Bye bye ios

Bye bye ios

Reno 5 ebay
Screenshot_20210521-145717.jpg
 
EBAY ndio wazalishaji au ni kina Nani? Tazama Bei ambacho haina cheni ndefu ya wauzaji
Agiza Alibaba uone utofauti wa Bei.
alibaba na ebay hazina tofaut alaf alibaba kununua simu moja wakikukubalia ujue utaumia kwenye shipping hile ni wholesale platform
 
alibaba na ebay hazina tofaut alaf alibaba kununua simu moja wakikukubalia ujue utaumia kwenye shipping hile ni wholesale platform

Ni kweli mkuu, hicho tu ndo huwa nashindwa kuagiza mzigo alibaba.
 
Baada ya miaka kama 7 hivi kuwa mtumiaji mzuri wa ios phone (iPhone) hatimae huu mwaka nahitaji kujiondoa rasmi.

Sababu ya kujiondoa ni kutokana na kupangiwa baadhi ya mambo ikiwemo kunyimwa Uhuru kwenye chombo changu.

Maana siwezi kudownload Movie, Siwezi kudownload Nyimbo mbalimbali yaani wao ni mwendo wa Kula Bando Tu kila sehemu sasa nimeamua kujitoa rasmi.

Sasa Nimeamua kurudi kwenye Android zetu hizi zenye Uhuru wa kuifanya unavyotaka ila nimeshindwa kuchagua ni simu gani nzuri kuanzia utunzaji wa chaji, ubora wa Camera, na Speed ya internet kama 4G.

Nimejaribu kutembelea madukani nimekutana na Samsung nyingi lakini katika process ya kucheki specific zake nakutana na chip za MTK tu, nimeshindwa kuelewa inamaana siku hizi Samsung wameamua kuhamisha simu zao kutoka Qualcom Hadi kwenda Mtk. Na Mimi chip ya Mtk huwa siziamini kabsa.

Wadau naomba maoni yenu ni simu gani nzuri hapo

Oppo, Samsung, Nokia, Redmi.
Una budget kiasi gani?

Kwa samsung nzuri ya bei rahisi ni A52 ambayo ni zaidi ya laki 7, chini ya hapo hupati simu kali atleast kwa generation hii.

Ambayo ina afadhali ni Hii A22 ambayo inatoka sasa hivi, japo ni mediatek ila mediatek yake ina nguvu kidogo.

Ukitaka simu nzuri za laki 5 kushuka ni za Xiaomi,

Na pia kama unatoka iphone Angalia unapenda simu ndogo? Maana simu nyingi za Android low end zina vioo vikubwa
 
Una budget kiasi gani?

Kwa samsung nzuri ya bei rahisi ni A52 ambayo ni zaidi ya laki 7, chini ya hapo hupati simu kali atleast kwa generation hii.

Ambayo ina afadhali ni Hii A22 ambayo inatoka sasa hivi, japo ni mediatek ila mediatek yake ina nguvu kidogo.

Ukitaka simu nzuri za laki 5 kushuka ni za Xiaomi,

Na pia kama unatoka iphone Angalia unapenda simu ndogo? Maana simu nyingi za Android low end zina vioo vikubwa

Nina Laki Tano mkuu.
 
Una budget kiasi gani?

Kwa samsung nzuri ya bei rahisi ni A52 ambayo ni zaidi ya laki 7, chini ya hapo hupati simu kali atleast kwa generation hii.

Ambayo ina afadhali ni Hii A22 ambayo inatoka sasa hivi, japo ni mediatek ila mediatek yake ina nguvu kidogo.

Ukitaka simu nzuri za laki 5 kushuka ni za Xiaomi,

Na pia kama unatoka iphone Angalia unapenda simu ndogo? Maana simu nyingi za Android low end zina vioo vikubwa

Nahitaji simu yenye display angalau 6.5 maana nahitaji kuanza kushusha movie na Video mbali mbali.
 
Baada ya miaka kama 7 hivi kuwa mtumiaji mzuri wa ios phone (iPhone) hatimae huu mwaka nahitaji kujiondoa rasmi.

Sababu ya kujiondoa ni kutokana na kupangiwa baadhi ya mambo ikiwemo kunyimwa Uhuru kwenye chombo changu.

Maana siwezi kudownload Movie, Siwezi kudownload Nyimbo mbalimbali yaani wao ni mwendo wa Kula Bando Tu kila sehemu sasa nimeamua kujitoa rasmi.

Sasa Nimeamua kurudi kwenye Android zetu hizi zenye Uhuru wa kuifanya unavyotaka ila nimeshindwa kuchagua ni simu gani nzuri kuanzia utunzaji wa chaji, ubora wa Camera, na Speed ya internet kama 4G.

Nimejaribu kutembelea madukani nimekutana na Samsung nyingi lakini katika process ya kucheki specific zake nakutana na chip za MTK tu, nimeshindwa kuelewa inamaana siku hizi Samsung wameamua kuhamisha simu zao kutoka Qualcom Hadi kwenda Mtk. Na Mimi chip ya Mtk huwa siziamini kabsa.

Wadau naomba maoni yenu ni simu gani nzuri hapo

Oppo, Samsung, Nokia, Redmi.


Bajeti yangu ni Laki Tano.

Hahhaa, sasa kuna wengine wanalipenda ivyo ivyo, wenye mahaba yao na marekani hao.
 
Back
Top Bottom