Bweni la shule ya Sekondari ya wasichana ya Uchira Islamic iliyoko wilaya ya Moshi lateketea kwa moto

CCM na Serikali yao walikuwa fasta Sana kutoa matamko ya haraka na kwa ukali kuhusu studio ya S2KIZZY kuvamiwa na kuagiza polisi wapambane haraka
Ila hili naona Kama wanalichukulia kawaida tu, na siasa zao za kijamaa za Binadamu wote Ni sawa..damn
 
Sauti za masheikh wa UAMSHO na wengineo waliodhulumiwa Haki zao zinawakumbusha waislamu 'wenzao' katika taifa hili kutetea haki na kupaza sauti dhidi ya dhulma walizofanyiwa na serikali ya CCM.

'Jicho la kiroho'
Politics.
 
waliishapewa instruction za kuimarisha ulinzi lakini bado watu wanazembea hapo mkuu wa shule awajibishwe anajua kila kitu
Wanahaki ya kulindwa. Lakin waislam Warejee Albaqara. Kutiba ......... Mmefardhishiwa kulipa ..........
 
Mbona haya mambo ya moto yameshamiri kpnd hiki? Isiwe sababu ya uchaguzi!!!!
 
haya mambo yanatatiza mnoo
lakini cha ajabu si Bakwata wala Serikali wote wamepiga kimyaa....
hakuna tamko lolote liwe hata la kulaaani tuu
 
Islamic schools - kuna kitu hapo......Vyombo vya uchunguzi endeleeni kupoteza muda kwenye kufanya kampeni za ccm ,hayo matukio inabidi yakomeshwe otherwise tutakuja kulia.
 
Hili swala sasa si bure.Panahitajika intelijensia ya nguvu kukifikia chanzo cha matukio haya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…