Bye bye ios

Bye bye ios

si mbaya mkuu, still kwa simu zilizopo Tanzania za laki 5 hakuna yenye specs kama hizo.

jambo muhimu ambalo tumesahau kulizungumza huko juu ni frequency.

redmi note 10 international version ina band zote za 4G za kwetu ila YA INDIA haina band 7 na 20 inamaana hutapata Tigo 4g nje ya jiji na hutapata 4g ya halotel, chunguza hio simu ni ya wapi? kama upo dar vyema nenda na line ya halotel 4g kuhakiki.

Mkuu nisaidie kucheki hapo nimetuma picha uone hizo frequency kama itakuwa vyema hapa Tanzania.
 
Kudownload vitu kama mziki, movie inakuwa ngumu sana, wakati kwenye android naweza kudownload na kuhamishia hata kwenye flash vizuri tu. Kwenye android unaweza kuweka hata vidmate na ukawa unadownload HD video. Lakini huku kwenye ios utasubiri sana.
Kwanini udownload music au movies wakati kuna apple music na netflix?
 
Pole sana mkuu
Nina mwezi natumia IOS maisha matamu sana nadownload nyimbo fresh tu na kuna application ya audio player hata android ipo inaitwa eSound ndo inapiga mzigo kama kawaida

Sijawahi kutumia Android na sitamani [emoji3]
Change Apple Store Yako, Tumia store Ya Us [emoji631] kuna apps nyingi na nzuri zenye msaada Na zingine kuangalia movies ni buree kabisaa!! Bando laaako tuuu
IMG_3187.png
 
Uko sahihi kabisa, watu hawajui matumizi wanakimbilia kujudge, Safari Browser mm huwa nadownload Movie na Tv show kibao, kuhusu Mziki ukiwa na Apple Music au Spotify unapata miziki yote ukiwa na premium ndio offline kabisa ila hata ukitaka ya kudownload unatumia na unaplay kuna player built in au zingine kibao VLC included zipo App store. Na kuhamisha vitu kwa Androi unahamisha chochote na Xender au hata kwa Pc.

Haiko Closed ki hivyo ni jinsi ya kufaham utumiaji wake tu, kuhama ni mpaenzi unaweza ukmiss Android ukatumia then ukichoka unaenda iOS ni kawaida sawa na kubadilisha Chakula.

Na kuna mtu ana judge hajawahi hata kutumia iOS anasikiliza maneno ya watu, ukitumia vyote ndio unajuza Strength na Weaknesses za hizi OS zote.

Unachofanya kwenye android kinawezekana na iOS, Swali li kuuliza how? Uelekezwe
Nkiwa na anroid sihitaj kudownload maapplication yote hayo uliyoyataja,kumaliziana space tu chaaa
 
Back
Top Bottom