Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 17,694
- 17,131
- Thread starter
- #61
Hahahahaha, jamaan tumetoka mbaliHahaha nimekumbuka kuna madogo walikua wanamuita "rinolensi" 😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahaha, jamaan tumetoka mbaliHahaha nimekumbuka kuna madogo walikua wanamuita "rinolensi" 😂😂
Si uandike na wewe Kwan umekatazwa??We nae una nyuzi nyingi mno
Uweee, wapi hapo tukajiandikishe?!CCM inajitahidi kutoa ajira za bodaboda na bajaji
Maendeleo hayana chama
[emoji419][emoji419][emoji419]Mwache aendelee kuchagua huku umri unaenda baadaye atamtafuta hata huyo boda atakuta tayari kaoa na ana familia yake
Sikuzote adui ya mwanamke ambaye hajaolewa ni umri
ThubutuuuuWeee me nilikuwa chuo
Point🔨🔨Yaani yeye ana degree ana miaka 5 kakosa hata chakufanya ila mwemzie anakazi ya bodabodaa anataka ndoto zake zakumiliki gari amfanikishie,, ubinafsi wa hali ya juu sana na tamaa zisizomithilika.
Ofisi za wilaya na mikoa.Uweee, wapi hapo tukajiandikishe?!
Dah Ila maisha sio poa ee
Degree holder anaendesha bodabodaðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜
Tena WA chip UDSM
Kwanini anamuita bwana wake wakati bado hawajaoana wala jamaa bado hajapewa mbususu? Hawa bado wako katika kipindi cha uchumba.Hata hivyo kama wanapendana haina shida kuoana hata kama mwanaume ni mwendesha bodaboda wakioana maisha yatawanyookea mbele ya safariDear Money Penny
YAH: BWANA WANGU ANAENDESHA BODABODA
Mimi NI binti ambae sikuwahi kuwa kwenye mahusiano nikiwa chuoni.
Nilikuwa busy na masomo na ibada za casfeta.
Mapenzi yangu yalikuwa Kwa Yesu.
Baada ya kumaliza masomo sikupata KAZI, nikasota benchi Kwa Miaka 5, wenzangu nilisoma NAO walishaolewa na kuzaa na KAZI wanazo.
Nimevumilia lakini dadangu akaniambia tafuta bwana angalau uzae UMRI unaenda.
Siku Niko kwenye fellowship nikakutana na Kaka mmoja mlokole mwenzangu, nae NI graduate lakini Hana ajira
Amenunua bodaboda Kwa mkopo WA kampuni ya "WATU" pale Tegeta ndio anafanya nayo biashara apate kipato
Lakini ni mwaminifu, ananipenda mno na KAOKOKA,
Hatujawahi zini, Ila naogopa Sana kuolewa nae, maana kipato chake NI bodaboda Tu naona aibu mpaka aje kununua gari haya maisha yatakuwaje?
Kweli money penny bwana wangu anaendesha bodaboda lakini naona aibu kumtambulisha kwetu, ananipenda Sana nifanyaje??
Wako
Eliza."
Jamaa. Eliza anaomba msaada huku
View attachment 2724672
Why so judgemental??Yaani yeye ana degree ana miaka 5 kakosa hata chakufanya ila mwemzie anakazi ya bodabodaa anataka ndoto zake zakumiliki gari amfanikishie,, ubinafsi wa hali ya juu sana na tamaa zisizomithilika.
Hamna point yeyote wazimu tuPoint🔨🔨
We endelea kutazama profile yangu nimeandika UMRI WA uongoThubutuuuu
Mbona hawajatangaza sasaOfisi za wilaya na mikoa.
CCM wanagawa ajira
Anapata sio ya level yakeKwani akiendesha hapati kipato!!!?