Au aliona ni sawa tu kwa sababu walikua Chadema. Leo wamefurushwa ndio anasikia uchungu.
Huu utaratibu wa mtu kuonewa lakini unakaa kimya kwa sababu sio wa chama chako sio ubinadamu kabisa. Ningemuona Ndugai ana hoja kama angekemea tukio lilipotokea. Sasa Mzee Halima ameshapona na kusahau ndio Ndugai anasikia uchungu leo? Haina tofauti na mkeo kulia kwa uchungu na kukuomba msamaha kwa sababu ya vita vya majimaji eti babu yake alishirikiana na wakoloni kuwapiga wazawa. Wendawazimu.!
Ndugai hana akili
Anachopaswa kujua ni kuwa kuna njia 2 za mtuhumiwa kutoka gerezani
1. Kwa amri ya Mahakama
2. Kwa msamaha wa Raisi
Endapo DPP ataona hana nia ya kuendelea na kesi na anataka kumuachia mtuhumiwa aliyepo gerezani ni lazima aende kwanza kuitaarifu mahakama na mahakama ndo inatoa amri ya kumtoa mtuhumiwa gerezani. DPP hana mamlaka ya kumtoa mtuhumiwa gerezani , ni lazima apitie kwa mahakama.
Kwa upande wa Raisi yeye ndo pekee mwenye amri ya kumtoa mtuhumiwa au mfungwa gerezani.
Kwa suala la Nusrat ni hekima kwa Ndugai kuchutama maana hili suala limewavua nguo. Nusrati hata kama kulikuwa na nole ya DPP lakini hakukuwa na amri ya mahakama ya kumtoa gerezani.
Kwa upande wa Raisi hakuna popote Raisi alipotoa amri ya kuachiwa kwa Nusrat.
Hivyo Ndugai aambiwe, achutame tu. Wako uchi
Hata wewe Joni, basii dunia inaenda kwa kasi ya 6G.Kuwaambia waandishi wa habari wasiende kuwahoji wastasfu akina Msekwa kwamba hawajui mambo yalivyobadilika imenitia shaka kidogo!