Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,984
- 19,288
CCM na Serikali yao walikuwa fasta Sana kutoa matamko ya haraka na kwa ukali kuhusu studio ya S2KIZZY kuvamiwa na kuagiza polisi wapambane haraka
Ila hili naona Kama wanalichukulia kawaida tu, na siasa zao za kijamaa za Binadamu wote Ni sawa..damn
Ila hili naona Kama wanalichukulia kawaida tu, na siasa zao za kijamaa za Binadamu wote Ni sawa..damn