MoneyHeist4
JF-Expert Member
- Jul 10, 2017
- 2,134
- 3,192
- Thread starter
-
- #201
si mbaya mkuu, still kwa simu zilizopo Tanzania za laki 5 hakuna yenye specs kama hizo.
jambo muhimu ambalo tumesahau kulizungumza huko juu ni frequency.
redmi note 10 international version ina band zote za 4G za kwetu ila YA INDIA haina band 7 na 20 inamaana hutapata Tigo 4g nje ya jiji na hutapata 4g ya halotel, chunguza hio simu ni ya wapi? kama upo dar vyema nenda na line ya halotel 4g kuhakiki.
Nimecheki hio model ni global, ipo Sawa.
Nimecheki hio model ni global, ipo Sawa.
Mwanzoni ulikuwa unatumia iphone gani?Mkuu huo mzigo wa milioni wa KAZI gani? Mimi bajeti yangu ni laki 5.
Na ushaichukua mshine hio kijanaRedmi note 9T vs Redmi Note 10
Kwanini udownload music au movies wakati kuna apple music na netflix?Kudownload vitu kama mziki, movie inakuwa ngumu sana, wakati kwenye android naweza kudownload na kuhamishia hata kwenye flash vizuri tu. Kwenye android unaweza kuweka hata vidmate na ukawa unadownload HD video. Lakini huku kwenye ios utasubiri sana.
Kwa dunia ya sasa 4gb RAM ni ndogo sana.Mkuu nataka kuvuta Redmi Note 10 hapa 4RAM 128Gb kwa 500k vipi nitakuwa nimepigwa?
ram 4GB ndogo???Kwa dunia ya sasa 4gb RAM ni ndogo sana.
Tafuta kuanzia 8 na kuendelea.
Kausha huyo kwenye simu anachojua itakua ni RAM tu basiram 4GB ndogo???
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 daah nimecheka sanaKausha huyo kwenye simu anachojua itakua ni RAM tu basi
Sure tena rick , we ukiona mtu yuko jf mda mrefu alafu bado anasomaga deily post za mwamba Chief-Mkwawa alafu bado akashindwa kuelewa angalau asilimia 45 hivi kuichambua simu yeye mwenyewe huuo ni nanga wa brigedi piga doso mzee🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 daah nimecheka sana
Nina simu yenye iOS na pia nina simu za Android, kwa kifupi simu yenye Android ukiitumia unafurahia tofauti na yenye iOS.
hii iPhone niliyonayo ni ya mwisho kuitumia sitonunua tena iPhone
Sent using Jamii Forums mobile app
Pole sana mkuu
Nina mwezi natumia IOS maisha matamu sana nadownload nyimbo fresh tu na kuna application ya audio player hata android ipo inaitwa eSound ndo inapiga mzigo kama kawaida
Nkiwa na anroid sihitaj kudownload maapplication yote hayo uliyoyataja,kumaliziana space tu chaaaUko sahihi kabisa, watu hawajui matumizi wanakimbilia kujudge, Safari Browser mm huwa nadownload Movie na Tv show kibao, kuhusu Mziki ukiwa na Apple Music au Spotify unapata miziki yote ukiwa na premium ndio offline kabisa ila hata ukitaka ya kudownload unatumia na unaplay kuna player built in au zingine kibao VLC included zipo App store. Na kuhamisha vitu kwa Androi unahamisha chochote na Xender au hata kwa Pc.
Haiko Closed ki hivyo ni jinsi ya kufaham utumiaji wake tu, kuhama ni mpaenzi unaweza ukmiss Android ukatumia then ukichoka unaenda iOS ni kawaida sawa na kubadilisha Chakula.
Na kuna mtu ana judge hajawahi hata kutumia iOS anasikiliza maneno ya watu, ukitumia vyote ndio unajuza Strength na Weaknesses za hizi OS zote.
Unachofanya kwenye android kinawezekana na iOS, Swali li kuuliza how? Uelekezwe
[emoji23]Samahani kidogo mkuu kwa bajeti ya laki tano ilikuwa unatumia iphone ipi?
Nimeamua kuhamia Android Ila nimeshindwa kuamua
Waweza elezea namna ya kuchange store kwenda usa ili kufanikisha hilo nasi tujue sheikheSijawahi kutumia Android na sitamani [emoji3]
Change Apple Store Yako, Tumia store Ya Us [emoji631] kuna apps nyingi na nzuri zenye msaada Na zingine kuangalia movies ni buree kabisaa!! Bando laaako tuuuView attachment 1794524
Mwezi wa 6 inatimiza mwaka wa 10 toka izinduliwe.Nasasa inakuja OS mpya CHROME OS iko hatua za mwisho itakua[emoji91][emoji95]