Acha maswali ya kizushi yasiyo na tija Tambua kuwa covid 19 walijiteua kienyeji pasipo indhini yeyote wala baraka toka kwa kamati kuu, na kibaya zaidi hawakujali mabaya mateso manyanyaso waliyofanyiwa na CCM wakajitoa fahamu kwenda kufunga ndoa na CCM kienyeji kwa njia haramu za kishetani, chama kwanza chadema kwanza hao covid 19 acha wawe michepuko ya wakware huko CCM hata wakiwa wabunge wa mahakamaccm ruksa tu, kuwa mbunge wa Ndungai kwao ni sifa wamesahau kuwa Ndungai aliwanyanyasa sana ikiwemo kuwadhalilisha kwa kutumia Asikari wa bunge kuwatoa nje ya kumbi za bunge