Bwana wangu anaendesha bodaboda, nifanyaje?

Bwana wangu anaendesha bodaboda, nifanyaje?

Hatujawahi zini, Ila naogopa Sana kuolewa nae, maana kipato chake NI bodaboda Tu naona aibu mpaka aje kununua gari haya maisha yatakuwaje?

Kweli money penny bwana wangu anaendesha bodaboda lakini naona aibu kumtambulisha kwetu,

Tafadhali Achana na kaka wawatu
Nenda katafute hao wenye magari unaowataka
Muache na bodaboda yake atapata mwanamke atake ridhika na kumpenda kweli bila kuona aibu idiot
 
avae miwani masuala ya kuangalia nani atanionaje ni mambo ya kiwaki yamepitwa na wakati.

dunian unakuja kivyako na unaondoka kivyako. akiona jau wahamie mkoa mwingine. na dawa rahisi ukiona mafanikio ya uliosoma nao wametoboa basi ni kukata nao mawasiliano. Hii ndo dawa inasaidia unakua hupati tena sonono.
 
avae miwani masuala ya kuangalia nani atanionaje ni mambo ya kiwaki yamepitwa na wakati.

dunian unakuja kivyako na unaondoka kivyako. akiona jau wahamie mkoa mwingine. na dawa rahisi ukiona mafanikio ya uliosoma nao wametoboa basi ni kukata nao mawasiliano. Hii ndo dawa inasaidia unakua hupati tena sonono.
Mbona nidhamu ya woga?!
Kwahiyo wewe umeenda kujificha msituni Kwanza au?!
 
ChatGPT
Dear Eliza,
Nashauri uzingatie mambo muhimu zaidi katika uhusiano wako. Kipato na aina ya kazi siyo kila kitu. Ikiwa jamaa anakupenda kwa dhati, anakuokoa na anazingatia maadili yenu, hilo ni jambo la thamani. Ni muhimu kujadili wazi hisia zako na wasiwasi kuhusu hali ya kifedha. Kuaminiana na kujenga mawasiliano mazuri ni msingi wa uhusiano imara. Pia, fikiria kuhusu maisha yako pamoja na maamuzi yenu ya baadaye. Kama mnaweza kufanya kazi pamoja kuelekea malengo yenu, kipato chake kitapanda na mabadiliko mazuri yanaweza kutokea. Muhimu zaidi, fanya uamuzi kwa moyo wako na kwa mustakabali wenu pamoja.
Imebidi nikamuombe msaada ChatGPT.
 
We NI kakake shetani au
Mama zenu zamani walianza maisha na baba zenu hawana hata nyumba. Wakapambana wote wakajenga na kununua vitu vingine

Raha ya mali muwe mmechuma wote hata mwanamume atakuwa anakuheshimu ila ukimkuta navyo ndio mwanzo wa kufukuzwa na kabegi kako kanguo mkigombana in short huwa tunawadharau sana maana hauna mchango wowote
 
ChatGPT
Dear Eliza,
Nashauri uzingatie mambo muhimu zaidi katika uhusiano wako. Kipato na aina ya kazi siyo kila kitu. Ikiwa jamaa anakupenda kwa dhati, anakuokoa na anazingatia maadili yenu, hilo ni jambo la thamani. Ni muhimu kujadili wazi hisia zako na wasiwasi kuhusu hali ya kifedha. Kuaminiana na kujenga mawasiliano mazuri ni msingi wa uhusiano imara. Pia, fikiria kuhusu maisha yako pamoja na maamuzi yenu ya baadaye. Kama mnaweza kufanya kazi pamoja kuelekea malengo yenu, kipato chake kitapanda na mabadiliko mazuri yanaweza kutokea. Muhimu zaidi, fanya uamuzi kwa moyo wako na kwa mustakabali wenu pamoja.
Imebidi nikamuombe msaada ChatGPT.
Ila mpaka anunue bajaj, aingie Passo mpaka ford ranger
Nahisi Yesu atakuwa amesharudi asee
Kwani haya maisha yamekuwaje jaman
 
Mama zenu zamani walianza maisha na baba zenu hawana hata nyumba. Wakapambana wote wakajenga na vitu vingine

Raha ya mali muwe mmechuma wote hata mwanamume atakuwa anakuheshimu ila ukimkuta navyo ndio mwanzo wa kufukuzwa na kabegi kako kanguo mkigombana
Yani wewe ndio haujui kabisa
Huyo bodaman akipata Akira tchaaap, Benki au serikalini akaingiza mil 3 Kwa mwezi
Lazima awatafute wanawake wote Dar Kwa hasira ya kuzipata hela na ulughalugha WA kushika hela ndefu
Mpaka aje atulie baadae sana
 
Yani wewe ndio haujui kabisa
Huyo bodaman akipata Akira tchaaap, Benki au serikalini akaingiza mil 3 Kwa mwezi
Lazima awatafute wanawake wote Dar Kwa hasira ya kuzipata hela na ulughalugha WA kushika hela ndefu
Mpaka aje atulie baadae sana
Mtatumika sana kwa sababu mnapenda sana pesa na mali
 
Back
Top Bottom