BYD wazindua magari yao maarufu matatu ya umeme (Dolphin, Seal na Atto 3) nchini Kenya

BYD wazindua magari yao maarufu matatu ya umeme (Dolphin, Seal na Atto 3) nchini Kenya

Kenya wanawavutiaje hawa wawekezaji wakubwa?
Why not tanzania?
Elimu, uadilifu na pia wanajali ajira zao
Mshahara unawatosha na hawezi kuiba 🔧 🛠 akaenda kuuza kama sisi
Unaweza ukamkabidhi manager mkenya kampuni na akaiongoza kama yake na faida akakuletea
Sisi ukibebeshwa mzigo tu unakimbia nao
Lazima tuwe wakweli
 
Tatizo tax zikianza hapo. Nadhani serikali kwanza ijue inafanyaje issue ya tax kwenye EV
Kuna waziri kama sikosei aliongelea hili na kusema ukileta gari ya umeme ushuru ni kama hakuna
Au sikuelewa vizuri?
Kwa kweli kama zitakuja kwanza itabidi tujipange haswa kuanzia mafundi
Nchi haina dira kabisa mkuu
Huoni magari ya kifahari yamelala garages kisa hakuna wa kuyatengeneza

Badala ya kutembeza bakuli, Mabalozi wangetafuta namna ya kupata fursa kwa vijana wakasomee China hata 400 kwa kuanzia
Serikali inajua kukopa ila vijana hawana taaluma zozote zaidi ya vyeti
 
Kuna waziri kama sikosei aliongelea hili na kusema ukileta gari ya umeme ushuru ni kama hakuna
Au sikuelewa vizuri?
Kwa kweli kama zitakuja kwanza itabidi tujipange haswa kuanzia mafundi
Nchi haina dira kabisa mkuu
Huoni magari ya kifahari yamelala garages kisa hakuna wa kuyatengeneza

Badala ya kutembeza bakuli, Mabalozi wangetafuta namna ya kupata fursa kwa vijana wakasomee China hata 400 kwa kuanzia
Serikali inajua kukopa ila vijana hawana taaluma zozote zaidi ya vyeti
Alileta maneno yao ya bungeni tu ili apigiwe makofi.

Tesla ndio EV iliyopo kwenye kikokotoo cha TRA, Kodi yake bora ununue mafuta miaka 10.
 
Ndio, haujakosea kusoma.

Officially kampuni maarufu duniani la kutengeneza magari ya umeme kutoka China, BYD wameingia Kenya. Sio kwa used car, bali officially kama sisi Tanzania wanavyoingia San LG.

Ni magari matatu top selling ta BYD kuanzia Seal ambayo ni sedan.

View attachment 3114185

Ya pili ni Atto 3 ambayo ni SUV.
View attachment 3114186
Na mwisho wapenzi wa Hatchback kuna hii Dolphin.

View attachment 3114187

Hii Dolphin itawavutia Wakenya wengi ukitegemea bei yake ya kuzinduliwa kuwa chini ya $10,000/= tu.


Kenya wanazidi kuuonesha ulimwengu kwamba wako serious na transformation ya kutoka magari ya kutumia mafuta kwenda kwenye magari ya umeme.

Kuna mtu alinilipua uko ananunua Model X.

View attachment 3114198

Wametoka kuingia Partnership na kampuni la Kichina la magari Cherry hivi karibuni.
View attachment 3114196
Pia, karibuni walizindua vituo vya kuchaji magari na kuongeza sheria kwamba kila commercial building lazima itenge 5% ya parking yake kwaajili ya spots za kuchajia magari ya umeme.

View attachment 3114195
Pia walizindua mabus ya umeme ya kwanza kua assembled nchini kwao na wanataka by 2027 mabasi yote local yawe ya EV.
View attachment 3114197
Na mwisho wameintroduce sheria ya kupunguza kodi ya magari ya hybrid na umeme na vile vile wameondoa ukomo wa umri wa magari ya umeme.


Ni muda sasa wa Tanzania na sisi kuwakaribisha investors kutoka China na sisi tupate 0 km za EV.

Pamoja.
Baada ya Buji Kharifa kuinyesha picha ya bwana yule nilijua tayari tushakuwa koloni la ukanda wa mafuta,lakini Hawa wasomi wetu Wana nafasi gani katika uchumi wetu wa hovyo kabisa.
 
Baada ya Buji Kharifa kuinyesha picha ya bwana yule nilijua tayari tushakuwa koloni la ukanda wa mafuta,lakini Hawa wasomi wetu Wana nafasi gani katika uchumi wetu wa hovyo kabisa.
Hivi le jengo wanatumia technology gani kudisplay ule unyama
 
Daa tutafika tumechoka sana
Sasa Tesla yenyewe bei yake ndio hivyo
Tra hata oxygen wangetuuzia hawa
Yeah, hii hapa Model 3 2020, Beforward unaipata kwa CIF ya $20,000 ukija ushuru bora ununue Prius ya 2023.
IMG_0135.jpeg

Kidogo Prius ina kodi ndogo ila CIF zinafanana uko Beforwad na bwana Tesla.
IMG_0136.jpeg


Uyo Prius usimchukulie poa.
IMG_0137.jpeg
 
Back
Top Bottom