Watu wa sinema wako wap watengeneze movi tangu kina Ben Saanane kupotezwa hadi Tundu Lissu kutimbwa risasi hadi... Hadii hivi vituko vya sasa. Eee itakuwa muvi kali italipa!Wakati anamfukuza halima bunge akujua kwamba ni unyanyasaji wa kijinsia.
Wakati wanawapora ushindi wao kawe, bunda na tarime awakujua Hawa ni wanawake, na wanawanyanyasa sababu ni wanawake.
Ye awape huo ubunge lkn pesa za mabeberu wasahau. Beberu sio msukuma
Acha maswali ya kizushi yasiyo na tija Tambua kuwa covid 19 walijiteua kienyeji pasipo indhini yeyote wala baraka toka kwa kamati kuu, na kibaya zaidi hawakujali mabaya mateso manyanyaso waliyofanyiwa na CCM wakajitoa fahamu kwenda kufunga ndoa na CCM kienyeji kwa njia haramu za kishetani, chama kwanza chadema kwanza hao covid 19 acha wawe michepuko ya wakware huko CCM hata wakiwa wabunge wa mahakamaccm ruksa tu, kuwa mbunge wa Ndungai kwao ni sifa wamesahau kuwa Ndungai aliwanyanyasa sana ikiwemo kuwadhalilisha kwa kutumia Asikari wa bunge kuwatoa nje ya kumbi za bungeKaandika Bibi Happy
MBOWE NI NANI?
Kwa hiyo Mbowe ni Kamati kuu ya CHADEMA? Au Mbowe aishurutishe kamati kuu?
Ngoja kwanza....
Kwamba Mdee alivunjika akiwa anazungumza na Mbowe? Au Bulaya ALIPIGWA na Mbowe hadi akazimia? Au Matiko alilazwa kisa alifumwa na Mbowe? Yaani MBOWE ni nani jamani hata hakamatiki akipiga hawa wanawake?...
Mmjoa hapo wanasema yupo kwenye 750KV..Ndungai sasa ni dhahiri anachepuka na Bulaya kwa mjibu wa Msiri wa CCM le mutuz , Ndungai kajitoa fahamu anawatetea covid 19 kwa njia haramu za kishetani kisa Demu wake katolewa kafara kwa upumbavu wake
Mgogo wakati akimfukuza halima bungeni haikuwa ni unyanyasaji wa kijinsia.Ccm ilipora ubunge wa mdee,esta,haikuwa ni unyanyasaji? Wala kuwaonea huruma kwamba Hawa ni wanawakeAcha maswali ya kizushi yasiyo na tija Tambua kuwa covid 19 walijiteua kienyeji pasipo indhini yeyote wala baraka toka kwa kamati kuu, na kibaya zaidi hawakujali mabaya mateso manyanyaso waliyofanyiwa na CCM wakajitoa fahamu kwenda kufunga ndoa na CCM kienyeji kwa njia haramu za kishetani, chama kwanza chadema kwanza hao covid 19 acha wawe michepuko ya wakware huko CCM hata wakiwa wabunge wa mahakamaccm ruksa tu, kuwa mbunge wa Ndungai kwao ni sifa wamesahau kuwa Ndungai aliwanyanyasa sana ikiwemo kuwadhalilisha kwa kutumia Asikari wa bunge kuwatoa nje ya kumbi za bunge
Umenikumbusha kipindi Fulani walifanyiwa mdahalo Ndu gay na Mnyika ,sikumbuki ilikuwa TV station gani,kajamaa kalizidiwa hoja na Mnyika,kalitaka kuleta fujo.Hivi sijui.kwanini CCM mara zote huwa hawajibu hoja badala yake humshambulia mtu na kuacha hoja za msingi. Sasa ukisikiliza majibu ya Ndugai utaamini kuwa ni mtu mwenye sifa ya kuwa spika wa bunge? Mbona ni kama mjinga fulani asiyekuwa na elimu yoyote kichwani?
... ongezea na mchepuko kwa Matiko, duh! Halafu mtu unaenda ibada hautubu na kuacha uliyopaswa kuyatubu. Devil incarnate!Ndungai sasa ni dhahiri anachepuka na Bulaya kwa mjibu wa Msiri wa CCM le mutuz , Ndungai kajitoa fahamu anawatetea covid 19 kwa njia haramu za kishetani kisa Demu wake katolewa kafara kwa upumbavu wake
Kuitwa mzee ni heshima, Hata hapa Jf tunaitana mkuu hii ni heshimaKwani kumuita mtu mzee siku hizi siyo heshima bali ni tusi! Wakati umeenda wapi? Kwani Halima kwa miaka yake 45 hafai kuitwa mzee? Mbona Mo Dewj ,Onyango ,Mrisho Ngasa wanaitwa wazee na hawajalalamika?
Malisa too low for you kumuita Halima Mdee..Mzee Mdee..
Wewe Malisa kuna wengi tunakuheshimu...
Kwani kumuita mtu mzee siku hizi siyo heshima bali ni tusi! Wakati umeenda wapi? Kwani Halima kwa miaka yake 45 hafai kuitwa mzee? Mbona Mo Dewj ,Onyango ,Mrisho Ngasa wanaitwa wazee na hawajalalamika?
Ndugai anapangia CHADEMA nani aingie bungeni na nani asiingie, hovyo kabisa huyu mzeeBwana Ndugai anahitaji msaada wa haraka wa saikolojia.
Malisa GJ
Mosi; Huu uchungu anaouonesha Ndugai sio wa Mzee Halima na wenzake kupigwa, ni uchungu wa kupoteza yale matrilioni ya wafadhili. Ameshaona dalili zote kwamba hata akiwalinda akina Mzee Halima na wenzake waendelee kuwa wabunge, wafadhili wanaweza kugomea kutoa yale matrilioni...
Hayo ndio madhara ya julian maharage.Bwana Ndugai anahitaji msaada wa haraka wa saikolojia.
Malisa GJ
Mosi; Huu uchungu anaouonesha Ndugai sio wa Mzee Halima na wenzake kupigwa, ni uchungu wa kupoteza yale matrilioni ya wafadhili. Ameshaona dalili zote kwamba hata akiwalinda akina Mzee Halima na wenzake waendelee kuwa wabunge, wafadhili wanaweza kugomea kutoa yale matrilioni...
Mkuu siasa zetu zimewafanya walio kwenye system kuwa mazezeta. Jamaa sijui aliqualify vipi kuwa speaker wa Bunge letu 😭😭Hivi sijui.kwanini CCM mara zote huwa hawajibu hoja badala yake humshambulia mtu na kuacha hoja za msingi. Sasa ukisikiliza majibu ya Ndugai utaamini kuwa ni mtu mwenye sifa ya kuwa spika wa bunge? Mbona ni kama mjinga fulani asiyekuwa na elimu yoyote kichwani?
We jamaa uko mbali Kama unaishi dunia ya kwako na haupo Tz. Hilo neno "mzee" kwa Halima lina maana yake.uliishawahi kuona wapi mwanamke anaitwa mzee fulani!!!
au mmevuta bangi na nyinyi!!
Ni kweli kabisa,kuna mmoja nilimpa mchonho Wa kupata hela alonigomea kabisa.Wagogo ni masikini wa mali na akili
Nimefarijika kusoma hii toka kwako. Ikabid nirudie mara kadhaa kuangalia id yako😂Kuwaambia waandishi wa habari wasiende kuwahoji wastasfu akina Msekwa kwamba hawajui mambo yalivyobadilika imenitia shaka kidogo!
Wanaanza kuwa na akili sasa, na badoNimefarijika kusoma hii toka kwako. Ikabid nirudie mara kadhaa kuangalia id yako[emoji23]
Hatari sana gari inapokuwa inaendeshwa na dereva aliyelewa chakari.Siyo spika tu Mkuu. Bali ni kuanzia Ikulu, Bunge lote na Serikali yote kote huko ni BOGUS!