Najaf
JF-Expert Member
- Jun 20, 2015
- 1,505
- 2,393
because you ladies are always selfish,,we stop judgementing you only you become unselfish!!!!!Why so judgemental??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
because you ladies are always selfish,,we stop judgementing you only you become unselfish!!!!!Why so judgemental??
Men mpo selfish zaidi aseebecause you ladies are always selfish,,we stop judgementing you only you become unselfish!!!!!
Jibu ni ndiyoJibu swali kwanza
ndo hvyo sasa inabid uambie moyo usitamani vikubwa mungu akikupa mtu usiangalie ana nin angalia umuhimu wake huku mkipambania vile mnavyotaka maisha yenu yawe mkuu hope tuko pamojaSi mpaka WA laki 5 ampende?!
Shida kupendwa baaab
did you ask your friend why should not take chances of her life with this man instead of thinking big achievement for this period of life??because you ladies are always selfish,,we stop judgementing you only you become unselfish!!!!!
you got anythig to prove this???Men mpo selfish zaidi asee
Acha wala hata usiandike
Kwani hatupo Africa money ,akauze Bora sio uchi au wiziDegree holder anauza genge?!
Kha!
Tanzania imekuwa kama Kenya sasa
Dear Money Penny
YAH: BWANA WANGU ANAENDESHA BODABODA
Mimi NI binti ambae sikuwahi kuwa kwenye mahusiano nikiwa chuoni.
Nilikuwa busy na masomo na ibada za casfeta.
Mapenzi yangu yalikuwa Kwa Yesu.
Baada ya kumaliza masomo sikupata KAZI, nikasota benchi Kwa Miaka 5, wenzangu nilisoma NAO walishaolewa na kuzaa na KAZI wanazo.
Nimevumilia lakini dadangu akaniambia tafuta bwana angalau uzae UMRI unaenda.
Siku Niko kwenye fellowship nikakutana na Kaka mmoja mlokole mwenzangu, nae NI graduate lakini Hana ajira
Amenunua bodaboda Kwa mkopo WA kampuni ya "WATU" pale Tegeta ndio anafanya nayo biashara apate kipato
Lakini ni mwaminifu, ananipenda mno na KAOKOKA,
Hatujawahi zini, Ila naogopa Sana kuolewa nae, maana kipato chake NI bodaboda Tu naona aibu mpaka aje kununua gari haya maisha yatakuwaje?
Kweli money penny bwana wangu anaendesha bodaboda lakini naona aibu kumtambulisha kwetu, ananipenda Sana nifanyaje??
Wako
Eliza."
Jamaa. Eliza anaomba msaada huku
View attachment 2724672
Dada mbona kama umechukulia personal??
Uko na bwana Bodaboda au ana degree Hana ajira?
Mambo yake muachie mwenyewe....
Dear Money Penny
YAH: BWANA WANGU ANAENDESHA BODABODA
Mimi NI binti ambae sikuwahi kuwa kwenye mahusiano nikiwa chuoni.
Nilikuwa busy na masomo na ibada za casfeta.
Mapenzi yangu yalikuwa Kwa Yesu.
Baada ya kumaliza masomo sikupata KAZI, nikasota benchi Kwa Miaka 5, wenzangu nilisoma NAO walishaolewa na kuzaa na KAZI wanazo.
Nimevumilia lakini dadangu akaniambia tafuta bwana angalau uzae UMRI unaenda.
Siku Niko kwenye fellowship nikakutana na Kaka mmoja mlokole mwenzangu, nae NI graduate lakini Hana ajira
Amenunua bodaboda Kwa mkopo WA kampuni ya "WATU" pale Tegeta ndio anafanya nayo biashara apate kipato
Lakini ni mwaminifu, ananipenda mno na KAOKOKA,
Hatujawahi zini, Ila naogopa Sana kuolewa nae, maana kipato chake NI bodaboda Tu naona aibu mpaka aje kununua gari haya maisha yatakuwaje?
Kweli money penny bwana wangu anaendesha bodaboda lakini naona aibu kumtambulisha kwetu, ananipenda Sana nifanyaje??
Wako
Eliza."
Jamaa. Eliza anaomba msaada huku
View attachment 2724672
Boda na kichwa yote Sawa Bora angeendesha daladala basiSi ushukuru kwamba anaendesha bodaboda angekuwa anaendesha kichwa chako ingekuwaje
AiseeMambo yake muachie mwenyewe....
SawaJibu ni ndiyo
Dundo hvyo sasa inabid uambie moyo usitamani vikubwa mungu akikupa mtu usiangalie ana nin angalia umuhimu wake huku mkipambania vile mnavyotaka maisha yenu yawe mkuu hope tuko pamoja
Hii English mbona siielewidid you ask your friend why should not take chances of her life with this man instead of thinking big achievement for this period of life??
Yes oooyou got anythig to prove this???