Hii Redmi Note 9s ulichukua bei gani mkuu?Redmi 9s
Usiseme ni simu cheap wakat kila platform mpka EBAY zinauzwa mkasi sasa cjui hyo cheap uliiona wap mwenzetu.
Weka budget yako ndo watu watakushauri vizuri simu ipi inafaa latest,
alibaba na ebay hazina tofaut alaf alibaba kununua simu moja wakikukubalia ujue utaumia kwenye shipping hile ni wholesale platformEBAY ndio wazalishaji au ni kina Nani? Tazama Bei ambacho haina cheni ndefu ya wauzaji
Agiza Alibaba uone utofauti wa Bei.
Pro. Halafu Gb 128-256Reno 5 ebayView attachment 1792734
550k nilinunua hapa hapa bongo..Hii Redmi Note 9s ulichukua bei gani mkuu?
alibaba na ebay hazina tofaut alaf alibaba kununua simu moja wakikukubalia ujue utaumia kwenye shipping hile ni wholesale platform
Una budget kiasi gani?Baada ya miaka kama 7 hivi kuwa mtumiaji mzuri wa ios phone (iPhone) hatimae huu mwaka nahitaji kujiondoa rasmi.
Sababu ya kujiondoa ni kutokana na kupangiwa baadhi ya mambo ikiwemo kunyimwa Uhuru kwenye chombo changu.
Maana siwezi kudownload Movie, Siwezi kudownload Nyimbo mbalimbali yaani wao ni mwendo wa Kula Bando Tu kila sehemu sasa nimeamua kujitoa rasmi.
Sasa Nimeamua kurudi kwenye Android zetu hizi zenye Uhuru wa kuifanya unavyotaka ila nimeshindwa kuchagua ni simu gani nzuri kuanzia utunzaji wa chaji, ubora wa Camera, na Speed ya internet kama 4G.
Nimejaribu kutembelea madukani nimekutana na Samsung nyingi lakini katika process ya kucheki specific zake nakutana na chip za MTK tu, nimeshindwa kuelewa inamaana siku hizi Samsung wameamua kuhamisha simu zao kutoka Qualcom Hadi kwenda Mtk. Na Mimi chip ya Mtk huwa siziamini kabsa.
Wadau naomba maoni yenu ni simu gani nzuri hapo
Oppo, Samsung, Nokia, Redmi.
Ni afadhali uchange address ebay uweke ya USA alaf utumie thirdparty logistics companies kufikisha hapa home
Una budget kiasi gani?
Kwa samsung nzuri ya bei rahisi ni A52 ambayo ni zaidi ya laki 7, chini ya hapo hupati simu kali atleast kwa generation hii.
Ambayo ina afadhali ni Hii A22 ambayo inatoka sasa hivi, japo ni mediatek ila mediatek yake ina nguvu kidogo.
Ukitaka simu nzuri za laki 5 kushuka ni za Xiaomi,
Na pia kama unatoka iphone Angalia unapenda simu ndogo? Maana simu nyingi za Android low end zina vioo vikubwa
Una budget kiasi gani?
Kwa samsung nzuri ya bei rahisi ni A52 ambayo ni zaidi ya laki 7, chini ya hapo hupati simu kali atleast kwa generation hii.
Ambayo ina afadhali ni Hii A22 ambayo inatoka sasa hivi, japo ni mediatek ila mediatek yake ina nguvu kidogo.
Ukitaka simu nzuri za laki 5 kushuka ni za Xiaomi,
Na pia kama unatoka iphone Angalia unapenda simu ndogo? Maana simu nyingi za Android low end zina vioo vikubwa
mfungwa wa kitajiri awa huru, simu za kisenge sana izo
Hata mmHizo simu huwa mnauziwa wapi ?
Mimi nina simu yenye MTK na huu ni mwaka wangu wa pili naitumia, wala sijawahi kuona hayo mapungufu mnayosema.
Cha acheni kununua second hand materials
Baada ya miaka kama 7 hivi kuwa mtumiaji mzuri wa ios phone (iPhone) hatimae huu mwaka nahitaji kujiondoa rasmi.
Sababu ya kujiondoa ni kutokana na kupangiwa baadhi ya mambo ikiwemo kunyimwa Uhuru kwenye chombo changu.
Maana siwezi kudownload Movie, Siwezi kudownload Nyimbo mbalimbali yaani wao ni mwendo wa Kula Bando Tu kila sehemu sasa nimeamua kujitoa rasmi.
Sasa Nimeamua kurudi kwenye Android zetu hizi zenye Uhuru wa kuifanya unavyotaka ila nimeshindwa kuchagua ni simu gani nzuri kuanzia utunzaji wa chaji, ubora wa Camera, na Speed ya internet kama 4G.
Nimejaribu kutembelea madukani nimekutana na Samsung nyingi lakini katika process ya kucheki specific zake nakutana na chip za MTK tu, nimeshindwa kuelewa inamaana siku hizi Samsung wameamua kuhamisha simu zao kutoka Qualcom Hadi kwenda Mtk. Na Mimi chip ya Mtk huwa siziamini kabsa.
Wadau naomba maoni yenu ni simu gani nzuri hapo
Oppo, Samsung, Nokia, Redmi.
Bajeti yangu ni Laki Tano.
A30sNina Laki Tano mkuu.