Bwana Ndugai anahitaji msaada wa haraka wa saikolojia

Ndugai anajua anachokifanya , kufanya kazi na Jiwe lazima ujitoe fahamu uweke fahamu za bandia .
 
Hakuna spika
Tanzania tuna spika hewa.

Ile siku bwana mdogo Ndugai anamuapisha Polepole lakini anaongelea mambo ya Chadema na kusema kuna "unyanyasaji wa kijinsia" akiwatumia akina Halima Mdee kama Mfano. Halima anafanya press yake na kusema Chadema hakuna mfumo dume kama inavyoelezwa, maana wao wamekuwa viongozi huko. Ndugai anajionaje?
 
Rais husamehe waliokwishahukumiwa na mahakama.
Kama ni mtuhumiwa, hawezi kumtoa kwa amri/msamaha wa moja kwa moja, atatumia njia ya kisheria ya kupitia DPP
 
Inakuwaje Spika badala kutoa ufafanuzi wa kilichotokea na matakwa ya kisheria amekazia kuleta ushonganishi wa kijinsia kama kwamba ndio tatizo.Yaani Mobwe na chama chake walichofanya si sahihi kwa vile wamewatendea akina dada na hata kama kikatiba ya chama chao wametenda sawa. Ameng'ang'ania kuwa wataendelea kuwa waabunge,kwa kigezo gani ?.Ni ubabe au ni matakwa ya kikatiba.
Halima Mdee wakirudishwa chamani watakuwa vidudu mtu na wataleta madhara chini kwa chini kuliko huo usaliti wa mwanzo.
 
Ndoyo maana omba omba wengi ni wagogo
 
Nahofia sana neno "ndugai" kuja shabihiana na "kihiyo" maana matukio huwafanya watu waunde misamiati mipya.
 
Mwendawazimu namba moja anaamua wendawazimu wengine waongee au kufanya nini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…