Phillipo Bukililo
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 18,487
- 13,611
Malizia kula chakula cha mchana nakuja kulipa.Amejenga kwa akili kubwa sana ya kuenvite wawekezaji ili kukusanya Kodi pamoja na uwezo binafsi wa kwenda njie na kutafuta loans zenye masharti nafuu. Jpm asingeweza mana machinga wasingeweza kulipa Kodi na kujenga hivi vitu
JPM alikuwa mtendaji mkubwa lakini hakuwa na negotiation skills za kutafuta pesa haswa kimataifa.Malizia kula chakula cha mchana nakuja kulipa.
Unajenga madarasa kwa hela ya mkopo si kituko hicho jamaniYaani waziri wa pesa anadai madarasa ya tril 1.3 yamejengwa lakini ukizunguka hapa nchini unakuta watoto wanakaa chini.
Bwawa la Nyerere linakamailika, Mv Nyerere imekamilika. Hii yote ni sababu ya hayati JPM kusimama kidete.
NB: Mimi siko genge lolote.
Acha kulinganisha viongozi... Hayati Magufuli na Mama hawafanani na Hawawezi kufanana.. kila mtu ana alama alio acha hapa..Yaani waziri wa pesa anadai madarasa ya tril 1.3 yamejengwa lakini ukizunguka hapa nchini unakuta watoto wanakaa chini.
Bwawa la Nyerere linakamailika, Mv Nyerere imekamilika. Hii yote ni sababu ya hayati JPM kusimama kidete.
NB: Mimi siko genge lolote.
Tuseme tu ukweli nchi hii ni tajiri ila kuna watu kila mradi wanasema hatuna hela hiyo ni miradi mikubwa ila akipita hivi unasekia 100b zimeibiwa mara simbioni 350b zimelipwaAmejenga kwa akili kubwa sana ya kuenvite wawekezaji ili kukusanya Kodi pamoja na uwezo binafsi wa kwenda njie na kutafuta loans zenye masharti nafuu. Jpm asingeweza mana machinga wasingeweza kulipa Kodi na kujenga hivi vitu
Yaani waziri wa pesa anadai madarasa ya tril 1.3 yamejengwa lakini ukizunguka hapa nchini unakuta watoto wanakaa chini.
Bwawa la Nyerere linakamailika, Mv Nyerere imekamilika. Hii yote ni sababu ya hayati JPM kusimama kidete.
NB: Mimi siko genge lolote.
We mjinga Sana hivi kwamfano mama asingeikamilisha ungemfanya nini?Ninachojua ni kwamba awamu hii inajitahidi sana kuhakikisha miradi yote aliyoianzisha Mwendazake inakamilika, kwa gharama yoyote ile maana wakiipuuza inakula kwao. Wataikamilisha halafu watajisifu ndio utaratibu wa serikali ya CCM.
Wazee wa kujipimia, kula mpaka kuvimbiwa na phd zao.
Nani kayazuia maisha yako kuendelea?Ni nchi pekee ambayo marehemu huwa hawafi
Hata Mengi huoni bado anahesaabika kuwa ni mmoja wa matajiri Tz?
Waacheni wafu waliko na maisha yaendelee
Kwani jpm kafanya Nini kwenye hiyo meli zaidi ya kutamka ambapo hata Mimi ni ningeweza kutamka bila vitendoMisunderstanding imenipa matusi.
Hivi hamjaona kampeni inayokataza kumtaja Magufuli kwa mema?
Jana meli ya MV Mwanza imeshushwa ziwani. Ulisikia Magufuli ametajwa mchango wake?
Ndiposa upeo mdogo wetu Watanzania unajikita kwenye matusi kutukana tusiowajua. Aibu!
Mbona Magufuri alishindwa yale yaliyokuwa yameanzishwa na mtanguli wake?Ninachojua ni kwamba awamu hii inajitahidi sana kuhakikisha miradi yote aliyoianzisha Mwendazake inakamilika, kwa gharama yoyote ile maana wakiipuuza inakula kwao. Wataikamilisha halafu watajisifu ndio utaratibu wa serikali ya CCM.
Mkuu,Yaani waziri wa pesa anadai madarasa ya tril 1.3 yamejengwa lakini ukizunguka hapa nchini unakuta watoto wanakaa chini.
Bwawa la Nyerere linakamailika, Mv Nyerere imekamilika. Hii yote ni sababu ya hayati JPM kusimama kidete.
NB: Mimi siko genge lolote.
Kama tungekuwa na watu kama wewe as decision makers nchi hii ingekua imejaa mafukara mara mia tulivyo sasa.Bado hesabu hazikupigwa vyema, Kwa speedi ya uharibifu wa mazingira nchii hii lile bwawa linaweza sababisha raia waka kufuru bure, Hydropower kwa sasa ni changamoto sana angalia South Africa, angalia Zambia kule na Bwawa lao la Kariba 1636 Megawhat wana mgao wa kutisha kabisa.
Ethiopia wanaweza kuwa na uhakika kwa sababu wanachukua maji ziwa Victoria kupitia Nile, ila kwa huku tunakotegemea mvua lile bwawa ni hasara.
Na kumbuka Serikali haijali swala la Uharibifu wa mazingira yaani ni kama haiwahusu kabisa
Shetani utashindwa.Bado hesabu hazikupigwa vyema, Kwa speedi ya uharibifu wa mazingira nchii hii lile bwawa linaweza sababisha raia waka kufuru bure, Hydropower kwa sasa ni changamoto sana angalia South Africa, angalia Zambia kule na Bwawa lao la Kariba 1636 Megawhat wana mgao wa kutisha kabisa.
Ethiopia wanaweza kuwa na uhakika kwa sababu wanachukua maji ziwa Victoria kupitia Nile, ila kwa huku tunakotegemea mvua lile bwawa ni hasara.
Na kumbuka Serikali haijali swala la Uharibifu wa mazingira yaani ni kama haiwahusu kabisa
It is dangerous to be right when the government is wrongYaani waziri wa pesa anadai madarasa ya tril 1.3 yamejengwa lakini ukizunguka hapa nchini unakuta watoto wanakaa chini.
Bwawa la Nyerere linakamailika, Mv Nyerere imekamilika. Hii yote ni sababu ya hayati JPM kusimama kidete.
NB: Mimi siko genge lolote.
Hakuawahi kushindwa, aliamua kuyaacha kabisaMbona Magufuri alishindwa yale yaliyokuwa yameanzishwa na mtanguli wake?
Kwann unanitukana? Ukitoa hoja bila matusi unapungukiwa nini?!?!We mjinga Sana hivi kwamfano mama asingeikamilisha ungemfanya nini?