Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Elimu, uadilifu na pia wanajali ajira zaoKenya wanawavutiaje hawa wawekezaji wakubwa?
Why not tanzania?
Kuna waziri kama sikosei aliongelea hili na kusema ukileta gari ya umeme ushuru ni kama hakunaTatizo tax zikianza hapo. Nadhani serikali kwanza ijue inafanyaje issue ya tax kwenye EV
Alileta maneno yao ya bungeni tu ili apigiwe makofi.Kuna waziri kama sikosei aliongelea hili na kusema ukileta gari ya umeme ushuru ni kama hakuna
Au sikuelewa vizuri?
Kwa kweli kama zitakuja kwanza itabidi tujipange haswa kuanzia mafundi
Nchi haina dira kabisa mkuu
Huoni magari ya kifahari yamelala garages kisa hakuna wa kuyatengeneza
Badala ya kutembeza bakuli, Mabalozi wangetafuta namna ya kupata fursa kwa vijana wakasomee China hata 400 kwa kuanzia
Serikali inajua kukopa ila vijana hawana taaluma zozote zaidi ya vyeti
Baada ya Buji Kharifa kuinyesha picha ya bwana yule nilijua tayari tushakuwa koloni la ukanda wa mafuta,lakini Hawa wasomi wetu Wana nafasi gani katika uchumi wetu wa hovyo kabisa.Ndio, haujakosea kusoma.
Officially kampuni maarufu duniani la kutengeneza magari ya umeme kutoka China, BYD wameingia Kenya. Sio kwa used car, bali officially kama sisi Tanzania wanavyoingia San LG.
Ni magari matatu top selling ta BYD kuanzia Seal ambayo ni sedan.
View attachment 3114185
Ya pili ni Atto 3 ambayo ni SUV.
View attachment 3114186
Na mwisho wapenzi wa Hatchback kuna hii Dolphin.
View attachment 3114187
Hii Dolphin itawavutia Wakenya wengi ukitegemea bei yake ya kuzinduliwa kuwa chini ya $10,000/= tu.
Kenya wanazidi kuuonesha ulimwengu kwamba wako serious na transformation ya kutoka magari ya kutumia mafuta kwenda kwenye magari ya umeme.
Kuna mtu alinilipua uko ananunua Model X.
View attachment 3114198
Wametoka kuingia Partnership na kampuni la Kichina la magari Cherry hivi karibuni.
View attachment 3114196
Pia, karibuni walizindua vituo vya kuchaji magari na kuongeza sheria kwamba kila commercial building lazima itenge 5% ya parking yake kwaajili ya spots za kuchajia magari ya umeme.
View attachment 3114195
Pia walizindua mabus ya umeme ya kwanza kua assembled nchini kwao na wanataka by 2027 mabasi yote local yawe ya EV.
View attachment 3114197
Na mwisho wameintroduce sheria ya kupunguza kodi ya magari ya hybrid na umeme na vile vile wameondoa ukomo wa umri wa magari ya umeme.
Ni muda sasa wa Tanzania na sisi kuwakaribisha investors kutoka China na sisi tupate 0 km za EV.
Pamoja.
TRA and Lumumba 10% relianceKenya wanawavutiaje hawa wawekezaji wakubwa?
Why not tanzania?
Amen mtumishiAjabu utakuta umeme wanaunua wa JNPP
Sisi ni mazwazwa,tuseme amiin
Hivi le jengo wanatumia technology gani kudisplay ule unyamaBaada ya Buji Kharifa kuinyesha picha ya bwana yule nilijua tayari tushakuwa koloni la ukanda wa mafuta,lakini Hawa wasomi wetu Wana nafasi gani katika uchumi wetu wa hovyo kabisa.
Daa tutafika tumechoka sanaAlileta maneno yao ya bungeni tu ili apigiwe makofi.
Tesla ndio EV iliyopo kwenye kikokotoo cha TRA, Kodi yake bora ununue mafuta miaka 10.
Aah sitaki ya $10,000 mkuu. Sasa hio si kama hii mikweche nilionayo hapa sasa hivi.Kwa $10,000 sio nyingi mbona
Unaweza boss kama hizo zipo jirani tu unavuta moja fasta
Yeah, hii hapa Model 3 2020, Beforward unaipata kwa CIF ya $20,000 ukija ushuru bora ununue Prius ya 2023.Daa tutafika tumechoka sana
Sasa Tesla yenyewe bei yake ndio hivyo
Tra hata oxygen wangetuuzia hawa
pixel control linear lights, Which provide high-quality video output when working altogether.Hivi le jengo wanatumia technology gani kudisplay ule unyama
Faced linear lightingHivi le jengo wanatumia technology gani kudisplay ule unyama
Nimeipenda Polestar kutoka Volvo yaani inatembea 335 miles na muonekano sio mbaya na bei sio kubwa sana au unataka Ford Mustang kwa 379 miles? Ikiwa full chargedAah sitaki ya $10,000 mkuu. Sasa hio si kama hii mikweche nilionayo hapa sasa hivi.
Sio mbaya itapenya tu kufika kwa mama kizimkazi, najua Tz hainaga mbaya na WachinaKupitia Kenya. Ingepitia Tz.
π π€£ kama Scania Germany, una charge huku unaendelea na safariHuyo sio wa sedan anataka trucks.
Mpeleke marekani uko.
Aisee bora Toyota hapo tena 2023 sio mbaya kabisaYeah, hii hapa Model 3 2020, Beforward unaipata kwa CIF ya $20,000 ukija ushuru bora ununue Prius ya 2023.
View attachment 3114411
Kidogo Prius ina kodi ndogo ila CIF zinafanana uko Beforwad na bwana Tesla.
View attachment 3114414
Uyo Prius usimchukulie poa.
View attachment 3114415
Polestar 2 nzuri ila $50,000 kabla TRA hawajaingilia kati π€£π€£Nimeipenda Polestar kutoka Volvo yaani inatembea 335 miles na muonekano sio mbaya na bei sio kubwa sana au unataka Ford Mustang kwa 379 miles? Ikiwa full charged